25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,773
Wewe kwenu mkoa gani?ambako hakuna watu masikini?Wanajichetua tu..kalamu mfukoni pamba safi, majigambo mengimengi kumbe bwee!!
Wewe kwenu mkoa gani?ambako hakuna watu masikini?Wanajichetua tu..kalamu mfukoni pamba safi, majigambo mengimengi kumbe bwee!!
Pwani na lindi huko hakuna njaa kilimo cha ufuta na korosho kinawatoa kimasomaso.Huwa siamini kuwa Kagera inapitwa na Pwani na Lindi
Nchi no maskini sawa,ila kuna ile mikoa wanachi wengi wanaishi chini ya Dollar 2 kwa siku matumizi yao.Pia Milo ya shida na utapiamloInawezekana lakini Mimi naona nchi nzima bado inachechemea nadhani Serikali upima umasikini kwa Sehemu zinazochangia Kodi katika kiwango cha chini.
Wapo waliosoma sana ila inawezekana wengi bado wapo wilayani na vijijini huko Shomile wanapata mlo mmoja kwa sikuWatani zangu nshomile huku mjini wanakuwa na majigambo mengi sana, mara waseme wana mtaa wao kule Texas Marekani, lakini mbona hawawekezi kwao? what is wrong nshomile? ngoja tuwaulize kwa kimombo maana wanadai hizi lugha nyingine nyingine hawazielewi vizuri.
Ujuaji... pro-maxMakamu wa Raisi amesema umasikini upo vijijini zaidi.Pia mikoa yenye wananchi masikini zaidi ni Kagera,Tabora na kigoma.Inakuaje Kagera nayo inakua hapo na wasomi wengi?
Si kweli, wanafanya kazi viwandani, na hakuna kitu Kama hicho.Viwanda vile haviwasaidii wakwere na wazaramo wanaoshinda kwa milo miwili
Hayo mahekalu ndo yanafanya mkoa uwe tajiri? Hivi watu mnatumia nini kufikiri [emoji3]Mi pia nashangaa ila kuhusu majumba,kule migombani kuna mahekalu hatari utasema uko masaki
Hiyo milo miwili na yenyewe milo basi, kipande cha mhogo kwa nazi au gahawa na kashata.Viwanda vile haviwasaidii wakwere na wazaramo wanaoshinda kwa milo miwili
Mmejaa sua, mpaka mlimleta saida karoli,Kwaaaakweeeriiiiiiiiiiiiiiiiiii hiii ripotiiiiiiiiiiiiii ni fwekiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kabisaaaa , infwacht yaani Bukoba tunakuwa wa kwanza kwa umasichiniiiii eeeehhhhhh hapana jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiii haiwezekani na mapurofesa wooote wa havard na masachuset wariojaa kure kwenye mikahawa then mtyu anakuja na kaaaakipeperushiii kanaitwa ripoti ,kanatudhalilisha. Kwanza watuambie ERimu za hao watafwitiii STUPID kabisa BHukobaaa tuko juu No matter what
Acha kuwasingizia Wazaramo na wakwere. Huo ni uongo. Huwa wanashindia mlo mmojaViwanda vile haviwasaidii wakwere na wazaramo wanaoshinda kwa milo miwili
List ni mikoa mitano, dodoma na kigoma zikiwemo, na dodoma ni mkoa wa pili masikini hapa Tanzania nyuma ya kigoma ya makamo wa rais.Imetangazwa na Makamu wa Raisi.Angalia ITV habari ya Jana You Tube
Dodoma na kigoma hujaziona?IShomire punguza munkari.
Mnamajigambo sana nilitegemea Kagera iwe namba moja kiuchumi kumbe ziro, siro, sifuri, sufuri
Ai agrii with yuuzi ufutwe itakuwa mabishano kwa kingereza ngoja waje wahaya.