Mikoa maskini zaidi yatajwa

Mikoa maskini zaidi yatajwa

Makamu wa Raisi amesema umasikini upo vijijini zaidi.Pia mikoa yenye wananchi masikini zaidi ni Kagera,Tabora na kigoma.Inakuaje Kagera nayo inakua hapo na wasomi wengi?
Wasomi wa kagera we ni ni majuha, wana kazi kuweka show off mjini wakati kwao hata mbanda ya kulalia hawajengi wala hawapeleki maendeleo
 
Hawana uwzo huo, wachaga wanazidi kuendelea both economical and educational
Muha na mkinga wamekuja juzi wamzidi mchaga aliyekuwa Ktk struggle tangu kabla ya uhuru? Mchaga ana exposure mara 1000 ya Hao
Isitoshe wanachofanya Hao,Wachaga washavuka Huko
Roman empire ilikuwa inawaita Germanic tribes kwamba ni barbarians, leo hii Ujerumani inaizidi mbali sana Italy ambayo ndio remnant ya Rumi. Greek city states zilianzisha ustaarabu wa Ulaya na demokrasia ila leo Ugiriki nchi ya kawaida na EU ndio iliipa package kuizuia isife kiuchumi miaka michache hapo nyuma.
Uingereza ilitawala mataifa kama 30% ya dunia, leo hii Marekani koloni lake linazidi maradufu, hata India imeizidi kimapato. Sasa Wachaga wana ajabu gani.

Unajua hata tukiamua kutumia ushabiki, Wachaga wanawazidi vipi Wanyaki mara 1000, tuachane na 1000 tufanye 10. Wanawazidi vipi mara 10?
 
Toa ujinga wako hapa! unaijua kilimanjaro yote nenda upareni ukaone.
Kwa mujibu WA NBS Kilimanjaro umaskini ni 10% unabishana na takwimu?
Makazi bora vijijini Kilimanjaro ndio inaongoza,huduma bora vijijini kama maji,umeme, barabara,shule, hospital Kilimanjaro Haina mpinzani, Kilimanjaro ni kawaida kukuta Kijiji kina zahanati za private zaidi ya tatu(Kijiji)
HII utakuta wapi zaidi ya Kilimanjaro? Kilimanjaro madarasa yapo mengi Hadi yanakaliwa na mijusi( sio madarasa ya Samia) maana kule walishajenga Zaman
Kilimanjaro (vunjo) mwaka juz wananchi walichanga zaidi ya bilion 5 kukárabati barabara zote za jimbo,kwenu mnaweza ?
Kwa trend HII Kilimanjaro itaendelea kuongoza ever
Kitaaluma Kilimanjaro ni mkoa unaoongoza kidato chá nne kwa karibu miaka 5 mfululizo
Ni mkoa wenye shule nyingi za sekondar kuliko mkoa wowote Tanzanie
Moshi DC ni wilaya inayoongza kwa primary school Tanzania nzima
Rombo ni wilaya pekee Tanzanie yenye umeme kata zote, vijiji vyote,na vitongoji vyote 100% HII huikuti popote zaidi ya Kilimanjaro
Mmiliki WA précision air anatokea Kilimanjaro HII ni exposure kubwa kabisa ya kuitangaza Kilimanjaro
 
Bado mdogo sana na mshamba umepitiwa na vumbi la bhangi ..Mtu wenye pesa hawezi kuongea takataka kama zako .

Tafuta pesa sip mtu anakufa anakosa pesa ya matibabu
Ninazo pesa na Bado ninatafuta,nmeshazunguka dunia HII kijana, niambie unatokea wilaya gani nije kuangalia kama Kuna fursa (infact Kila mahali TZ nzima Wachaga wapo)
 
Roman empire ilikuwa inawaita Germanic tribes kwamba ni barbarians, leo hii Ujerumani inaizidi mbali sana Italy ambayo ndio remnant ya Rumi. Greek city states zilianzisha ustaarabu wa Ulaya na demokrasia ila leo Ugiriki nchi ya kawaida na EU ndio iliipa package kuizuia isife kiuchumi miaka michache hapo nyuma.
Uingereza ilitawala mataifa kama 30% ya dunia, leo hii Marekani koloni lake linazidi maradufu, hata India imeizidi kimapato. Sasa Wachaga wana ajabu gani.

Unajua hata tukiamua kutumia ushabiki, Wachaga wanawazidi vipi Wanyaki mara 1000, tuachane na 1000 tufanye 10. Wanawazidi vipi mara 10?
Mnyaki Ana exposure gani mbele ya mchaga? Labda ya kufungua vi kanisa uchwara
Mnyaki hamfikii mchaga hâta robô kiuchumi Wala kielimu
TZ nzima hakuna asiemjua mchaga almaarufu Mangi mnyaki anajulikana wapi ?
 
Roman empire ilikuwa inawaita Germanic tribes kwamba ni barbarians, leo hii Ujerumani inaizidi mbali sana Italy ambayo ndio remnant ya Rumi. Greek city states zilianzisha ustaarabu wa Ulaya na demokrasia ila leo Ugiriki nchi ya kawaida na EU ndio iliipa package kuizuia isife kiuchumi miaka michache hapo nyuma.
Uingereza ilitawala mataifa kama 30% ya dunia, leo hii Marekani koloni lake linazidi maradufu, hata India imeizidi kimapato. Sasa Wachaga wana ajabu gani.

Unajua hata tukiamua kutumia ushabiki, Wachaga wanawazidi vipi Wanyaki mara 1000, tuachane na 1000 tufanye 10. Wanawazidi vipi mara 10?
Mnyaki Ana exposure gani mbele ya mchaga? Labda ya kufungua vi kanisa uchwara
Mnyaki hamfikii mchaga hâta robô kiuchumi Wala kielimu
TZ nzima hakuna asiemjua mchaga almaarufu Mangi mnyaki anajulikana wapi ?
 
Mnyaki Ana exposure gani mbele ya mchaga? Labda ya kufungua vi kanisa uchwara
Mnyaki hamfikii mchaga hâta robô kiuchumi Wala kielimu
TZ nzima hakuna asiemjua mchaga almaarufu Mangi mnyaki anajulikana wapi ?
Ambacho huelewi ni kwamba kuna mikoa inakua kwa kasi kuliko Kilimanjaro. Hakuna mkoa ambao haukui nchi hii ndio maana status quo inabadilika, tazama tulivyopata uhuru mikoa gani ilikuwa kubwa kiuchumi na leo ni mikoa gani mikubwa.
Klimanjaro ina emigration kubwa kuliko immigration. Wakati Wahehe wanapigana na Wajerumani, kuna watu hata kuvaa walikuwa hawajui. Kuna era tofauti
IMG_20230404_212933.jpg
 
Yaani ukitoa Kilimanjaro, mikoa mingine ya Tanzania ni majanga matupu kwa sehemu kubwa. Kiujumla kwa sehemu kubwa ya nchi kuna harufu kali ya umaskini. Bado kuna kazi kubwa ya kufanya. Serikali izidi kupambana sana kwenye miundombinu, kilimo na elimu. Watu wengi wakipata elimu bora watapambana kujikwamua. Hata Kilimanjaro walitanguliza elimu ndo maana wako hapo walipo.
Kilimanjaro ipi hiyo? Hii ya siha,mwanga,Same au Kuna nyingine? Hata 🤣🤣
 
Ambacho huelewi ni kwamba kuna mikoa inakua kwa kasi kuliko Kilimanjaro. Hakuna mkoa ambao haukui nchi hii ndio maana status quo inabadilika, tazama tulivyopata uhuru mikoa gani ilikuwa kubwa kiuchumi na leo ni mikoa gani mikubwa.
Klimanjaro ina emigration kubwa kuliko immigration. Wakati Wahehe wanapigana na Wajerumani, kuna watu hata kuvaa walikuwa hawajui. Kuna era tofauti View attachment 2576624
[emoji23][emoji23][emoji23] namuona babu ya luambo makiadi
Yupo hapa kusema tumeendelea...
JamiiForums309589418.jpg
 
Hadi miaka 10 ijayo Pwani itaongoza kwa viwanda vingi....

Tatizo la Pwani viwanda havifaidishi wakazi wa hayo maeneo maana ni wavivu wa kufanya kazi, hivyo kazi nyingi zinachukuliwa na watu kutoka mikoa ya mbali

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Iongoze mara ngapi? Hata Sasa ndio Mkoa inaongoza Kwa viwanda vingi
 
Back
Top Bottom