Uhalisia Kagera kuna maeneo wana maisha magumu sana.
Almost mikoa yote iliyotajwa wananchi wake hawapendi kazi ngumu;-
1.Kagera
2.Dodoma
3.Singida
4.Tabora
5.Kigoma
Tufanyeni kazi, hata kama we mkulima jitahidi kupanua kilimo chako. Kagera utakuta mtu anategemea mashina 10 ya migomba kwa mwaka mzima yamlishe na maharage saizi ya kiwanja cha ujenzi[emoji1787].
Ukija kwa wagogo akina Mpwayungu hao ndiyo duni kabisa kuanzia elimu, kilimo na hata ustawi wa jamii ni duni.
Tuchape kazi[emoji120][emoji120][emoji120]
NB: umasikini bado ni mkubwa mno Tanzania kwa ujumla serikali inapaswa kuwa na mikakati madhubuti ya kuondoa umasikini ikiwemo kuboresha bei za mazao ya biashara na kusaidia wakulima.