Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Uswahili ulimzidi, kila siku alikuwa kiguu na njia kuja bongo, badala ya kutulia chini na kufanya kazi...

Exactily,precisely,accurately mkuu , umenifilisi hata mimi nilikuwa nataka niseme hilo hilo, sijui ulikuwa ni ushamba sielewi, post za UN ni kwamba unaserve the wholy world sasa element (nostrigia) za nyumbani zinatoka wapi? Hiyo ni kazi ya watu siyo ya chama cha CCM, Nakumbuka alikuwa anakuja halafu eti anahutubia bunge yeye kama nani? Kiitifaki Katibu mkuu wa umoja wa mataifa huwa anapokelewa kama rais na wala siyo naibu wake kwa hiyi wakina Samwel Sitta walivyokuwa wanampa nafasi ahutubie bunge walikuwa wanamvimbisha kichwa kwa hiyo na wenyewe ni source ya underperfomance yake.
 
masiasa ya majitaka ya ccm yamemponza, yawezekana alikua anapokea mlungula huyu
 
Contrast Migori's i am walking away to Salim's exuberant dance in corridors of UN celebrating china's admmitance to security council of UN. No small matter(s) of upholding or failing to uphold ones principles.

She was not competent enough to withstand the challenges of the world, wasn't even sure that she cld take the weights of Tanzanians' problems!She wasn't influential within the country how could she be in the world?May be good at teaching bse av never been in her class!
 
Ilipofika wakati kwa Ban Ki-moon kuomba kura kushika wadhifa wake wa sasa, Tanzania ilikuwa mstari wa mbele kumsapoti,na kura ya Kikwete ilisaidia Migiro kuteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu.
Kwa sababu hiyo hapo juu, dili lote la Ban Ki-moon>Kikwete>Migiro linaonekana kuwa ni la kisiasa, na kwa kuwa kwenye siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu, haijalishi kama Migiro alikuwa mtendaji bora au la. Labda cha kuzingatia hapa ni "Tanzania (Kikwete) kamkosea nini Ban/ imeikosea nini UN?, kwa kutilia maanani kuwa UN/US ni kitu kimoja.
 
acheni kupotosha watu,unaibu katibu mkuu wa UN uwa wanabadilishwa kwa muda fulani siyo kiti cha kukaa pale milele,fatilieni kwanza kabla ya kuleta chuki binafsi
 
Ndiyo kuna watu wanataka awe rais wao bongo!
 
acheni kupotosha watu,unaibu katibu mkuu wa UN uwa wanabadilishwa kwa muda fulani siyo kiti cha kukaa pale milele,fatilieni kwanza kabla ya kuleta chuki binafsi

Kwani kuna kiti cha umilele? Tuanachosema ni term. Kwa nini hakupewa makataba for the second term? Jibu ni SHE NEVER DELIVERED. WEAK AND DHAIFU
 
unafikiri kukosa uzoefu ni udhaifu? Jipange upya kumchafua mama huyu ambaye ameiletea tanzania sifa kubwa. Watanzania na hasa wenye wivu na maisha ya watu badala ya kuwa na wivu wa maendeleo kama wewe hamtufai kwa sasa.

chanzo cha habari ni vox.
 
Hivi kuna mtu aliyekuwa anatarajia kuwa angeweza ku-deliver kwenye hiyo nafasi aliyokuwanayo?
 
Mimi naomba niuseme ukweli mchungu kwa watanzania wenzangu, Watanzania tulio wengi huwa tunakwenda kazini kama mazoea (Kwenye siasa, wana ccm wanaongoza) ili hali wenzenu huwa wanakwenda kazini so that they may get different results everyday; Hii ndo tofauti yetu, hebu nitaje mifano michache, mnakumbuka siku za nyuma wakati hakuna simu za mkononi (au ilipokuwepo kampuni moja au mbili za simu, yaani Mobitel na Traitel) jinsi ambavyo TTCL walivyo kuwa wanasumbua kwa wewe kupata just line, ilikuwa inachukua zaidi ya siku 45, ushindani ulipoingia wote nadhani ni mashahidi, angalia jinsi ya ufunguaji wa Account Bank enzi hizo, shida tupu, kama sio kufanya kazi kwa mazoea, inakuaje leo bado tuwe na mgao wa umeme? yote haya ndio udhaifu mkubwa tuliokuwa nao Watanzania wengi, nimefanya kazi na watu tofauti (yaani watu wa mataifa mbalimbali duniani) ipo tofauti kubwa sana kati yetu sisi na wao (hasa Watanzania wa wenye umri mkubwa na kutokea Serikalini, kila kitu anataka kikae kwanza till kesho hata kama kinachotakiwa ni sahihi tu). Tujiulize, inakuwaje hadi leo nchi yetu iwe na njaa, how comes tuwe na upungufu wa madaktari ili hali kila mwaka Muhimbili, Bugando, IMTU, KCMC n. k wanamwaga wadokta wengi mtaani? jibu ni jepesi sana, "Wanasiasa wetu, ambao kimsingi ndio watunga sera, wanafanya kazi kwa mazoea' sio watu ambao wapo after results, it is just mazoea, nimeonda kazini, bila kujali umepata ulicho kitaka au laa."

Hili ndilo lilimtokea Dr Migiro, though kuna watu humu ndani wanaweza kudhani kasingiziwa lakini hii ndo hali halisi tulionayo wengi, mwangalie hata mkuu wa nchi leo, hivi alipo faiti kwa miaka 10 ili aingie Ikulu, wengi tulidhani ana solution ya matatizo mengi ya nchi yetu, hata wengine walifikia hatua na kuandika kitabu kiitwacho, Kikwete, tumaini lililo rejea, sina hakika kama mwandishi wa kitabu kile kama bado anayaaminiyale aliyoaandika leo? Kizazi hiki tulicho nacho (hasa kilicho zaliwa na kulelewa wakati wa sera za Ujamaa) hadi kipite ndo ninadhani twaweza badiri nchi yetu, changamoto zinazoletwa na akina Zitto Kabwe, Mnyika Halima Mdee n. k kinaonekana kama ni kizazi kilicho kosa adabu kwa wakubwa wao, wakati sehemu zingine za dunia ndivyo ambavyo wanafanya, but lengo ni kuona matokeo ya kazi unayo ifanya. Niseme kitu cha mwisho, hivi Watanzania walio wengi wanapo enda kupiga kura, huwa wanajua uhusiano wa Kura hiyo na maisha yao ya kila siku? kuto kujua ndio inasababisha wengie hata kura wasiende kupiga eti wanadai ni kupoteza muda, why, because tumezoea kufanya kazi kwa mazoea na sio kupata matokeo ya kile unacho kifanya.
 
Jk amemponza ndio maana akachukua udhaifu wa kurithi na aka upeleka UN.

Sasa kakutana na watu makini katupwa kule, mbwembwe zote kuleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.

Chezea watu wasio dhaifuuuuuuuuuuuuuuu
 
Huku ni kuvuja kwa pakacha tu, Haikua furaha ya wengi pia wakati wa kuchaguliwa kwake, imekua furaha ya wengi pia kwa Mama Migiro kupoteza nafasi yake. Karibu tena nyumbani mama, hapa ndipo furaha ya kweli ilipo. Nimewasilisha!
 
Barely a week after the immediate former Deputy Secretary-General, Dr. Asha Rose Migiro returned to Tanzania after serving a five-year term at the helm of the world body, sources within the UN have hinted that poor performance and failure to fit “in the diverse and complicated body” were some of the reasons she was refused a contract renewal.

“The position of the Deputy Secretary-General is complicated and demanding; it requires somebody who is experienced to efficiently run the Secretariat. Her biggest challenge was not understanding the politics at the world body and creating alliances,” the source told Vox Media in a telephone conversation.

Dr. Migiro is understood to have approached the African Group, comprising 28 percent of all UN members, to ask for help in lobbying for her re-appointment, but her quest was rejected.

“She wasn’t popular amongst diplomats; so nobody listened to her. You should also recall that her appointment was widely criticized.”

In Dar es Salaam, a former senior ruling party secretariat member who worked closely with her in the same team before she assumed the UN post said her appointment was influenced by her personal relationship with ****
It is understood that President Kikwete and UN Secretary-General Ban Ki-moon cultivated a close relationship when serving as foreign ministers for their respective governments.

When it came for Ban Ki-moon to canvass for votes toward his UN bid, Tanzania’s vote was predominant; Dr. Migiro was apparently battered with Kikwete’s vote.

But when Ban Ki-Moon recently decided to review his entire team in a bid to control growing criticism of his team, Dr. Migiro had to go for “poor performance and lack of experience required of staff with the top UN mandate.”
This entry was posted By: Why Dr. Migiro lost her UN job | Vox Media | Get Informed, Inform others
 
mkuu tulishajadli hili sana...tafuta humu kuna thread ilishawekwa......
 
In Dar es Salaam, a former senior ruling party secretariat member who worked closely with her in the same team before she assumed the UN post said her appointment was influenced by her personal relationship with **** Dr. J.K
 
Back
Top Bottom