Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 16,756
- 42,654
Ishakula kwake huyo tayariAjiandae aanze tembea na mafuta atafute yanayomfaaa
Ishakula kwake huyo tayariAjiandae aanze tembea na mafuta atafute yanayomfaaa
Analetewa macho ma3 while atatakiwa kutoa jicho 1ππIshakula kwake huyo tayari
Barter trade hiyo. Soon ataanza kukaa upande upande π π πAnaletewa macho ma3 while atatakiwa kutoa jicho 1ππ
Ni nzuri atavimba mtaaniBarter trade hiyo. Soon ataanza kukaa upande upande π π π
Hawezi vimba kwa hela za kuinamishwa. Sana sana atakuwa na hasira sana, atakuwa anadai hadi 100. Hela kaipata kwa maumivu π πNi nzuri atavimba mtaani
Simu kali ππatawavimbia ila anajua kua aliinamishwaHawezi vimba kwa hela za kuinamishwa. Sana sana atakuwa na hasira sana, atakuwa anadai hadi 100. Hela kaipata kwa maumivu π π
Kina uncle wakiomba cm wacheze game, atakuwa mkali kinoma π πSimu kali ππatawavimbia ila anajua kua aliinamishwa
π€£π€£π€£π€£Hapo anajua anachat na mchumba. yaani bwege sana huyu mbunge. Hivi hawa ndo wanatunga sheria kweli? Da
Watapigwa wasielewe imekuaje ππKina uncle wakiomba cm wacheze game, atakuwa mkali kinoma π π
Mbunge nakusoma tu hapa sa hii,Nliwaambia mchumba wangu yupo Dodoma kahamia Dar. Kumbe kuna mbunge bwege alikuwa anamfukuzia. Sasa anaandika msg anasikitika kuwa yaani ndo amekosa K hivi hivi..
Mi nliona mchumba anachat nikamwambia anipe simu yake nione anachat na nani. Akataka kukataa maana alikuwa anaona naweza enda mpasua matumbo huyo mtu. Ndo nikalazimisha simu.
Sasa nachat na mbunge nimemwambia atume tsh 500,000 katuma aisee... Kumbe wabunge wana pesa ya mchezo sana..nimemwambia my wife to be hapo yeye namwamchia 100,000 ya voucher mi nachukua 400,000.
Nimemwambia Mbunge anitumie na Iphone mpya kasema nimpe siku mbili atatuma. Hapo anajua anachat na mchumba. yaani bwege sana huyu mbunge. Hivi hawa ndo wanatunga sheria kweli? Daaah ndo maana sheria nyingine ni mbovu.
Nawashauri wanaume tafute mademu wakali mnaweza kuwa mnapata pesa kirahisi tu. Nimemwambia wife asimpoteze huyu mbunge tupige pesa zake.
Nipo hapa mkuu πFikiria huyo mbunge ndio anasoma hapa hii thread anakuwazia nin
Kina uncle watakuwa wanaona simu, ila jamaa anakumbuka zile nje ndani nje ndani. Lazima awe na hasira π π πWatapigwa wasielewe imekuaje ππ
Ila uzuri wa mbunge anaweza kua kizee hatakua na mambo mengi πππ ta ta ta ta ta kamalizaKina uncle watakuwa wanaona simu, ila jamaa anakumbuka zile nje ndani nje ndani. Lazima awe na hasira π π π
Hata angekuwa kikongwe, mashine ni mashine tu. Kama ukiwa na constipation, wakati wa kukata gogo unakuja sura kama umelamba ndimu, sembese hizo ta ta ta π π πIla uzuri wa mbunge anaweza kua kizee hatakua na mambo mengi πππ ta ta ta ta ta kamaliza
πππkikubwa macho ma3 nakwambiaHata angekuwa kikongwe, mashine ni mashine tu. Kama ukiwa na constipation, wakati wa kukata gogo unakuja sura kama umelamba ndimu, sembese hizo ta ta ta π π π
Lazima aanze kukalia Tako moja huyo π