Nashukuru tangu mwaka umeanza sijaweka mkeka
Screenshot_20230102-001807.jpg
 
Yaaaannndio lakwanza yaan jana kama si polisi kujazana kulikuwa hatare mkuu...nakilamda mnakumbushwa ambao awajatoa sadaka za ....wanapita wahudumuu hata kama huna unaona aibu
Dah ila jamaa anapiga pesa sana
 
Dah ila jamaa anapiga pesa sana
Hataree anusu mkuu na watu wanatoka
Minilikuwa namdai mtu matofali 3000 toka dec 2015 nilimwachia n8lipoona tunasumbuanaleo asbh anaombw radhi nichukue 500 kila mwezi
Hapa niko hoi nimejaza 500 uwanjan.mm..nataka.yakibaki 1000 nimbadilishe anipe na nondo na cement humohumo jamaa ananyotaa....hatare

Kwa.mwezi.mtokee hata mara 2 meku umasikin wa kikatili haukusogelei
 
Hataree anusu mkuu na watu wanatoka
Minilikuwa namdai mtu matofali 3000 toka dec 2015 nilimwachia n8lipoona tunasumbuanaleo asbh anaombw radhi nichukue 500 kila mwezi
Hapa niko hoi nimejaza 500 uwanjan.mm..nataka.yakibaki 1000 nimbadilishe anipe na nondo na cement humohumo jamaa ananyotaa....hatare
Nyota yake sio ya kisport sport
 
Hatareeeee m nataka nikaiomhee esimu yangu mpya jpili nianze kubetia rasmi hii niliyokuwa bayo nahisi dukan waliinenea mabaya
mara unawin mara unarudisha hela zaoo yaan
kama chuna ukete vile nimewaza simu nayo inahitaji maombi
 
Back
Top Bottom