Kama swala la Dr Migiro lilikuwa ni mkataba kuisha na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa hakuona umuhimu wa kuoongeza mkataba huu wakati hiyo nafasi ilierndelea kuwepo na ilijazwa na Jan Eliasson ina maana alikuwa hamuhitaji tena. Hata ukiisoma CV ya huyo Jan Eliasson utaona kabisa kwamba hakukuwa na haja ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kumwongezea muda Dr Migiro. Lakini kama kuna nia ya kufukua makaburi, mbona hamuulizi kwa nini Mama Mongella alikatishwa ghafla nafasi yake ya Spika wa Bunge la Afrika???