Mimi nadhani mambo ya maandamano ya ahirishwe

Mimi nadhani mambo ya maandamano ya ahirishwe

z12f

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2017
Posts
745
Reaction score
633
Mimi nadhani mambo ya maandamano ya ahirishwe mpaka October 2030.

Ili uchumi ukue vizuri sana, na utalii ukue vizuri sana, na wananchi wapate vipato vizuri sana.

Inaelekea baadhi ya global na continental agents wa illuminati walitaka akae mpaka Oct 2025, halafu astaafu.

Kuna baadhi ya agents wa illuminati wanataka akae hadi Oct 2030.

Ni global na continental agents wa illuminati hao hao ambao hawakumpenda the late ceo aliemaliza muda wake in March 2021.

Toka Lowassa ajiuzulu on the 7th of February 2008, kwa miaka 17 hakujawahi kuwa na kiongozi mprotestanti kwenye position ya rais, makamu wa rais, na waziri mkuu, mpaka hivi karibuni alipoteuliwa huyu waziri mkuu wa sasa on the 13th of November 2025.

Ili kuwa na political inclusivity nzuri, ni vizuri kwenye kila mzunguko wa miaka 30, miaka 10 apewe mkatoliki, miaka 10 apewe mprotestanti, na miaka 10 apewe muislamu wa sunni.

Na kwenye top 3 positions za rais, makamu wa rais, na waziri mkuu, haya makundi yawepo.

Halafu urais uwe unazunguka kanda kwa kanda sio kurudia kanda zile zile.

Watu wote wanaoshika hizo nafasi za juu, wanatakiwa kwanza kuwa na vigezo na sifa nzuri za uongozi, halafu ndio yanafuata mambo ya madhehebu na kanda.

Of course, hakuna umuhimu wa kufuata power formulae hizo hapo juu, kama kutakuwa na viongozi wazuri sana, wenye vigezo na sifa nzuri sana, ambao hawaendani na hizo formulae hapo juu.

30% - 40% ya watanzania ni wakatoliki.

30% - 40% ya watanzania ni waprotestanti.

20% - 30% ya watanzania ni waislamu.


Some suggestions that will boost economic development in Tanzania.

1) If there is a single currency in the EAC area (or in the AfCFTA area or in the SADC area), it can co-exist with national currencies, do not abolish the national currencies.

Make the whole main road from Holili (on the Tanzanian-Kenyan border, via Moshi and Arusha) until Makuyuni (when the main road branches to Babati and to Ngorongoro gate), to become a double road.

2) Change the labour laws to be pro-young and also to accommodate Gen Zs.

Make the labour laws to allow for 50% part-time employment in the government civil service, and in the entire public sector (including in Universities and Colleges) and also in the corporate private sector. Also make the labour laws to allow for short-term contracts that range from 1 month to 12 months, whether full-time or part-time (50%), in the government civil service, in the public sector (including in Universities and Colleges), in public corporations, and in the corporate private sector.

Make internship programmes, graduate trainee programmes, graduate management trainee programmes (that employ young people with absolutely no work experience), mandatory, in the civil service, in the public sector, in public corporations, and in the corporate private sector.

Compulsory retirement age, in the government civil service, in the public sector (including in Universities and Colleges), in public corporations, and in the corporate private sector, should be increased from 60 years to 70 years. So as to accommodate young people, Gen Zs and Gen Xs, who are not yet successful in life.

3) Encourage and promote youth self-employment and employment, within EAC and SADC countries.

Encourage institutional landlords to build more apartments and houses that can be rent to young people at affordable rents e.g. NHC, NSSF, PSSSF, AICC, Watumishi housing, Tanzania Buildings Agency etc. The apartments and houses should have 3 or 4 bedrooms, and 2 toilets.

4) Make Arusha city a hub for international organisations like the EAC, SADC, AU, AfCFTA, UN, World Bank, IMF etc. And improve the infrastructure of Arusha city. Including tarmacking the road that goes into the AICC estate area, off Njiro Road.

Also remove the entire old railway (one meter gauge) that goes from Ruvu to Moshi and Arusha, and replace it with SGR railway. So that you will have SGR railway from Dar es Salaam via Ruvu, to Moshi, Arusha and Tanga. You can create a straighter railway path only in places with sharp corners or you may use an underground path in a mountainous area like Korogwe.

You can also use high speed diesel train engines in addition to the electric run train engines.

5) Build a SGR rail from Makuyuni to Arusha to KIA to Moshi and to Himo and to Holili.

6) The Eastern and Southern African Management Institute (ESAMI) should become the Eastern and Southern African Management University (ESAMU).

7) Lengthen the runway of KIA airport to 4,000 metres, lengthen the runway of Arusha airport, to 3,300 metres, if there is free space. If there is no space, tarmac 3.3 kms of lake Manyara airport runway.

If there is free space, the runways of all regional airports in Tanzania should be at least 3 kms of tarmac, this will enable big airplanes to land in all regions of Tanzania.

8) Build a 3.3 km runway for airplanes (with a very small building for a terminal), some where near lake Chala area or near lower Uchira area. This will boost tourism and development in the area.

9) Give city status to Moshi town. Expanding it southwards and downwards away from the mountain. And improve its infrastructure. Also finish tarmacking the Kamwanga to Siha to KIA junction, road.

10) To connect the harbour berths where ships load and unload their cargo inside the Dar es Salaam port, directly with a SGR rail link which will then, down the line, connect with the Dar es Salaam - Dodoma SGR rail and also with the TAZARA rail. So that containers can be loaded and unloaded directly from ships, to and from rail trucks, inside the harbour, to and from SGR rail and TAZARA rail. This will increase port efficiency and government tax revenue.

11) Tarmac the road that directly connects Karatu with Mwadui, north of lake Eyasi (without passing through Singida region) or that connects Karatu with Bariadi, via a junction of Ngorongoro and Serengeti road. This will boost tourism.

12) Tarmac the road from Ngorongoro park gate to Serengeti park gate to Musoma lake Victoria beach. This will boost tourism.

13) Open more mountain climbing routes in Kilimanjaro e.g. open the Mkuu Rombo route, the Msae, Lyakirimu, Mwika route, improve the Rongai route, the Sanya juu route etc.

14) Encourage the planting of good trees, that are natural in their local areas, within EAC and SADC countries.

15) Encourage a simple form of solid waste separation, when disposing solid waste from households, firms, local governments, public agencies and the central government.

16) Encourage and promote SMEs and local entrepreneurs.

17) Open a dry port near Dodoma city. And improve the infrastructure of Dodoma city, including building a SGR rail that branches off to near the Chamwino State house and Mtumba government city. Increase the number of double roads in Dodoma city, so as to reduce traffic congestion during peak hours. Build a Dodoma city tramway that uses SGR rail, so that SGR trains from Dar es Salaam can also use the SGR rail to take and deliver goods to and from industrial areas inside Dodoma city.

18) To connect a large fresh water pipe between Dodoma city and a nearby very large river. This will provide Dodoma city residents with clean, fresh and non-salty water. The lake Victoria water may be piped until Singida.

19) If there is free space, to increase the length of the runway of the Dar es Salaam airport, from 3,000 to 3,500 or 4,000 metres. This will attract larger airplanes.

20) To tarmac 3.3 kms of airport runway, between Bagamoyo and Kibaha. No building a terminal.

21) To tarmac 3.3 kms of airport runway, some where, in Mara region, where there is space, so as to boost tourism.

22) Launch a satelite into the earth orbit, that can be used by our telephone and internet companies.

23) Build a small port on lake Tanganyika, some where in Nkasi, Rukwa region.

24) Encorage peaceful resolution of land disputes national wide, as it is done in the Gezaulole area of Kigamboni district.

25) To tarmac 3.3 kms of airport runway, 10 kms south of Morogoro town. No building a terminal.

26) To tarmac the road that goes up from Tangi Bovu bus station (that is opposite the Tangi Bovu kkkt church), towards Mbezi Juu, via Mbezi Hills Apartments, until it reaches Goba road. 3 kms.

27) To gravel or tarmac, the whole of Matasha road (one lane road, one car at one time road), and the whole of Makiidi road (two lane road, two cars at one time road), in Mkuu, Rombo district, Kilimanjaro region.

28) To promote medium scale LNG projects (around 1 billion usd), that may be more financially sustainable, instead of the large scale ones.

29) Allow only 3 passengers to be in a car (together with the car driver), provided they will unboard the car before the car enters the kivukoni ferry and when the car leaves the ferry (15 - 20 metres either side). As opposed to now where by no passengers are allowed to be in the car.

The passengers will be charged the passenger fare while they sit in the car. Instead of leaving the car completely and using the pedestrian ferry entrances.

30) Create a double road on both sides of the kivukoni ferry, so as to reduce car congestion.

31) Increase the pedestrian kivukoni ferry fare from 200 tzs to 300 tzs, in Dar es Salaam.

32) Encourage medium scale LNG projects (around 1 billion USD) that may be more financially feasible. Lengthen the runways of airports that are located in LNG producing areas. Try to connect some major Tanzanian industrial cities with a LNG pipeline network. Inject a bit more money into TPDC and PURA, so as to capacitate them more.

33) Produce domestic and or industrial cooking stoves, that use high quality 'clean' coal (that generates very little smoke when fired), that is mined in Tanzania (e.g. in Ruvuma). This will reduce the use of charcoal and firewood.

34) Loans provided by the pension funds to the government, should be in the form of treasury bills or bonds, may be sometimes interest free treasury bills and bonds.

35) Maximum presidential terms, should be three terms of five years each, and not the current two terms. Warioba's commission constitution proposals had some important democratic deficiencies, and there are some good things they failed to take from the 1977 constitution. Warioba's commission constitution proposals are now a bit old (they are at least 10 years old). Warioba's commission constitution proposals should be reviewed and improved, in a more democratic direction, in case we are going to have a new constitution.

36) TAKUKURU should be renamed Tanzania Bureau of Investigation. The government should also form the Tanzania Secret Service (TSS), which will cooperate with the current Tanzania Intelligence and Security Services (TISS). Tanzania Secret Service (TSS), will be more responsible with the security of the President and of the state house premises.

37) Build a tarmac road that connects Muheza and Babati.

38) Promote tourism in Dar es Salaam and Coast regions.

39) A double road from Dar es Salaam to Dodoma, via Morogoro, and may be also from Morogoro to Tunduma.

40) Build a road that connects Mahenge in Morogoro region with Kilwa Masoko in Lindi region (directly via Nyerere national park).


Umuhimu wa Tanzania strategically:

1) Ni nchi muhimu kwa waarabu (Misri na Sudan Kaskazini) kwasababu sehemu kubwa ya ziwa Victoria iko TZ na sehemu kubwa ya maji ya mto White Nile yanategemea ziwa hilo. Pia mto Kagera unao ingia ziwa Viktoria unapitia Tanzania. Zanzibar iko TZ (muhimu kwa wa oman). Na kuna kipindi waarabu walitawala mwambao wa Tanzania. Ni nchi muhimu pia kwa wa Israeli wanapo taka ku balance Arab influence.

2) Ni nchi muhimu kwa mataifa ya Kiislamu kwasababu ni nchi yenye Waislamu wengi kuliko nchi yeyote Afrika Kusini mwa equator. 20% - 30% ya waTZ ni Waislamu.

3) Ni nchi muhimu kwa wakatoliki wanaozungumza Kiingereza (wakatoliki wa anglo-saxons na wairish). Kwa sababu ni nchi ya pili afrika kuwa na wakatoliki wengi (kwenye nchi za Africa zinazozungumza kiingereza). 30% - 40% ya waTZ ni wakatoliki.

4) Ni nchi muhimu kwa Walutheri wa Ujerumani, scandanavia, USA na kwingineko. Kwasababu Tanzania inaongoza Africa kwa kuwa na idadi kubwa ya walutheri. 30% - 40% ya waTZ ni waprotestanti. Na Walutheri ndio dhehebu lenye waumini wengi kuliko madhehebu mengine ya Kiprotestanti TZ. Ni nchi muhimu pia kwa madhehebu ya Kikristo yenye asili ya Marekani.

5) Kutokana na its location and population kubwa, ni nchi muhimu geo-politically. Kwa global super power na continental powers kama wamarekani na wachina. Vile vile ni nchi muhimu kutokana na its past military interventions. Pia ni nchi muhimu kwa UK and Germany as hawa walikua wakoloni wa Tanzania.

6) Kutokana na its abundant natural resources na population kubwa, ni nchi muhimu kwa economic powers kama USA, Russia, China, India, UK, Japan, Germany.

7) Ni nchi muhimu kwa watu waliompenda Nyerere. May be ni muhimu pia kwa watu waliomchukia Nyerere.

8) TZ ni muhimu kwa waTZ wenyewe since ni nyumbani kwao.

9) TZ ni muhimu kwa wanamazingira wa dunia as ina abundant plant life and animal life e.g. wanyamapori wengi, misitu ya asili, Milima etc.

10) Since TZ kuna wanadamu na wanyama, TZ ni nchi muhimu pia kwa Mungu (kama ilivyo nchi nyingine). So TZ (kama ilivyo nchi nyingine) kuna mivutano ya kiroho baina ya Mungu na Shetani.


May - June, 2026 AD, ni miaka 2,000 tangu Bwana Yahushua Mashiach abatizwe na Yohana Mbatizaji, in the day of Pentecost, in May - June, 26 AD.

May - June, 2030 AD, ni miaka 2,000 ya kuhubiriwa kwa injili ya Bwana Yahushua Mashiach, kwa mataifa yote ya dunia (since the day of Pentecost, in May - June, 30 AD), baada ya kuteswa, kusulubiwa, kufa na kufufuka kwake, in April, 30 AD.

Kwa hiyo dunia, waafrika, na watanzania tunapitia kwenye majira na nyakati muhimu.


Sala ya kuliombea taifa letu la Tanzania, Tanganyika, Unguja na Pemba.

Baba yetu uliye mbinguni, jina lako litukuzwe.

Ufalme wako ufike. Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni.

Utupe leo mkate wetu wa kila siku.

Utusamehe makosa yetu, kama tunavyo wasamehe na sisi waliotukosea.

Usitutie katika kishawishi, lakini utuokoe kutoka maovuni.

Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele, Amen.

Eee Adonai YAHWEH El wa Abraham, Isaac na Jacob, muumba wa mbingu na nchi na bahari na vyote vilivyomo, tunaomba ulisaidie, ulitajirishe na ulistawishe sana, taifa letu la Tanzania, Tanganyika, Unguja na Pemba, na watu wake, na ulipe (na uwape watu wake) afya nzuri sana, amani, furaha, ustawi, utajiri mwingi sana, haki, katiba nzuri sana, serikali nzuri sana, sera nzuri sana, maisha marefu sana, uzima tele na uzima wa milele. Na pia ulisaidie na uwasaidie watu wake na makabila yake katika mambo yao yote mazuri na kwenye mahitaji yao yote mazuri na kwenye shida zao zote halali, na pia uwasaidie wapendane. Na pia ulikinge na uwakinge watu wake wasipate misukosuko ya kisiasa na ya kijamii. Na pia uli inue liwe taifa bora na la mfano mzuri barani Afrika.

Na pia ulisaidie lisionewe na taifa lolote wala lisionee taifa lolote.

Na pia ulisaidie li ipende injili ya kweli ya Mwanao Yahushua Mashiach.

Tunaomba utusaidie kwenye matatizo yetu yote tunayo yajua na tusiyo yajua. Na pia tuna yaombea mataifa mengine na makabila mengine ya Afrika na duniani.

Tunaomba haya yote ee Adonai YAHWEH El wa Abraham, Isaac na Jacob na tunakushukuru kwa mema yote uliyotufanyia kwa kupitia damu ya Mwanao Yahushua Mashiach iliyomwagika msalabani, na kwa kupitia neema, rehema, huruma na jina la Mwanao Yahushua Mashiach, Bwana na Mwokozi wetu, Amen. Kwa Jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu, Amen.

Sala imeishia hapo.


 
Kwa hilo gazeti inaonyesha upo kazini, huwezi kuandika gazet hilo bure huo mda unatoka wapi maisha haya
Siko kazini.

Nimeunganisha kwenye sehemu moja, mambo ambayo nime yaandika kidogo kidogo kwa miezi kadhaa.

Hali ya uchumi ni ngumu, ndio maana nimeshauri mambo ya maandamano ya ahirishwe mpaka October 2030, ili uchumi wa nchi na wa wananchi usiumie.
 
vipi waliandamana jana si ndio ilikuwa tarehe 12?
 
Siko kazini.

Nimeunganisha kwenye sehemu moja, mambo ambayo nime yaandika kidogo kidogo kwa miezi kadhaa.

Hali ya uchumi ni ngumu, ndio maana nimeshauri mambo ya maandamano ya ahirishwe mpaka October 2030, ili uchumi wa nchi na wa wananchi usiumie.
Huu hapa ni muhtasari wa hoja za mtoa mada (z12f)

Mtoa mada amewasilisha hoja mchanganyiko zinazohusu siasa, uchumi, miundombinu, na imani:
Siasa na Maandamano: Anashauri maandamano yasitishwe hadi Oktoba 2030 ili kutoa nafasi kwa ukuaji wa uchumi na utalii.
Mfumo wa Uongozi: Anapendekeza mzunguko wa miaka 30 ya uongozi (miaka 10 kwa Mkatoliki, 10 Mprotestanti, na 10 Mwislamu) na urais kuzunguka kanda zote. Pia anapendekeza muda wa urais uwe vipindi vitatu (miaka 15) badala ya viwili.
Nadharia za Siri: Anadai kuna ushawishi wa mawakala wa Illuminati katika siasa za Tanzania na mabadiliko ya viongozi.
Maendeleo ya Uchumi (Mambo 40): Ametoa orodha ndefu ya miradi ikiwemo:
Kujenga barabara za njia mbili (double roads) na SGR maeneo mengi (Arusha, Moshi, Holili).
Kuboresha viwanja vya ndege mikoani (runways za km 3-4).
Mabadiliko ya sheria za kazi (kuongeza umri wa kustaafu hadi miaka 70 na ajira za muda kwa vijana).
Kubadilisha TAKUKURU kuwa Tanzania Bureau of Investigation (TBI).
Imani: Amemalizia kwa kutoa unabii wa miaka 2,000 tangu ubatizo na injili ya Yesu, akihitimisha kwa sala ya kuliombea taifa.
 
Mimi nadhani mambo ya maandamano ya ahirishwe mpaka October 2030.

Ili uchumi ukue vizuri sana, na utalii ukue vizuri sana, na wananchi wapate vipato vizuri sana.

Inaelekea baadhi ya global na continental agents wa illuminati walitaka akae mpaka Oct 2025, halafu astaafu.

Kuna baadhi ya agents wa illuminati wanataka akae hadi Oct 2030.

Ni global na continental agents wa illuminati hao hao ambao hawakumpenda the late ceo aliemaliza muda wake in March 2021.

Toka Lowassa ajiuzulu on the 7th of February 2008, kwa miaka 17 hakujawahi kuwa na kiongozi mprotestanti kwenye position ya rais, makamu wa rais, na waziri mkuu, mpaka hivi karibuni alipoteuliwa huyu waziri mkuu wa sasa on the 13th of November 2025.

Ili kuwa na political inclusivity nzuri, ni vizuri kwenye kila mzunguko wa miaka 30, miaka 10 apewe mkatoliki, miaka 10 apewe mprotestanti, na miaka 10 apewe muislamu wa sunni.

Na kwenye top 3 positions za rais, makamu wa rais, na waziri mkuu, haya makundi yawepo.

Halafu urais uwe unazunguka kanda kwa kanda sio kurudia kanda zile zile.

Watu wote wanaoshika hizo nafasi za juu, wanatakiwa kwanza kuwa na vigezo na sifa nzuri za uongozi, halafu ndio yanafuata mambo ya madhehebu na kanda.

Of course, hakuna umuhimu wa kufuata power formulae hizo hapo juu, kama kutakuwa na viongozi wazuri sana, wenye vigezo na sifa nzuri sana, ambao hawaendani na hizo formulae hapo juu.

30% - 40% ya watanzania ni wakatoliki.

30% - 40% ya watanzania ni waprotestanti.

20% - 30% ya watanzania ni waislamu.


Some suggestions that will boost economic development in Tanzania.

1) If there is a single currency in the EAC area (or in the AfCFTA area or in the SADC area), it can co-exist with national currencies, do not abolish the national currencies.

Make the whole main road from Holili (on the Tanzanian-Kenyan border, via Moshi and Arusha) until Makuyuni (when the main road branches to Babati and to Ngorongoro gate), to become a double road.

2) Change the labour laws to be pro-young and also to accommodate Gen Zs.

Make the labour laws to allow for 50% part-time employment in the government civil service, and in the entire public sector (including in Universities and Colleges) and also in the corporate private sector. Also make the labour laws to allow for short-term contracts that range from 1 month to 12 months, whether full-time or part-time (50%), in the government civil service, in the public sector (including in Universities and Colleges), in public corporations, and in the corporate private sector.

Make internship programmes, graduate trainee programmes, graduate management trainee programmes (that employ young people with absolutely no work experience), mandatory, in the civil service, in the public sector, in public corporations, and in the corporate private sector.

Compulsory retirement age, in the government civil service, in the public sector (including in Universities and Colleges), in public corporations, and in the corporate private sector, should be increased from 60 years to 70 years. So as to accommodate young people, Gen Zs and Gen Xs, who are not yet successful in life.

3) Encourage and promote youth self-employment and employment, within EAC and SADC countries.

Encourage institutional landlords to build more apartments and houses that can be rent to young people at affordable rents e.g. NHC, NSSF, PSSSF, AICC, Watumishi housing, Tanzania Buildings Agency etc. The apartments and houses should have 3 or 4 bedrooms, and 2 toilets.

4) Make Arusha city a hub for international organisations like the EAC, SADC, AU, AfCFTA, UN, World Bank, IMF etc. And improve the infrastructure of Arusha city. Including tarmacking the road that goes into the AICC estate area, off Njiro Road.

Also remove the entire old railway (one meter gauge) that goes from Ruvu to Moshi and Arusha, and replace it with SGR railway. So that you will have SGR railway from Dar es Salaam via Ruvu, to Moshi, Arusha and Tanga. You can create a straighter railway path only in places with sharp corners or you may use an underground path in a mountainous area like Korogwe.

You can also use high speed diesel train engines in addition to the electric run train engines.

5) Build a SGR rail from Makuyuni to Arusha to KIA to Moshi and to Himo and to Holili.

6) The Eastern and Southern African Management Institute (ESAMI) should become the Eastern and Southern African Management University (ESAMU).

7) Lengthen the runway of KIA airport to 4,000 metres, lengthen the runway of Arusha airport, to 3,300 metres, if there is free space. If there is no space, tarmac 3.3 kms of lake Manyara airport runway.

If there is free space, the runways of all regional airports in Tanzania should be at least 3 kms of tarmac, this will enable big airplanes to land in all regions of Tanzania.

8) Build a 3.3 km runway for airplanes (with a very small building for a terminal), some where near lake Chala area or near lower Uchira area. This will boost tourism and development in the area.

9) Give city status to Moshi town. Expanding it southwards and downwards away from the mountain. And improve its infrastructure. Also finish tarmacking the Kamwanga to Siha to KIA junction, road.

10) To connect the harbour berths where ships load and unload their cargo inside the Dar es Salaam port, directly with a SGR rail link which will then, down the line, connect with the Dar es Salaam - Dodoma SGR rail and also with the TAZARA rail. So that containers can be loaded and unloaded directly from ships, to and from rail trucks, inside the harbour, to and from SGR rail and TAZARA rail. This will increase port efficiency and government tax revenue.

11) Tarmac the road that directly connects Karatu with Mwadui, north of lake Eyasi (without passing through Singida region) or that connects Karatu with Bariadi, via a junction of Ngorongoro and Serengeti road. This will boost tourism.

12) Tarmac the road from Ngorongoro park gate to Serengeti park gate to Musoma lake Victoria beach. This will boost tourism.

13) Open more mountain climbing routes in Kilimanjaro e.g. open the Mkuu Rombo route, the Msae, Lyakirimu, Mwika route, improve the Rongai route, the Sanya juu route etc.

14) Encourage the planting of good trees, that are natural in their local areas, within EAC and SADC countries.

15) Encourage a simple form of solid waste separation, when disposing solid waste from households, firms, local governments, public agencies and the central government.

16) Encourage and promote SMEs and local entrepreneurs.

17) Open a dry port near Dodoma city. And improve the infrastructure of Dodoma city, including building a SGR rail that branches off to near the Chamwino State house and Mtumba government city. Increase the number of double roads in Dodoma city, so as to reduce traffic congestion during peak hours. Build a Dodoma city tramway that uses SGR rail, so that SGR trains from Dar es Salaam can also use the SGR rail to take and deliver goods to and from industrial areas inside Dodoma city.

18) To connect a large fresh water pipe between Dodoma city and a nearby very large river. This will provide Dodoma city residents with clean, fresh and non-salty water. The lake Victoria water may be piped until Singida.

19) If there is free space, to increase the length of the runway of the Dar es Salaam airport, from 3,000 to 3,500 or 4,000 metres. This will attract larger airplanes.

20) To tarmac 3.3 kms of airport runway, between Bagamoyo and Kibaha. No building a terminal.

21) To tarmac 3.3 kms of airport runway, some where, in Mara region, where there is space, so as to boost tourism.

22) Launch a satelite into the earth orbit, that can be used by our telephone and internet companies.

23) Build a small port on lake Tanganyika, some where in Nkasi, Rukwa region.

24) Encorage peaceful resolution of land disputes national wide, as it is done in the Gezaulole area of Kigamboni district.

25) To tarmac 3.3 kms of airport runway, 10 kms south of Morogoro town. No building a terminal.

26) To tarmac the road that goes up from Tangi Bovu bus station (that is opposite the Tangi Bovu kkkt church), towards Mbezi Juu, via Mbezi Hills Apartments, until it reaches Goba road. 3 kms.

27) To gravel or tarmac, the whole of Matasha road (one lane road, one car at one time road), and the whole of Makiidi road (two lane road, two cars at one time road), in Mkuu, Rombo district, Kilimanjaro region.

28) To promote medium scale LNG projects (around 1 billion usd), that may be more financially sustainable, instead of the large scale ones.

29) Allow only 3 passengers to be in a car (together with the car driver), provided they will unboard the car before the car enters the kivukoni ferry and when the car leaves the ferry (15 - 20 metres either side). As opposed to now where by no passengers are allowed to be in the car.

The passengers will be charged the passenger fare while they sit in the car. Instead of leaving the car completely and using the pedestrian ferry entrances.

30) Create a double road on both sides of the kivukoni ferry, so as to reduce car congestion.

31) Increase the pedestrian kivukoni ferry fare from 200 tzs to 300 tzs, in Dar es Salaam.

32) Encourage medium scale LNG projects (around 1 billion USD) that may be more financially feasible. Lengthen the runways of airports that are located in LNG producing areas. Try to connect some major Tanzanian industrial cities with a LNG pipeline network. Inject a bit more money into TPDC and PURA, so as to capacitate them more.

33) Produce domestic and or industrial cooking stoves, that use high quality 'clean' coal (that generates very little smoke when fired), that is mined in Tanzania (e.g. in Ruvuma). This will reduce the use of charcoal and firewood.

34) Loans provided by the pension funds to the government, should be in the form of treasury bills or bonds, may be sometimes interest free treasury bills and bonds.

35) Maximum presidential terms, should be three terms of five years each, and not the current two terms. Warioba's commission constitution proposals had some important democratic deficiencies, and there are some good things they failed to take from the 1977 constitution. Warioba's commission constitution proposals are now a bit old (they are at least 10 years old). Warioba's commission constitution proposals should be reviewed and improved, in a more democratic direction, in case we are going to have a new constitution.

36) TAKUKURU should be renamed Tanzania Bureau of Investigation. The government should also form the Tanzania Secret Service (TSS), which will cooperate with the current Tanzania Intelligence and Security Services (TISS). Tanzania Secret Service (TSS), will be more responsible with the security of the President and of the state house premises.

37) Build a tarmac road that connects Muheza and Babati.

38) Promote tourism in Dar es Salaam and Coast regions.

39) A double road from Dar es Salaam to Dodoma, via Morogoro, and may be also from Morogoro to Tunduma.

40) Build a road that connects Mahenge in Morogoro region with Kilwa Masoko in Lindi region (directly via Nyerere national park).


May - June, 2026 AD, ni miaka 2,000 tangu Bwana Yahushua Mashiach abatizwe na Yohana Mbatizaji, in the day of Pentecost, in May - June, 26 AD.

May - June, 2030 AD, ni miaka 2,000 ya kuhubiriwa kwa injili ya Bwana Yahushua Mashiach, kwa mataifa yote ya dunia (since the day of Pentecost, in May - June, 30 AD), baada ya kuteswa, kusulubiwa, kufa na kufufuka kwake, in April, 30 AD.

Kwa hiyo dunia, waafrika, na watanzania tunapitia kwenye majira na nyakati muhimu.


Sala ya kuliombea taifa letu la Tanzania, Tanganyika, Unguja na Pemba.

Baba yetu uliye mbinguni, jina lako litukuzwe.

Ufalme wako ufike. Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni.

Utupe leo mkate wetu wa kila siku.

Utusamehe makosa yetu, kama tunavyo wasamehe na sisi waliotukosea.

Usitutie katika kishawishi, lakini utuokoe kutoka maovuni.

Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele, Amen.

Eee Adonai YAHWEH El wa Abraham, Isaac na Jacob, muumba wa mbingu na nchi na bahari na vyote vilivyomo, tunaomba ulisaidie, ulitajirishe na ulistawishe sana, taifa letu la Tanzania, Tanganyika, Unguja na Pemba, na watu wake, na ulipe (na uwape watu wake) afya nzuri sana, amani, furaha, ustawi, utajiri mwingi sana, haki, katiba nzuri sana, serikali nzuri sana, sera nzuri sana, maisha marefu sana, uzima tele na uzima wa milele. Na pia ulisaidie na uwasaidie watu wake na makabila yake katika mambo yao yote mazuri na kwenye mahitaji yao yote mazuri na kwenye shida zao zote halali, na pia uwasaidie wapendane. Na pia ulikinge na uwakinge watu wake wasipate misukosuko ya kisiasa na ya kijamii. Na pia uli inue liwe taifa bora na la mfano mzuri barani Afrika.

Na pia ulisaidie lisionewe na taifa lolote wala lisionee taifa lolote.

Na pia ulisaidie li ipende injili ya kweli ya Mwanao Yahushua Mashiach.

Tunaomba utusaidie kwenye matatizo yetu yote tunayo yajua na tusiyo yajua. Na pia tuna yaombea mataifa mengine na makabila mengine ya Afrika na duniani.

Tunaomba haya yote ee Adonai YAHWEH El wa Abraham, Isaac na Jacob na tunakushukuru kwa mema yote uliyotufanyia kwa kupitia damu ya Mwanao Yahushua Mashiach iliyomwagika msalabani, na kwa kupitia neema, rehema, huruma na jina la Mwanao Yahushua Mashiach, Bwana na Mwokozi wetu, Amen. Kwa Jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu, Amen.

Sala imeishia hapo.


"Mkuu z12f, andiko lako lina maono makubwa, lakini ni lazima tuzingatie hali halisi ya sasa. Tangu yaliyotokea Oktoba 29, nchi yetu ipo kwenye kipindi cha mpito kinachohitaji kupona (healing).
Tume ya Rais ni Daraja: Hatua ya Mheshimiwa Rais kuunda Tume ni uthibitisho kwamba serikali inatambua hitaji la maridhiano. Huu ndio utaratibu rasmi na wa kistaarabu wa kushughulikia changamoto zetu. Ni busara kuipa Tume hii nafasi ya kufanya kazi yake ili kupata suluhu ya kudumu, badala ya maandamano yanayoweza kuingiliwa na vurugu na kurudisha nyuma uchumi.
Uchumi na Amani: Miradi uliyotaja kama SGR na maboresho ya viwanja vya ndege itakuwa na maana tu ikiwa nchi ina utulivu. Maandamano lazima yafuate utaratibu uliowekwa kisheria ili kutoingilia mchakato huu wa kupona na kutovuruga amani ambayo ni msingi wa utalii na uwekezaji.
Uongozi na Katiba: Mapendekezo yako ya mfumo wa uongozi na muda wa urais ni mambo yanayoweza kujadiliwa kupitia mifumo rasmi ya kisheria (kama Tume hizi) ili kuhakikisha tunajenga Tanzania yenye inclusivity bila kugawa watu kwa dini au kanda.
Kwa sasa, tuunge mkono juhudi za maridhiano zinazochukuliwa na Rais ili nchi ipone kwanza, kisha tuelekeze nguvu zote kwenye kukuza uchumi na ustawi wa wananchi kuelekea 2030."
 
30% - 40% ya watanzania ni wakatoliki.

30% - 40% ya watanzania ni waprotestanti.

20% - 30% ya watanzania ni waislamu.
Mmmmmmm! Hizi takwimu umezipata wapi? Iombe serikali safari ijayo ikifanya sensa, iweke kipengele cha dini na kabila ndio utavyoona maajabu ya namba tofauti.
 
Mimi nadhani mambo ya maandamano ya ahirishwe mpaka October 2030.

Ili uchumi ukue vizuri sana, na utalii ukue vizuri sana, na wananchi wapate vipato vizuri sana.

Inaelekea baadhi ya global na continental agents wa illuminati walitaka akae mpaka Oct 2025, halafu astaafu.

Kuna baadhi ya agents wa illuminati wanataka akae hadi Oct 2030.

Ni global na continental agents wa illuminati hao hao ambao hawakumpenda the late ceo aliemaliza muda wake in March 2021.

Toka Lowassa ajiuzulu on the 7th of February 2008, kwa miaka 17 hakujawahi kuwa na kiongozi mprotestanti kwenye position ya rais, makamu wa rais, na waziri mkuu, mpaka hivi karibuni alipoteuliwa huyu waziri mkuu wa sasa on the 13th of November 2025.

Ili kuwa na political inclusivity nzuri, ni vizuri kwenye kila mzunguko wa miaka 30, miaka 10 apewe mkatoliki, miaka 10 apewe mprotestanti, na miaka 10 apewe muislamu wa sunni.

Na kwenye top 3 positions za rais, makamu wa rais, na waziri mkuu, haya makundi yawepo.

Halafu urais uwe unazunguka kanda kwa kanda sio kurudia kanda zile zile.

Watu wote wanaoshika hizo nafasi za juu, wanatakiwa kwanza kuwa na vigezo na sifa nzuri za uongozi, halafu ndio yanafuata mambo ya madhehebu na kanda.

Of course, hakuna umuhimu wa kufuata power formulae hizo hapo juu, kama kutakuwa na viongozi wazuri sana, wenye vigezo na sifa nzuri sana, ambao hawaendani na hizo formulae hapo juu.

30% - 40% ya watanzania ni wakatoliki.

30% - 40% ya watanzania ni waprotestanti.

20% - 30% ya watanzania ni waislamu.


Some suggestions that will boost economic development in Tanzania.

1) If there is a single currency in the EAC area (or in the AfCFTA area or in the SADC area), it can co-exist with national currencies, do not abolish the national currencies.

Make the whole main road from Holili (on the Tanzanian-Kenyan border, via Moshi and Arusha) until Makuyuni (when the main road branches to Babati and to Ngorongoro gate), to become a double road.

2) Change the labour laws to be pro-young and also to accommodate Gen Zs.

Make the labour laws to allow for 50% part-time employment in the government civil service, and in the entire public sector (including in Universities and Colleges) and also in the corporate private sector. Also make the labour laws to allow for short-term contracts that range from 1 month to 12 months, whether full-time or part-time (50%), in the government civil service, in the public sector (including in Universities and Colleges), in public corporations, and in the corporate private sector.

Make internship programmes, graduate trainee programmes, graduate management trainee programmes (that employ young people with absolutely no work experience), mandatory, in the civil service, in the public sector, in public corporations, and in the corporate private sector.

Compulsory retirement age, in the government civil service, in the public sector (including in Universities and Colleges), in public corporations, and in the corporate private sector, should be increased from 60 years to 70 years. So as to accommodate young people, Gen Zs and Gen Xs, who are not yet successful in life.

3) Encourage and promote youth self-employment and employment, within EAC and SADC countries.

Encourage institutional landlords to build more apartments and houses that can be rent to young people at affordable rents e.g. NHC, NSSF, PSSSF, AICC, Watumishi housing, Tanzania Buildings Agency etc. The apartments and houses should have 3 or 4 bedrooms, and 2 toilets.

4) Make Arusha city a hub for international organisations like the EAC, SADC, AU, AfCFTA, UN, World Bank, IMF etc. And improve the infrastructure of Arusha city. Including tarmacking the road that goes into the AICC estate area, off Njiro Road.

Also remove the entire old railway (one meter gauge) that goes from Ruvu to Moshi and Arusha, and replace it with SGR railway. So that you will have SGR railway from Dar es Salaam via Ruvu, to Moshi, Arusha and Tanga. You can create a straighter railway path only in places with sharp corners or you may use an underground path in a mountainous area like Korogwe.

You can also use high speed diesel train engines in addition to the electric run train engines.

5) Build a SGR rail from Makuyuni to Arusha to KIA to Moshi and to Himo and to Holili.

6) The Eastern and Southern African Management Institute (ESAMI) should become the Eastern and Southern African Management University (ESAMU).

7) Lengthen the runway of KIA airport to 4,000 metres, lengthen the runway of Arusha airport, to 3,300 metres, if there is free space. If there is no space, tarmac 3.3 kms of lake Manyara airport runway.

If there is free space, the runways of all regional airports in Tanzania should be at least 3 kms of tarmac, this will enable big airplanes to land in all regions of Tanzania.

8) Build a 3.3 km runway for airplanes (with a very small building for a terminal), some where near lake Chala area or near lower Uchira area. This will boost tourism and development in the area.

9) Give city status to Moshi town. Expanding it southwards and downwards away from the mountain. And improve its infrastructure. Also finish tarmacking the Kamwanga to Siha to KIA junction, road.

10) To connect the harbour berths where ships load and unload their cargo inside the Dar es Salaam port, directly with a SGR rail link which will then, down the line, connect with the Dar es Salaam - Dodoma SGR rail and also with the TAZARA rail. So that containers can be loaded and unloaded directly from ships, to and from rail trucks, inside the harbour, to and from SGR rail and TAZARA rail. This will increase port efficiency and government tax revenue.

11) Tarmac the road that directly connects Karatu with Mwadui, north of lake Eyasi (without passing through Singida region) or that connects Karatu with Bariadi, via a junction of Ngorongoro and Serengeti road. This will boost tourism.

12) Tarmac the road from Ngorongoro park gate to Serengeti park gate to Musoma lake Victoria beach. This will boost tourism.

13) Open more mountain climbing routes in Kilimanjaro e.g. open the Mkuu Rombo route, the Msae, Lyakirimu, Mwika route, improve the Rongai route, the Sanya juu route etc.

14) Encourage the planting of good trees, that are natural in their local areas, within EAC and SADC countries.

15) Encourage a simple form of solid waste separation, when disposing solid waste from households, firms, local governments, public agencies and the central government.

16) Encourage and promote SMEs and local entrepreneurs.

17) Open a dry port near Dodoma city. And improve the infrastructure of Dodoma city, including building a SGR rail that branches off to near the Chamwino State house and Mtumba government city. Increase the number of double roads in Dodoma city, so as to reduce traffic congestion during peak hours. Build a Dodoma city tramway that uses SGR rail, so that SGR trains from Dar es Salaam can also use the SGR rail to take and deliver goods to and from industrial areas inside Dodoma city.

18) To connect a large fresh water pipe between Dodoma city and a nearby very large river. This will provide Dodoma city residents with clean, fresh and non-salty water. The lake Victoria water may be piped until Singida.

19) If there is free space, to increase the length of the runway of the Dar es Salaam airport, from 3,000 to 3,500 or 4,000 metres. This will attract larger airplanes.

20) To tarmac 3.3 kms of airport runway, between Bagamoyo and Kibaha. No building a terminal.

21) To tarmac 3.3 kms of airport runway, some where, in Mara region, where there is space, so as to boost tourism.

22) Launch a satelite into the earth orbit, that can be used by our telephone and internet companies.

23) Build a small port on lake Tanganyika, some where in Nkasi, Rukwa region.

24) Encorage peaceful resolution of land disputes national wide, as it is done in the Gezaulole area of Kigamboni district.

25) To tarmac 3.3 kms of airport runway, 10 kms south of Morogoro town. No building a terminal.

26) To tarmac the road that goes up from Tangi Bovu bus station (that is opposite the Tangi Bovu kkkt church), towards Mbezi Juu, via Mbezi Hills Apartments, until it reaches Goba road. 3 kms.

27) To gravel or tarmac, the whole of Matasha road (one lane road, one car at one time road), and the whole of Makiidi road (two lane road, two cars at one time road), in Mkuu, Rombo district, Kilimanjaro region.

28) To promote medium scale LNG projects (around 1 billion usd), that may be more financially sustainable, instead of the large scale ones.

29) Allow only 3 passengers to be in a car (together with the car driver), provided they will unboard the car before the car enters the kivukoni ferry and when the car leaves the ferry (15 - 20 metres either side). As opposed to now where by no passengers are allowed to be in the car.

The passengers will be charged the passenger fare while they sit in the car. Instead of leaving the car completely and using the pedestrian ferry entrances.

30) Create a double road on both sides of the kivukoni ferry, so as to reduce car congestion.

31) Increase the pedestrian kivukoni ferry fare from 200 tzs to 300 tzs, in Dar es Salaam.

32) Encourage medium scale LNG projects (around 1 billion USD) that may be more financially feasible. Lengthen the runways of airports that are located in LNG producing areas. Try to connect some major Tanzanian industrial cities with a LNG pipeline network. Inject a bit more money into TPDC and PURA, so as to capacitate them more.

33) Produce domestic and or industrial cooking stoves, that use high quality 'clean' coal (that generates very little smoke when fired), that is mined in Tanzania (e.g. in Ruvuma). This will reduce the use of charcoal and firewood.

34) Loans provided by the pension funds to the government, should be in the form of treasury bills or bonds, may be sometimes interest free treasury bills and bonds.

35) Maximum presidential terms, should be three terms of five years each, and not the current two terms. Warioba's commission constitution proposals had some important democratic deficiencies, and there are some good things they failed to take from the 1977 constitution. Warioba's commission constitution proposals are now a bit old (they are at least 10 years old). Warioba's commission constitution proposals should be reviewed and improved, in a more democratic direction, in case we are going to have a new constitution.

36) TAKUKURU should be renamed Tanzania Bureau of Investigation. The government should also form the Tanzania Secret Service (TSS), which will cooperate with the current Tanzania Intelligence and Security Services (TISS). Tanzania Secret Service (TSS), will be more responsible with the security of the President and of the state house premises.

37) Build a tarmac road that connects Muheza and Babati.

38) Promote tourism in Dar es Salaam and Coast regions.

39) A double road from Dar es Salaam to Dodoma, via Morogoro, and may be also from Morogoro to Tunduma.

40) Build a road that connects Mahenge in Morogoro region with Kilwa Masoko in Lindi region (directly via Nyerere national park).


May - June, 2026 AD, ni miaka 2,000 tangu Bwana Yahushua Mashiach abatizwe na Yohana Mbatizaji, in the day of Pentecost, in May - June, 26 AD.

May - June, 2030 AD, ni miaka 2,000 ya kuhubiriwa kwa injili ya Bwana Yahushua Mashiach, kwa mataifa yote ya dunia (since the day of Pentecost, in May - June, 30 AD), baada ya kuteswa, kusulubiwa, kufa na kufufuka kwake, in April, 30 AD.

Kwa hiyo dunia, waafrika, na watanzania tunapitia kwenye majira na nyakati muhimu.


Sala ya kuliombea taifa letu la Tanzania, Tanganyika, Unguja na Pemba.

Baba yetu uliye mbinguni, jina lako litukuzwe.

Ufalme wako ufike. Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni.

Utupe leo mkate wetu wa kila siku.

Utusamehe makosa yetu, kama tunavyo wasamehe na sisi waliotukosea.

Usitutie katika kishawishi, lakini utuokoe kutoka maovuni.

Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele, Amen.

Eee Adonai YAHWEH El wa Abraham, Isaac na Jacob, muumba wa mbingu na nchi na bahari na vyote vilivyomo, tunaomba ulisaidie, ulitajirishe na ulistawishe sana, taifa letu la Tanzania, Tanganyika, Unguja na Pemba, na watu wake, na ulipe (na uwape watu wake) afya nzuri sana, amani, furaha, ustawi, utajiri mwingi sana, haki, katiba nzuri sana, serikali nzuri sana, sera nzuri sana, maisha marefu sana, uzima tele na uzima wa milele. Na pia ulisaidie na uwasaidie watu wake na makabila yake katika mambo yao yote mazuri na kwenye mahitaji yao yote mazuri na kwenye shida zao zote halali, na pia uwasaidie wapendane. Na pia ulikinge na uwakinge watu wake wasipate misukosuko ya kisiasa na ya kijamii. Na pia uli inue liwe taifa bora na la mfano mzuri barani Afrika.

Na pia ulisaidie lisionewe na taifa lolote wala lisionee taifa lolote.

Na pia ulisaidie li ipende injili ya kweli ya Mwanao Yahushua Mashiach.

Tunaomba utusaidie kwenye matatizo yetu yote tunayo yajua na tusiyo yajua. Na pia tuna yaombea mataifa mengine na makabila mengine ya Afrika na duniani.

Tunaomba haya yote ee Adonai YAHWEH El wa Abraham, Isaac na Jacob na tunakushukuru kwa mema yote uliyotufanyia kwa kupitia damu ya Mwanao Yahushua Mashiach iliyomwagika msalabani, na kwa kupitia neema, rehema, huruma na jina la Mwanao Yahushua Mashiach, Bwana na Mwokozi wetu, Amen. Kwa Jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu, Amen.

Sala imeishia hapo.


Utakuwa umekimbiwa na mkeo huko akikuachia watoto.
 
Maamdamano gani yahairishwe??
Hakuna maandamano yoyote,maana Maria Sarungi na Mange Kimavi wapo kwa mabwana zao saivi wanakulana,.
 
Sikusoma hiyo takataka; lakini kufuatana na kichwa cha mada na maneno machache ya mwanzo, wewe utakuwa ni bwege tu, kama walivyo wengine.

Hayo ndiyo maoni yangu.
Isome tu, it is a very good post
 
Umuhimu wa Tanzania strategically:

1) Ni nchi muhimu kwa waarabu (Misri na Sudan Kaskazini) kwasababu sehemu kubwa ya ziwa Victoria iko TZ na sehemu kubwa ya maji ya mto White Nile yanategemea ziwa hilo. Pia mto Kagera unao ingia ziwa Viktoria unapitia Tanzania. Zanzibar iko TZ (muhimu kwa wa oman). Na kuna kipindi waarabu walitawala mwambao wa Tanzania. Ni nchi muhimu pia kwa wa Israeli wanapo taka ku balance Arab influence.

2) Ni nchi muhimu kwa mataifa ya Kiislamu kwasababu ni nchi yenye Waislamu wengi kuliko nchi yeyote Afrika Kusini mwa equator. 20% - 30% ya waTZ ni Waislamu.

3) Ni nchi muhimu kwa wakatoliki wanaozungumza Kiingereza (wakatoliki wa anglo-saxons na wairish). Kwa sababu ni nchi ya pili afrika kuwa na wakatoliki wengi (kwenye nchi za Africa zinazozungumza kiingereza). 30% - 40% ya waTZ ni wakatoliki.

4) Ni nchi muhimu kwa Walutheri wa Ujerumani, scandanavia, USA na kwingineko. Kwasababu Tanzania inaongoza Africa kwa kuwa na idadi kubwa ya walutheri. 30% - 40% ya waTZ ni waprotestanti. Na Walutheri ndio dhehebu lenye waumini wengi kuliko madhehebu mengine ya Kiprotestanti TZ. Ni nchi muhimu pia kwa madhehebu ya Kikristo yenye asili ya Marekani.

5) Kutokana na its location and population kubwa, ni nchi muhimu geo-politically. Kwa global super power na continental powers kama wamarekani na wachina. Vile vile ni nchi muhimu kutokana na its past military interventions. Pia ni nchi muhimu kwa UK and Germany as hawa walikua wakoloni wa Tanzania.

6) Kutokana na its abundant natural resources na population kubwa, ni nchi muhimu kwa economic powers kama USA, Russia, China, India, UK, Japan, Germany.

7) Ni nchi muhimu kwa watu waliompenda Nyerere. May be ni muhimu pia kwa watu waliomchukia Nyerere.

8) TZ ni muhimu kwa waTZ wenyewe since ni nyumbani kwao.

9) TZ ni muhimu kwa wanamazingira wa dunia as ina abundant plant life and animal life e.g. wanyamapori wengi, misitu ya asili, Milima etc.

10) Since TZ kuna wanadamu na wanyama, TZ ni nchi muhimu pia kwa Mungu (kama ilivyo nchi nyingine). So TZ (kama ilivyo nchi nyingine) kuna mivutano ya kiroho baina ya Mungu na Shetani.
 
Umuhimu wa Tanzania strategically:

1) Ni nchi muhimu kwa waarabu (Misri na Sudan Kaskazini) kwasababu sehemu kubwa ya ziwa Victoria iko TZ na sehemu kubwa ya maji ya mto White Nile yanategemea ziwa hilo. Pia mto Kagera unao ingia ziwa Viktoria unapitia Tanzania. Zanzibar iko TZ (muhimu kwa wa oman). Na kuna kipindi waarabu walitawala mwambao wa Tanzania. Ni nchi muhimu pia kwa wa Israeli wanapo taka ku balance Arab influence.

2) Ni nchi muhimu kwa mataifa ya Kiislamu kwasababu ni nchi yenye Waislamu wengi kuliko nchi yeyote Afrika Kusini mwa equator. 20% - 30% ya waTZ ni Waislamu.

3) Ni nchi muhimu kwa wakatoliki wanaozungumza Kiingereza (wakatoliki wa anglo-saxons na wairish). Kwa sababu ni nchi ya pili afrika kuwa na wakatoliki wengi (kwenye nchi za Africa zinazozungumza kiingereza). 30% - 40% ya waTZ ni wakatoliki.

4) Ni nchi muhimu kwa Walutheri wa Ujerumani, scandanavia, USA na kwingineko. Kwasababu Tanzania inaongoza Africa kwa kuwa na idadi kubwa ya walutheri. 30% - 40% ya waTZ ni waprotestanti. Na Walutheri ndio dhehebu lenye waumini wengi kuliko madhehebu mengine ya Kiprotestanti TZ. Ni nchi muhimu pia kwa madhehebu ya Kikristo yenye asili ya Marekani.

5) Kutokana na its location and population kubwa, ni nchi muhimu geo-politically. Kwa global super power na continental powers kama wamarekani na wachina. Vile vile ni nchi muhimu kutokana na its past military interventions. Pia ni nchi muhimu kwa UK and Germany as hawa walikua wakoloni wa Tanzania.

6) Kutokana na its abundant natural resources na population kubwa, ni nchi muhimu kwa economic powers kama USA, Russia, China, India, UK, Japan, Germany.

7) Ni nchi muhimu kwa watu waliompenda Nyerere. May be ni muhimu pia kwa watu waliomchukia Nyerere.

8) TZ ni muhimu kwa waTZ wenyewe since ni nyumbani kwao.

9) TZ ni muhimu kwa wanamazingira wa dunia as ina abundant plant life and animal life e.g. wanyamapori wengi, misitu ya asili, Milima etc.

10) Since TZ kuna wanadamu na wanyama, TZ ni nchi muhimu pia kwa Mungu (kama ilivyo nchi nyingine). So TZ (kama ilivyo nchi nyingine) kuna mivutano ya kiroho baina ya Mungu na Shetani.
Kutokana na jibu ulilonijibu hapo juu, imenilazimu nisome kipande tu cha hili bandiko hapa. Lile la mwanzo sina hata hamu ya kurudi huko.

Mkuu, bado unazungumzia maswala ya 'influence' za watu wa kale.
Huoni kuwa huyu Samia na Genge lake wametupotezea muda sana. kwa vijana wetu, badala ya kuwa wanashughulika na mambo ya kileo, kama Artificial Intelligence (Akili mnemba/Akili Unde); wao (Samia na Genge), wanatuulia raslimali yetu muhimu sana?

Haya ya infuence za waarabu au wazungu yatatupeleka wapi sisi wakati huu?

Ngoja nikuulize: Unajuwa kakisiwa kadogo tu kanakoitwa TAIWAN? Kapo ubavuni mwa China, na mchina anajiapiza hako kakisiwa ni sehemu ya nchi yake.
Bila ya kukupeleka huko kwenye madai, n'k''..., maana yangu ya kutoa kamfano hako ni kukufahamisha tu ukwasi mkubwa unaopatikana kwa juhudi tu za wananchi wake. Hawana madini wala raslimali nyingine. Raslimali yao ni watu tu, basi

Nakupa 'assignment' katafute hali ya uchumi wa kisiwa hicho ulinganishe na hali yetu hapa' Sisi tupo zaidi ya milioni 60, wao ni takribani milioni 30 au pungufu.

Sasa unatuletea hapa haya mabandiko ya ajabu ajabu haya, OOhh, Mungu wangu, nchi hii mbona ni kama tuna laana?

Mkuu, nakusihi siku nyingine tuletee makala ndefu za kuonyesha jinsi waTanzania walivyoweza kufanikisha kilimo cha soya na kujaza soko la Uchina,,,; hivyo hivyo, hata nyama ya nguruwe na kuku, na samaki; kama wewe bado unaona mambo ya Akili Unde ni maswala magumu sana kuyamudu.


Kwa kuwa unaandika maandiko marefu, usichoke kunisoma kwa umakini unielewe ninachokueleza hapa.
 
Back
Top Bottom