Kuna watu wengi Sana humu wamepiga mpungu kupitia hiyo code, Ila wamejikausha Tu, bigboi haombi hata Mia semeni Tu thanks inatosha Haha 😂😂😂😂 .

Note huu mkeka wangu wa Leo NI special Kwa kuwalingishia wale wote waliokuwa wanasema kuweka treni NI kupoteza Muda, na wakaanza kumsimanga big mpaka akasepa Kwa wiki kadhaa ,bila hivyo Leo tungekuwa mbali sana Haha 😂😂😂😂😂 Jero Tu nimepata laki
 
Kuna watu wengi Sana humu wamepiga mpungu kupitia hiyo code, Ila wamejikausha Tu, bigboi haombi hata Mia semeni Tu thanks inatosha Haha 😂😂😂😂 .

Note huu mkeka wangu wa Leo NI special Kwa kuwalingishia wale wote waliokuwa wanasema kuweka treni NI kupoteza Muda, na wakaanza kumsimanga big mpaka akasepa Kwa wiki kadhaa ,bila hivyo Leo tungekuwa mbali sana Haha 😂😂😂😂😂 Jero Tu nimepata laki
Watu wanakula kimya kimya hawataki ht kusema asante, ila wakuu tuwe tunasema asante hii itaendelea kumpa imani na furaha kwa waleta Codes na boss wetu bigboi
 
Watu wanakula kimya kimya hawataki ht kusema asante, ila wakuu tuwe tunasema asante hii itaendelea kumpa imani na furaha kwa waleta Codes na boss wetu bigboi
Hakika mkuu, siku zote sitaacha kushukuru mkuu Mimi na basketball wapi na wapi? Hata kufuatilia live sijui nini kinaendelea lakini bigboi muokozi wetu watake wasitake ukweli lazima usemwe
 
Kuna watu wengi Sana humu wamepiga mpungu kupitia hiyo code, Ila wamejikausha Tu, bigboi haombi hata Mia semeni Tu thanks inatosha Haha 😂😂😂😂 .

Note huu mkeka wangu wa Leo NI special Kwa kuwalingishia wale wote waliokuwa wanasema kuweka treni NI kupoteza Muda, na wakaanza kumsimanga big mpaka akasepa Kwa wiki kadhaa ,bila hivyo Leo tungekuwa mbali sana Haha 😂😂😂😂😂 Jero Tu nimepata laki
Hongera Mdau

Sie wa SGR tunajua umuhim wake
 
Hakika mkuu, siku zote sitaacha kushukuru mkuu Mimi na basketball wapi na wapi? Hata kufuatilia live sijui nini kinaendelea lakini bigboi muokozi wetu watake wasitake ukweli lazima usemwe
Mm mwnyw sielewi basketball wala cricket so codes zote za michezo hy naibeba kama ilivyo then ni mwendo wa kutoa shukrani tuu.
Kuna mkeka mwngn nadhani hii n cricket bado unapumua unafika mwisho mida ya asubuh ya leo, kama kawaida ni kuendeleza shukrani kwa bigboi tuu.
 
Hapaa nachekaa kuna mturkish alitumatip ya
PSG WIN
STAKE HIGH
WIKK ASK FOR A TKT
NAWAZA TKT ZA.KWENDA.MOSHI AMA MBEYA MNITUMIEEEE
 
Vuka a chako
Hio cambodiq inamagoli hataree
 

Attachments

  • IMG_20230102_014236_020.jpg
    IMG_20230102_014236_020.jpg
    47.6 KB · Views: 4
Haikuwa rahisi kuyapita haya
● Tottenham 0-2 Aston Villa❌️
● Nottingham 1-1 Chelsea❌️
● Lyon 0-1 Clermont Foot❌️
● Lens 3-1 PSG❌️
Poleni a machungu

UYAYIVA KE NGOK I 2023‼️🤷‍♂️💔

#Ma-ash🦊
kila jambo na makusudi yakew byebye jan 1
 
Back
Top Bottom