Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Unafikiri kukosa uzoefu ni udhaifu? Jipange upya kumchafua mama huyu ambaye ameiletea Tanzania sifa kubwa. Watanzania na hasa wenye wivu na maisha ya watu badala ya kuwa na wivu wa maendeleo kama wewe hamtufai kwa sasa.
Ukweli usioupenda ni kwamba huyu mama mpendwa ali-underperform. kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika (nenda kwenye vox media mwenyewe), alishindwa ku-fit in na kuelewa siasa za ndani ya UN. Hakuna agenda ya kumcahfua, ni ukweli tu. Hebu tumkaribishe mama nyumbani asaidie kuzib nyufa ktk nyuma inayoelekea kubomoka (CCM).
 
Jasusi mkuu,huo sasa uchoyo wa habari.Mwageni hapa,maana huko mbeleni tutalaumiana kwa kuficha habari na kubaki na tungejua?
Chakaza,
Mbona ilishamwagwa hapa JF kuhusu Sudan na mkataba wa kupeleka magari kule aliopewa Riziwani?
 
Kwahiyo issue hapa si GPA nono, ni utendaji tu. Nachelea kusema GPA ya prof. maji marefu na V. Kamata si issue. tuangalie utendaji.
For that case, tuache kuweka CV za wabunge na viongozi wengine humu jamvini.

wakati wanatafuta graduates for recruitment programs, GPA could come as top criteria. lakini kadri mchakato unavyokwenda wa kazi na kuwajibika, nani anafanya nini matters alot. na hapo ndio tofauti inapoonekana. Kwahiyo ukipata GPA hakikisha unajifunza kazi na una deliver. GPA kubwa pekee sio kigezo
 
Amekukosea nini huyu Mtanzania mwenzako? mimi naona amejitahidi tu..labda uwe na usongo naye mwingine
Hajanikosea kitu. Kama ni kweli kuwa alitoka nje wakati Ahmedinajad anazungumza alikiuka kanuni za cheo chake.
 
Teh haya mkuu ila kwa mfano ungekuwa wewe ungeweza?
 
Migiro anaweza kushindwa kufit, lakini kutokufit kwake kunachangiwa pia na Tanzanian foreign policy.
Kwa mfano, Tanzania hawana proper diplomatic relation na Islael wakati nchi zote zinashikilia maamuzi ya UN zinaurafiki wa karibu na Israel.
Tanzania ina ushirikiano wa karibu na Iran, wakati main stream UN mentality ni anti-Iran. Sasa Migiro anajikuta katika kuchagua kuserve nchi yake au kuserve MABWANA.
Katika diplomasia Migiro anatakiwa asiiangushe nchi yake. Hapo ndipo anapopachikwa jina la kutokufit.
Kumbukeni salim pia pamoja na kuqualify, lakini International Policy ya Tanzania ilifanya haonekane ataleta "zengwe" kwenye ofisi ya katibu mkuu wa UN!

How did Salim Ahmed Salim fit-in in the UN systems back then at a very young age? Kulikuwa na cold war ambayo ilikuwa inagawanya watu kuliko issue ya Iran na Syria
 
Mkuu unaonaje ukituomba radhi hadi hapo ukomo wa kujieleza kwako ki-hasira hasira hivi na hata kututia kapu moja hivi kwa ujumla wetu kufikiria mara mbili mbili??

The trash of UN is a treasure of Tanzania!
 
Barely a week after the immediate former Deputy Secretary-General, Dr. Asha Rose Migiro returned to Tanzania after serving a five-year term at the helm of the world body, sources within the UN have hinted that poor performance and failure to fit “in the diverse and complicated body” were some of the reasons she was refused a contract renewal.

“The position of the Deputy Secretary-General is complicated and demanding; it requires somebody who is experienced to efficiently run the Secretariat. Her biggest challenge was not understanding the politics at the world body and creating alliances,” the source told Vox Media in a telephone conversation.


Dr. Migiro is understood to have approached the African Group, comprising 28 percent of all UN members, to ask for help in lobbying for her re-appointment, but her quest was rejected.


“She wasn’t popular amongst diplomats; so nobody listened to her. You should also recall that her appointment was widely criticized.”


In Dar es Salaam, a former senior ruling party secretariat member who worked closely with her in the same team before she assumed the UN post said her appointment was influenced by her personal relationship with President Jakaya Kikwete.


It is understood that President Kikwete and UN Secretary-General Ban Ki-moon cultivated a close relationship when serving as foreign ministers for their respective governments.


When it came for Ban Ki-moon to canvass for votes toward his UN bid, Tanzania’s vote was predominant; Dr. Migiro was apparently battered with Kikwete’s vote.


But when Ban Ki-Moon recently decided to review his entire team in a bid to control growing criticism of his team, Dr. Migiro had to go for “poor performance and lack of experience required of staff with the top UN mandate.”

Source Why Dr. Migiro lost her UN job | Vox Media | Get Informed, Inform others
 
Hajanikosea kitu. Kama ni kweli kuwa alitoka nje wakati Ahmedinajad anazungumza alikiuka kanuni za cheo chake.

Contrast Migiro's i am walking away to Salim's exuberant dance in corridors of UN celebrating china's admmitance to security council of UN. No small matter(s) of upholding or failing to uphold ones principles. One heroic the other cowardly.
 
Hivi akiwa naibu katibu mkuu wa UN, kipi cha kupigiwa mfano alichofanya kuisaidia Tanzania? Just for CURIOSITY
 
Haya mambo yalishawekwa hapa JF huko nyuma. Kuna article ilitoka ikieleza sakarasi za huyu mama kusaka support kwa muhula wake wa pili. Baada ya hap kukawa na kama ka-campaign ka kusafisha mambo. Lakini Migiro alipata cheo kutokana na kazi kubwa ya udalali iliyofanywa na Tanzania kumsaidia Ban Ki-Moon kupata cheo cha ukatibu mkuu. Wakati wa kumpata katibu mkuu UN, Tanzania ilikuwa chair wa AU, lakini pia ilikuwa inashikilia kiti cha usalama kwenye UN-security Council ikiongozwa na Balozi Mahige. Ni kwa kutumia nafasi hizo Tanzania iliweza kufanya ushawishi ndani ya AU na kumuunga mkono Ban Ki-Moon.

Hata hivyo kwangu mimi huu ni mchezo mzuri kwenye siasa za kimataifa na inaleta sifa nzuri kwa Tanzania kama tunaweza kuwa na ushawishi. Shida sasa inakuja kwenye utendaji wa hao wanapata nafasi hizo. Tanzania tunaonekana kususua, kuna issue ya Getrude Mongela, Prof Tibaijuka naye aliondolewa kwenye kiti cha mambo ya Mazingiria UN na kukawa na kelele kelele. Sasa tuna hii ya Migiro. Pengine tujiangalie tena ili kubaini namna nzuri ya kujiimarisha ili hao wanaopata nafasi kwenye hivyo vyombo wanfanye vizuri.

umesema kweli.ushawishi kwenye mambo ya kimataifa tumeweza na ndio siasa inatakiwa ufanyike kuwa influence watu,tatizo ni kwa wale wanaopewa nafasi hizo kuproof failure.mfano mzuri ni unavyofanya interview ya kazi,unamshawishi mwajiri ili upate kazi....tatizo liko ktk utendaji,.na kwa tz ndio ishu inayaofanya taifa lizidi kudidimia.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Back
Top Bottom