Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,301
Wewe nabii uliyeuawa kikatili una vituko sanaOngeza Na kulipia tuition za kuongea kingereza ili waongee kingereza fasaha
Wewe nabii uliyeuawa kikatili una vituko sanaOngeza Na kulipia tuition za kuongea kingereza ili waongee kingereza fasaha
Karagwe nyumba za udongo nyingi tuUmeshafika hizo wilaya nilizotaja lakini,Karagwe hakuna nyumba ya nyasi wala udongo,vyakula vingi,kahawa na mahindi na maharage yanawapa hela sana
Duh Lindi inaichapa bakora Kagera [emoji2][emoji2][emoji2] Hawa wahaya waache manenoHongereni Linddy!
Misenyi ni very remote,wanajitiaga ujuaji Ila washamba mnoKagera wilaya kama ngara,biharamulo na misenyi ni wilaya maskini sana
Waha ni wachuuzi tu na kelele nyingi? Sekta gani Muha ameiteka nchi hii?Mi hata kigoma nina wasiwasi maana katika safar yangu ya maisha waha ndio vijana wanafuatia wakinga kupambana. Sema hizo jamii kwao hawajengi coz ya uchawi lakin wako vizur
Hongereni Lindi, Sisi Wana Kilimanjaro tuko pamoja nanyi tunashukuru kwa mashirikiano yenu kibiashara na Sisi maeneo ya Kilwa ,Lindi town nkMkuu,
Lindi siku hizi tumeamka Sana.
Tuna misimu ya mazao Kama Sita kwa mwaka inayotufanya tutoke kwenye umasikini wa kutupwa.
Tuna msimu wa mahindi,
Msimu wa kunde,
Msimu wa ufuta,
Msimu wa mbaazi,
Msimu wa korosho,
Na mwisho kabisa msimu wa maembe ambayo kuanzia mwezi wa kumi Hadi wa 12 tunalisha miji mikubwa Kama Dar na Sasa hivi Bahresa ananumua Sana. Si umewahi kusikia "haya ni maembe ya kusini?" Basi ndiyo sisi.
Pia kwa. Maeneo yenye maji ya kutosha tunalima Sana nyanya na vitunguu ambavyo tunalisha mtwara,masasi na Dar es salaam.
Alafu Kuna mgodi wa Namungo ambao upo Ruangwa,unawanufaisha wananchi na kuongeza mzunguko wa hela maana **** wageni wengi Sana Sasa hivi. Rungwa inafikika kwa barababrayya lami na Kuna mahoteli kadhaa ya ghorofa yanayoupendezesha mji.
2025 nikigombea ubunge nikapita ndiyo naenda kuibadilisha moja kwa moja Lindi.
Kwa hiyo Lindi haiwezi kuwa katika hiyo list ya Kigoma,Kagera na Tabora.
Watu pekee walioweza kuwa matajiri nyumbani na ugenini ni Wachagga. Kuna la kujifunza kutoka kwa miamba hii.Unavyowaona Wapemba wana mabiashara makubwa mikoa mbalimbali hasa Kariakoo huwezi dhani Pemba wengine hawana hata vyoo. Kuna Mhindi maskini bongo? Ila kwao India kuna maskini chungu nzima.
Umaskini wa eneo unaweza tokana na fursa ndogo zilizopo ila watu wake walewale wanaweza enda sehemu nyingine wakatajirika. Ndio maana Hyundai ilianzishwa na jamaa aliyetoroka North Korea na Hyundai kwa mwaka inatengeneza hela nyingi zaidi kuliko bajeti ya North Korea nzima.
Elon Musk alitoka South Africa kaenda Marekani sasa ni tajiri, Sergei Brin wazazi waliondoka Urusi wakaenda Marekani na sasa ni billionaire.
Wayahudi wana umiliki wa biashara kubwa na institutions duniani ila nchi yao inasaidiwa security package na Marekani.
Wanabebwa na makabila mengine yaliyo Ktk jamii zaoJibu lako la kisomi lakini mbona wandegereko wazalamo wakwele ni masikini wengi wao tena kuliko wakaazi wa kagera?
Hapo ni umaskini WA MTU mmoja mmoja SII mikoa inayochangia KodiInawezekana lakini Mimi naona nchi nzima bado inachechemea nadhani Serikali upima umasikini kwa Sehemu zinazochangia Kodi katika kiwango cha chini.
Tuma salamu kwa watu wawiliYaani ukitoa Kilimanjaro, mikoa mingine ya Tanzania ni majanga matupu kwa sehemu kubwa. Kiujumla kwa sehemu kubwa ya nchi kuna harufu kali ya umaskini. Bado kuna kazi kubwa ya kufanya. Serikali izidi kupambana sana kwenye miundombinu, kilimo na elimu. Watu wengi wakipata elimu bora watapambana kujikwamua. Hata Kilimanjaro walitanguliza elimu ndo maana wako hapo walipo.
Utapiamlo ni hawaHuko Kilimanjaro kuna nini, tutolee utapiamlo hapa.
Udumavu HII hapa hâta Kagera Bado imo[emoji2]Hapo kuna kagera tu, mbona mikoa mingine hamuoni? Na kuna report za mikoa inayoongoza kwenye udumavu wa mwili na akili mbona hamuiweki humu.
Naam Kilimanjaro umaskini upo Ila ni kwa 10% tu hakuna anaebisha,hâta uchina,usa,ujerumani maskini wapoHata huko Kilimanjaro watu wamechoka sana,hakuna unafuu labda useme tunazidiana kwenye umaskini, hii nchi watu waliojikomboa toka kwenye umaskini ni asilimia ndogo sana.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Kilimanjaro umaskini ni 10% tu huwez fananisha n'a Kagera Yako yenye umaskini WA 48%Watu wanahendekeza mihemiko za ukabila tu hawana hoja wala facts.
Wanakwama mno vijijin Kwao Hali ngumuSipendi kuamini kuwa Kagera ni maskini nyuma ya Lindi na Mtwara! Nshomile mnakwama wapi?!
Naam nyumbani na ugenin Mangi wanatikisaWatu pekee walioweza kuwa matajiri nyumbani na ugenini ni Wachagga. Kuna la kujifunza kutoka kwa miamba hii.
Siku hizi kutokana na mikoa hii kujikwamua kiuchumi basi tunaibatiza upya: Hongera Linddy na Mtwarrer.Siyo linddy mkuu,ni Lindi.
Asante Sana.
Shinyanga haina kelele kahama huko watu wanapesa hatari! Halafu wengi wenye pesa ni mwenyeji wa huko!shinyanga nayo inakosa vipi? mana kule ndo kwenye ugumu halis wa maisha