Umaskini upi tena?Makamu wa Raisi amesema umasikini upo vijijini zaidi.Pia mikoa yenye wananchi masikini zaidi ni Kagera,Tabora na kigoma.Inakuaje Kagera nayo inakua hapo na wasomi wengi?
Wasomi mishahara yao kwa ajiri yao na familia zao serikali kazi yake kutokomeza umasikini kwa wananchiMakamu wa Raisi amesema umasikini upo vijijini zaidi.Pia mikoa yenye wananchi masikini zaidi ni Kagera,Tabora na kigoma.Inakuaje Kagera nayo inakua hapo na wasomi wengi?
Wanajenga DAR na ughaibuniMakamu wa Raisi amesema umasikini upo vijijini zaidi.Pia mikoa yenye wananchi masikini zaidi ni Kagera,Tabora na kigoma.Inakuaje Kagera nayo inakua hapo na wasomi wengi?
Tuamini kipi hapo,kati ya umsikini kusababishwa na tabia nchi na wasomi kutoludi kwao?Wasomi wengi wa Kagera hawarejei makwao kuendeleza jamii zaoo.
Kuongezeka kwa umasikini kumechangiwa na mabadiliko ya tabia nchii
Sio kweli hakuna watu wanajenga kwao kama wahaya na wachaga,Wanajenga DAR na ughaibuni
Kagera wanawasingizia tuMakamu wa Raisi amesema umasikini upo vijijini zaidi.Pia mikoa yenye wananchi masikini zaidi ni Kagera,Tabora na kigoma.Inakuaje Kagera nayo inakua hapo na wasomi wengi?
Sasa umaskini unatokea wapi?Sio kweli hakuna watu wanajenga kwao kama wahaya na wachaga,
Huwa siamini kuwa Kagera inapitwa na Pwani na LindiMakamu wa Raisi amesema umasikini upo vijijini zaidi.Pia mikoa yenye wananchi masikini zaidi ni Kagera,Tabora na kigoma.Inakuaje Kagera nayo inakua hapo na wasomi wengi?
Mi pia nashangaa ila kuhusu majumba,kule migombani kuna mahekalu hatari utasema uko masakiSasa umaskini unatokea wapi?
👆☺☺☺Siku ya Gulio Katerero...
Labda sababu hakuna viwanda,Pwani ina viwanda sana siku hiziHuwa siamini kuwa Kagera inapitwa na Pwani na Lindi
Wanajichetua tu..kalamu mfukoni pamba safi, majigambo mengimengi kumbe bwee!!Makamu wa Raisi amesema umasikini upo vijijini zaidi.Pia mikoa yenye wananchi masikini zaidi ni Kagera,Tabora na kigoma.Inakuaje Kagera nayo inakua hapo na wasomi wengi?
Viwanda vile haviwasaidii wakwere na wazaramo wanaoshinda kwa milo miwiliLabda sababu hakuna viwanda,Pwani ina viwanda sana siku hizi