Mikoa maskini zaidi yatajwa

Mikoa maskini zaidi yatajwa

Wanabebwa na makabila mengine yaliyo Ktk jamii zao
Mfano wachaga dar wameinunua tangu zamani,hâta ukija kisarawe , bagamoyo,kibaha NK Wachaga wamewasogeza hivyo maendleo yaliyo Ktk jamii hizo yanawabeba ijapokuwa wao hawana kitu
Wenzetu wanapendana, sio sisi wazaramo na wakwere hatupendani, mi niliona chuo, wachaga wanaelewana, wanasaidiana wafaulu sisi kuchambana na kununiana.
 
Wanabebwa na makabila mengine yaliyo Ktk jamii zao
Mfano wachaga dar wameinunua tangu zamani,hâta ukija kisarawe , bagamoyo,kibaha NK Wachaga wamewasogeza hivyo maendleo yaliyo Ktk jamii hizo yanawabeba ijapokuwa wao hawana kitu
we jamàa sijui kama kwenu mna pesa kwa kweli ? yaani umekazania kila point wachaga yaani huelewki !



Ebu punguza kusifia kwenu unaonekana mshamba sana yaani kiwango cha juu
 
we jamàa sijui kama kwenu mna pesa kwa kweli ? yaani umekazania kila point wachaga yaani huelewki !



Ebu punguza kusifia kwenu unaonekana mshamba sana yaani kiwango cha juu
Wewe huna kwenu? MTU KWAO
hujakatazwa na wewe kwanini hupendi kwenu?
 
Huwa siamini kuwa Kagera inapitwa na Pwani na Lindi
Kuna kitu kinaitwa ""Human Development index (HDI)" hiki ndicho kipimo kikubwa sana hutumika na watafiti kupima hali kimaendeleo kwa wananchi mmoja mmoja kuanzia upatikanaji wa elimu, afya, kipato pamoja na mengine mengi kwa eneo husika la utafiti.

Kagera wanaweza kuwa na watu wachache wenye uwezo mkubwa ila hai-reflect maisha ya jumla ya wananchi wote wanaoishi Kagera. Tofauti kabisa na Pwani na Lindi ambapo wanaweza kuwa na watu wachache sana wenye uwezo mkubwa ila kiujumla wananchi wake kwa asilimia kubwa wanapata huduma za msingi ukilinganisha na Kagera.

Mfano mzuri ni nchi kama Switzerland, hawa jamaa uchumi wao kama nchi sio mkubwa kuliko Marekani au Ujerumani ila wana-score nzuri sana ya HDI yaani wanayazidi mataifa hayo kwa hali ya kipato kwa mwananchi mmoja mmoja, afya pamoja na elimu. Wananchi wao wanapata hayo mahitaji juu ya wastani wa mataifa yenye uchumi mkubwa kuwaliko.
 
Kuna kitu kinaitwa ""Human Development index (HDI)" hiki ndicho kipimo kikubwa sana hutumika na watafiti kupima hali kimaendeleo kwa wananchi mmoja mmoja kuanzia upatikanaji wa elimu, afya, kipato pamoja na mengine mengi kwa eneo husika la utafiti.

Kagera wanaweza kuwa na watu wachache wenye uwezo mkubwa ila hai-reflect maisha ya jumla ya wanachi wote wanaoishi Kagera. Tofauti kabisa na Pwani na Lindi ambapo wanaweza kuwa na watu wachache sana wenye uwezo mkubwa ila kiujumla wananchi wake kwa asilimia kuwa wanapata huduma za msingi ukilinganisha na Kagera.

Mfano mzuri ni nchi kama Switzerland, hawa jamaa uchumi wao kama nchi sio mkubwa kuliko Marekani au Ujerumani ila wana-score nzuri sana ya HDI yaani wanayazidi mataifa hayo kwa hali ya kipato kwa mwananchi mmoja mmoja, afya pamoja na elimu. Wananchi wao wanapata hayo mahitaji juu ya wastani wa mataifa yenye uchumi mkubwa kuwaliko.
Asante umejibu kisomi kabisa,hii factor ndio inaibeba Kilimanjaro Kila mwaka ,na Kilimanjaro hâta Siku Moja sidhani kama itakaa iporomoke
 
Makamu wa Raisi amesema umasikini upo vijijini zaidi.Pia mikoa yenye wananchi masikini zaidi ni Kagera,Tabora na kigoma.Inakuaje Kagera nayo inakua hapo na wasomi wengi?
wana roho mbaya sana wala sishangai. Waliosoma na wahaya darasa moja au kufanya nao kazi ofisi moja watanielewa. Ni wabinafsi na wachoyo mno hata wao kwa wao, ukiwakuta wanaelewa ujue wanatoka kijiji kimoja au ukoo mmoja
 
Wewe huna kwenu? MTU KWAO
hujakatazwa na wewe kwanini hupendi kwenu?
kwenu umekuwa mdada nn toa ushamba hapa kakae porini kweny migomba kama tumbiri.


Tafuta pesa umaskinj unakusumbua unajificha kweny kivuli cha kabila ...Tafuta pesa kijana angalia familia yako ndo maisha yako usiite watu maskini then wewe unanuka shida.

kama una mentality sijui kwenu bado mshamba sana tafuta pesa wakina Mo wangeenda kujenga kwao nje na waarabu wengine.
 
Watu pekee walioweza kuwa matajiri nyumbani na ugenini ni Wachagga. Kuna la kujifunza kutoka kwa miamba hii.
Ni stage tu hiyo. Unaona hii Tabora ambayo ni maskini sasa hivi, miaka ya kina Tippu Tip ilikuwa eneo lenye utajiri mkubwa kabisa. Kilwa enzi za Waarabu lilikuwa ni jiji pwani ya Afrika Mashariki na hamna kakijiji kalikuwa kanaizidi kipindi Dar ni mashamba ya mpunga na kijiji cha wavuvi. Leo Kilwa hata manispaa sijui kama wanayo.

Ni kupokezana. Decaying ishaanza usitarajie Wachaga kuendelea zaidi ya hapa, its either wamaintain au warudi nyuma. Promising future ni kwa Wakinga hata hao Waha wanaonyesha sign ya kukua
 
atapunguzaje kusema ukweli. kama hakuna ukweli basi tumseme kwa uongo wake
Kwamba kule 100% ni matajiri vile visa vya mtu kufa kwa kukosa pesa pesa ya kwena hopistali ilikuwa mkoa gani? Mtoto aliyeshindwa chuo kulipa million moja mpaka waziri ummy mwalimu akamsaidia alikuwa wa mkoa gani?

jaribu kuangalia maisha ya kwenu na wazazi wako au yako ndo uanze kujaji mtu usiwe tu general sisi mara ni billionaire wakati wewe kwenu maskini! kabilq litakusaidia nn pamban kimpango wako
 
Back
Top Bottom