Mimi sijasoma kitabu hata kimoja tangu nimalize chuo.

Mimi sijasoma kitabu hata kimoja tangu nimalize chuo.

Huwezi kuwa sawa na anaesoma vitabu kila siku wakati wewe umesoma mara ya mwisho 2001. Hata kama maisha yanaenda poa ila usiseme eti mko sawa.

Kwangu mimi naamini siwezi kuwa well informed na kujua mambo kama sisomi vitabu, majarida n.k

Ukitaka hata kujenga hoja huwezi kwenda sawa na anaesoma maana mwenzio anajua mambo kibao ambayo wewe hujui hata kama yana exist
Fact . .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha kule shule au chuo walikuwa wananipima kana naelewa au sielewi au sijaelewa kupitia mitihani. Baada ya wao kusema ninaelewa na waka approve nika graduate niona nimeshusha mzigo, sasa huo wa wengine. Sasa leo hii bado niendelee kujufunza kupitia vitabu?! Nini hicho nataka kujua na kwa nini?! Binadamu unapaswa kufikua wakati u-relax ufurahie maisha, kilasiku mambo mapya kichwani duh poleni. Mimi nimechagua kupumzika, sitaki kijitesa kubeba vitabu umri huu, yani hata biblia sisomi, acha padri, mchungaji, pastor au nabii wasome waje wanusimulie kanisani.
Mi naona life inaenda na sioni tofauti kabisa yani.

for the purpose of this thread,utuambie una profession gani? maana siku hizi profession nyingi lazima uji update,kwani ukiwa una soma mambo mapya ndio hu relax???.....again nakuuliza kwa nini,ulienda kusoma chuo through books,si ungekaa nyumbani u 'relax' ??kama ulivyoenda kupata maarifa mapya chuoni ndivyo culture ya usomaji vitabu inawasaidia wasomaji….
 
Kimaisha, naona naenda kazini na kurudi kama wao. Sioni kupungukiwa mahitaji yangu, na sioni purpose ya kusoma hivyo vitabu.
Kama huoni tatizo basi hakuna tatizo...
Kikubwa ni maisha yako kwenda jinsi wavyo taka....

Kuna akina Ronaldo hawajui hata abc za huko mavitabuni na darasani lkn wanafurahia maisha.....

Soma ukiwa wahitaji kujua na kukusaidia.

Sio kila kitu cha kusoma, vingine ni virusi kwenye ubongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha sijui na natamani kujua hili, I don't see how can a book change my life. Vile vya shule nakubali vilibadiri maisha yangu.
sawa mkuu ,hebu jaribu kusoma kitabu cha art of war by sun tzu kimeandikwa miaka 2500 iliyopita
lakini mpaka leo content iliyopo huko inaaply kwenye maisha ya sasa,,mwanzoni ilikuwa ni kwenye vita,ila sasa kinatumika kwenye
politics,business,everyday life,kina page 78 tu,jaribu kukisoma dakika 30 tu umemaliza,halafu utaniambia....
 
Wapo pia wanaosema SIJAENDA SHULE ILE MAISHA YAKO FRESH TU NINA HELA SIONI AMBACHO WALIOENDA SHULE WAMENIZIDI....like you, they are just OBLIVIOUS.
 
for the purpose of this thread,utuambie una profession gani? maana siku hizi profession nyingi lazima uji update,kwani ukiwa una soma mambo mapya ndio hu relax???.....again nakuuliza kwa nini,ulienda kusoma chuo through books,si ungekaa nyumbani u 'relax' ??kama ulivyoenda kupata maarifa mapya chuoni ndivyo culture ya usomaji vitabu inawasaidia wasomaji….
Hahaha taaluma ninayo hata nikikwambia utaanza kusema nisome vitabu wakati sivihitaji. Mimi nilianza kusoma vitabu A level na nikamaluza nilipograduate chuo tena 2001. Nikaajiriwa sisomi kazini wala nyumbani, kazi napiga vizuuuri sana.
Nakujibu tena nilisoma vitabu kwasababu ya mitihani lakini sina mtihani wowote na sitegemei kujitahini mwenyewe hivyo sioni purpose ya kusoma vitabu, unless uniambie ni requirement ya kitu kama professional license kitu ambacho hakipo kwenye taaluma yangu, ukisha pata leseni ni for ever, labda ufe wewe.
 
sawa mkuu ,hebu jaribu kusoma kitabu cha art of war by sun tzu kimeandikwa miaka 2500 iliyopita
lakini mpaka leo content iliyopo huko inaaply kwenye maisha ya sasa,,mwanzoni ilikuwa ni kwenye vita,ila sasa kinatumika kwenye
politics,business,everyday life,kina page 78 tu,jaribu kukisoma dakika 30 tu umemaliza,halafu utaniambia....
Hahaha kinatolewa bure?! Na kitanisaidia nini hasa, goal ya kukisoma ili nipate nini out of it. Mbona naishi vizuri hadi sasa bila kukisoma hicho kitabu?! Au ulimaanisha kitaongeza uzuri wa maisha yangu?!
Ukinipa nitajaribu Ila iwe mwezi dakika 30 itakuwa adhabu kwangu mkuu.
 
1450044_592420314127610_1120857965_n.jpg
 
Wapo pia wanaosema SIJAENDA SHULE ILE MAISHA YAKO FRESH TU NINA HELA SIONI AMBACHO WALIOENDA SHULE WAMENIZIDI....like you, they are just OBLIVIOUS.
Hahaha ulimaanisha kibajaji au msukuma?! Mimi nilishasoma, ila hii culture ya kusoma vitabu sioni faida yake kwangu. Hasa kama sina mtihani si grasp chochote naona kama kuangalia movie ya kikorea. Labda audio naweza kusikiliza lakini sio lazima nieleww maana naweza kusinzia/kulala.
 
Hahaha ulimaanisha kibajaji au msukuma?! Mimi nilishasoma, ila hii culture ya kusoma vitabu sioni faida yake kwangu. Hasa kama sina mtihani si grasp chochote naona kama kuangalia movie ya kikorea. Labda audio naweza kusikiliza lakini sio lazima nieleww maana naweza kusinzia/kulala.
Sawa. Ila unaposema huoni tofauti yako na wanaosoma vitabu ni kwamba tofauti ipo but you are just OBLIVIOUS.
 
Hahaha taaluma ninayo hata nikikwambia utaanza kusema nisome vitabu wakati sivihitaji. Mimi nilianza kusoma vitabu A level na nikamaluza nilipograduate chuo tena 2001. Nikaajiriwa sisomi kazini wala nyumbani, kazi napiga vizuuuri sana.
Nakujibu tena nilisoma vitabu kwasababu ya mitihani lakini sina mtihani wowote na sitegemei kujitahini mwenyewe hivyo sioni purpose ya kusoma vitabu, unless uniambie ni requirement ya kitu kama professional license kitu ambacho hakipo kwenye taaluma yangu, ukisha pata leseni ni for ever, labda ufe wewe.

Mnhh kuna kitu hukielewi,ulisoma upate maarifa ya kufanya kazi u survive, na sio mitihani,...watu wanajisomea kuongeza maarifa na sio lazima upate qualification in the end,As I said dunia inaenda ikichange soon uliyosomea yatakuwa mambo ya past,sikushangai lakini watanzania wengi hatuna culture ya kujisomea,na tukilinganishwa na candidates katika kazi wengi wanatuona incompetent
 
Hahaha kinatolewa bure?! Na kitanisaidia nini hasa, goal ya kukisoma ili nipate nini out of it. Mbona naishi vizuri hadi sasa bila kukisoma hicho kitabu?! Au ulimaanisha kitaongeza uzuri wa maisha yangu?!
Ukinipa nitajaribu Ila iwe mwezi dakika 30 itakuwa adhabu kwangu mkuu.
pdf hiyo hapo
https://sites.ualberta.ca/~enoch/Readings/The_Art_Of_War.pdf
will rogers aliwahi kusema
"There are three kinds of men. The one that learns by reading. The few who learn by observation. The rest of them have to pee on the electric fence for themselves.”
sasa mkuu sijui unaangukia wap😎i?
 
Sawa. Ila unaposema huoni tofauti yako na wanaosoma vitabu ni kwamba tofauti ipo but you are just OBLIVIOUS.
Na ndivyo nimesema hivyo kwasababu kweli siioni na kusoma vitabu nakosa purpose na good reasons. Hivyo ni kweli sioni tofauti.
 
pdf hiyo hapo
https://sites.ualberta.ca/~enoch/Readings/The_Art_Of_War.pdf
will rogers aliwahi kusema
"There are three kinds of men. The one that learns by reading. The few who learn by observation. The rest of them have to pee on the electric fence for themselves.”
sasa mkuu sijui unaangukia wap😎i?
Hahaha I am the one who can pee on the electric fence by myself. I am always curious to see what will happen after.
 
We utakua labda umehitimu chuo cha cherehani
Maana sio kwa upupu huo
 
Back
Top Bottom