Mikoa maskini zaidi yatajwa

Mikoa maskini zaidi yatajwa

Makamu wa Raisi amesema umasikini upo vijijini zaidi.Pia mikoa yenye wananchi masikini zaidi ni Kagera,Tabora na kigoma.Inakuaje Kagera nayo inakua hapo na wasomi wengi?
Wanakataa kwao wanakimbilia Dar 🤣🤣

Wanajifanya wa mjini saaana
 
Kwa mujibu WA NBS Kilimanjaro umaskini ni 10% unabishana na takwimu?
Makazi bora vijijini Kilimanjaro ndio inaongoza,huduma bora vijijini kama maji,umeme, barabara,shule, hospital Kilimanjaro Haina mpinzani, Kilimanjaro ni kawaida kukuta Kijiji kina zahanati za private zaidi ya tatu(Kijiji)
HII utakuta wapi zaidi ya Kilimanjaro? Kilimanjaro madarasa yapo mengi Hadi yanakaliwa na mijusi( sio madarasa ya Samia) maana kule walishajenga Zaman
Kilimanjaro (vunjo) mwaka juz wananchi walichanga zaidi ya bilion 5 kukƔrabati barabara zote za jimbo,kwenu mnaweza ?
Kwa trend HII Kilimanjaro itaendelea kuongoza ever
Kitaaluma Kilimanjaro ni mkoa unaoongoza kidato chĆ” nne kwa karibu miaka 5 mfululizo
Ni mkoa wenye shule nyingi za sekondar kuliko mkoa wowote Tanzanie
Moshi DC ni wilaya inayoongza kwa primary school Tanzania nzima
Rombo ni wilaya pekee Tanzanie yenye umeme kata zote, vijiji vyote,na vitongoji vyote 100% HII huikuti popote zaidi ya Kilimanjaro
Mmiliki WA prƩcision air anatokea Kilimanjaro HII ni exposure kubwa kabisa ya kuitangaza Kilimanjaro
Mkuu unaongea utafikiri Kilimanjaro ni mbinguni,Kuna sehemu zimechoka sana Kilimanjaro mkuu,maisha ya Rombo,Mwanga Same,Moshi kuelekea Arusha kugumu hatari,tazama wale wananchi wanaishi karibu na KIA vile vijumba.Yes Kilimanjaro imepiga hatua lakini sio kama unaiongelea😊😊😊
 
Mkuu unaongea utafikiri Kilimanjaro ni mbinguni,Kuna sehemu zimechoka sana Kilimanjaro mkuu,maisha ya Rombo,Mwanga Same,Moshi kuelekea Arusha kugumu hatari,tazama wale wananchi wanaishi karibu na KIA vile vijumba.Yes Kilimanjaro imepiga hatua lakini sio kama unaiongelea[emoji4][emoji4][emoji4]
Tanzania umeskini upo maeneo mengi,ila kuna maeneo umekithiri zaidi sana
 
Sipendi kuamini kuwa Kagera ni maskini nyuma ya Lindi na Mtwara! Nshomile mnakwama wapi?! Jifunzeni kitu K’Njaro.
Duh Mtwara tena??? Umewahi kufika au stori za vijiweni ndio zinakuchanganya. Mi home kwa upande wa mzazi mmoja na Kagera mzazi mmoja. Lkn Mtwara sio masikini kabisa, kuanzia Vijijini hadi mjini maisha yao ni kawaida na ukumbuke hawana kilimo cha chakula kwa wingi lkn pesa inapatikana.
 
Ambacho huelewi ni kwamba kuna mikoa inakua kwa kasi kuliko Kilimanjaro. Hakuna mkoa ambao haukui nchi hii ndio maana status quo inabadilika, tazama tulivyopata uhuru mikoa gani ilikuwa kubwa kiuchumi na leo ni mikoa gani mikubwa.
Klimanjaro ina emigration kubwa kuliko immigration. Wakati Wahehe wanapigana na Wajerumani, kuna watu hata kuvaa walikuwa hawajui. Kuna era tofauti View attachment 2576624
Una habari enzi hizo uchagan Elimu ilikuwepo ilihali maeneo mengine hakukuwa nayo? Imagine watawala WA kichaga wote walikuwa wasomi?,Mangi mareale mwenyewe alipata masters degree mwaka 1942 Cambridge
Pichani chin ni Mangi mareale akiwa ikulu ya Moshi alipopokea ugeni WA rais WA marekani
FB_IMG_16367813303289740.jpg
 
Kule Kwa kina Dr Mollel ndio kwanza wanajengewa hospital,Rombo ni maskini wa kufa mtu,Same na Mwanga ni choka mbaya kabisa [emoji16][emoji16]
Unabishana na takwimu?
Kilimanjaro umaskini upo kwa 10% tu
Siha Kuna hospital inaitwa kibongoto ya tangia zamani MBna? Hiyo inayojengwa ni additionnel,ni kawaida Kilimanjaro wilaya kuwa na hospital zaidi ya Moja
1:Rombo(huruma hospital,karume hospital,ngoyoni hospital)
2:Moshi DC (kibosho hosp,kilema hospital,marangu hospital,minja hospital)
3:Moshi MC (mawenzi,kcmc,st Joseph)
4:hai(machame hosp)
Nb
Rombo ndio kumejengwa mijengo ya hatari vijijini Sasa umaskini utoke WApi?
Rombo ni wilaya pekee Tanzanie yenye umeme kata zote vijiji vyote na vitongoji vyote kwa 100%
View attachment 2576859
1670403141607.jpg
View attachment 2576860
 
Kule Kwa kina Dr Mollel ndio kwanza wanajengewa hospital,Rombo ni maskini wa kufa mtu,Same na Mwanga ni choka mbaya kabisa [emoji16][emoji16]
Kwa mujibu WA NBS Kilimanjaro ni mkoa WA pili kwa wananchi wake kuwa na per capita income kubwa Baada ya dar
Ni mkoa WA kwanza kwa makazi bora vijijini,ni kawaida kukuta maghorofa vijijini
Ni mkoa wenye miundombinu toshelezi vijijini kwa 90% ushawahi sikia habari za ukosefu WA hudumaa za jamii KILIMANJARO ?
Kilimanjaro vijijin Kuna mtandao mkubwa WA lami na barabara bora, Kilimanjaro ni wapenda maendleo
Mfano mwaka juzi vunjo walichanga zaidi ya bilion 5 kukƔrabati barabara zote za jimbo,just imagine jimbo Dogo kama vunjo wananchi wabachangia bilion 5 ushawah kuona wapi hii?
Aisee aliyetangulia katangulia tu, Kilimanjaro inatikisa kielimu, kiuchumi
Hakuna mkoa wowote TZ utamkosa mchaga,hakuna ofisi yoyote utamkosa mchaga,jambo zuri Wachaga wengi wamesomea kozi za uchumi,bank, biashara,uhandisi yaani zile sekta nyeti nyeti
Wachaga Kila level ya Elimu wamejaa kwanzia diploma,degree, masters,PhD
Vyuo vikuu vyote ukienda ma lecturers wamejaa
 
Kila ripoti inayotoka kuhusu umasikini kagera hawachomoki,mi sielewi wachumi hutumia vigezo gani?kuhusu Kigoma na Tabora hilo halishangazi tena nadhani ni masikini duniani
wahaya weng wamepiga hatua ila weng hawarudig kwao , nmeish huko Kagera nmejionea the same mtu anasema ana ndugu wapo UK matijiri wanarudig siku za sikukuu na misafara ya wazungu
 
Kwa mujibu WA NBS Kilimanjaro ni mkoa WA pili kwa wananchi wake kuwa na per capita income kubwa Baada ya dar
Ni mkoa WA kwanza kwa makazi bora vijijini,ni kawaida kukuta maghorofa vijijini
Ni mkoa wenye miundombinu toshelezi vijijini kwa 90% ushawahi sikia habari za ukosefu WA hudumaa za jamii KILIMANJARO ?
Kilimanjaro vijijin Kuna mtandao mkubwa WA lami na barabara bora, Kilimanjaro ni wapenda maendleo
Mfano mwaka juzi vunjo walichanga zaidi ya bilion 5 kukƔrabati barabara zote za jimbo,just imagine jimbo Dogo kama vunjo wananchi wabachangia bilion 5 ushawah kuona wapi hii?
Aisee aliyetangulia katangulia tu, Kilimanjaro inatikisa kielimu, kiuchumi
Hakuna mkoa wowote TZ utamkosa mchaga,hakuna ofisi yoyote utamkosa mchaga,jambo zuri Wachaga wengi wamesomea kozi za uchumi,bank, biashara,uhandisi yaani zile sekta nyeti nyeti
Wachaga Kila level ya Elimu wamejaa kwanzia diploma,degree, masters,PhD
Vyuo vikuu vyote ukienda ma lecturers wamejaa
Unamdanganya nani? Kilimanjaro ikiwa ya 2 ,Mbeya,Iringa na Njombe zitakuwa za ngapi?

Huko ni magofu tuu kama Kagera.
Screenshot_20230405-074842.jpg
 
Wasomi mishahara yao kwa ajiri yao na familia zao serikali kazi yake kutokomeza umasikini kwa wananchi
Mkuu, nadhani ingependeza zaidi kama hoja ungeandika "mishahara na marupurupu ya Wasomi kwa ajili yao na familia zao kwenye ajira na ujira Serikalini ina ongeza umaskini kwa wananchi"
 
wahaya weng wamepiga hatua ila weng hawarudig kwao , nmeish huko Kagera nmejionea the same mtu anasema ana ndugu wapo UK matijiri wanarudig siku za sikukuu na misafara ya wazungu
Niliwahi kuweka uzi humu kuwa mkoa wa kagera ni washirikina tofauti na watu wanavyowachukulia
 
Unamdanganya nani? Kilimanjaro ikiwa ya 2 ,Mbeya,Iringa na Njombe zitakuwa za ngapi?

Huko ni magofu tuu kama Kagera.
Utakuwa umekunywa ulanzi huelewi unachoongea,ingia hapa ujionee www.nbs.go.tz
Mbeya watu wanalal nyumba za nyasi Hadi sasahv uilinganishe na Kilimanjaro? Mbeya mm Nina assets zangu kibao naijua vizuri
Labda ungenambia mbeya kwa kilimo
Mbeya wamalima sana alafu Sisi WA Kilimanjaro ndo tunanunua mazao yao na kuyauza
Wanunuzi wakuu WA viazi vya mbeya ni Wachaga,mafuso ya Kilimanjaro daily yapo mbeya as you know Wachaga wamekamata mno sekta ya usafiri both mabasi na malori
 
Back
Top Bottom