Jesusie
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 1,377
- 723
Wawekezaji karibu sanaaaNijambo la kujivunia, miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji ulikua kwa 400% Ukafikia US$3BL
Wawekezaji karibu sanaaaNijambo la kujivunia, miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji ulikua kwa 400% Ukafikia US$3BL
WonderfulNijambo la kujivunia, miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji ulikua kwa 400% Ukafikia US$3BL
Kazi iendelee TanzaniaUtaumia sana, JPM yupo kuzimu, Mama ndio habari ya mujini mpaka 2030 inshallah.
Usijitafutie maradhi ya moyo kwa kumchukia the choosen one, ukisikia chaguo la Mungu ndip mtu kama Samia.
Hakugombea Urais ila Mungu amependezwa naye.
Hii ndiyo tuanahitaji kusikia kazi iendelee kata/funga mianya yote ya rushwa, maintain discipline ya kazi, penda na kuwa na uchungu na nchi ni namna pekee ya kufika kileleni.Nijambo la kujivunia, miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji ulikua kwa 400% Ukafikia US$3BL toka US$510M | Nikaribu mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho
Kazi iendelee Tanzania,Hii ndiyo tuanahitaji kusikia kazi iendelee kata/funga mianya yote ya rushwa, maintain discipline ya kazi, penda na kuwa na uchungu na nchi ni namna pekee ya kufika kileleni.
MaajabuNijambo la kujivunia, miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji ulikua kwa 400% Ukafikia US$3BL
Hakika,Maajabu
Wanakuja wengi,Wawekezaji karibu sanaaa
Daah, Great
Good madameNijambo la kujivunia, miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji ulikua kwa 400% Ukafikia US$3BL toka US$510M | Nikaribu mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho
"Hakuna kama Samia "
Jumla ya miradi 133 yenye thamani ya US$ 2.98 ilisajiliwa kati ya mwezi March na mwezi Agosti 2021,ambayo ni karibu na TZS 7trilioni,
Ukisikia Mama anaupiga mwingi hii ndio maana halisi ya "kuupiga mwingi " sasa, Watanzania lazima tushukuru kumpata mchapakazi mwingine wa viwango vya juu zaidi,
Katika kipindi kama hicho FY2019|2020 Jumla ya miradi 105 yenye thamani ya US$510M ilisajiliwa amabyo ni sawa na karibu TZS 1.1trilioni ,
Ndani ya miezi sita ya kwanza ya Rais Samia na kutokana na Juhudi mbalimbali anazozifanya Rais wetu tayari tumeongeza uwekezaji kwa TZS 4trilioni ambazo ni sawa karibu na 400% ya uwekezaji uliofanywa FY2019|2020 yaani ni karibu mara sita zaidi,heko Rais Samia.
Wale Wote wenye mapenzi mema na Tanzania endeleeni kumwombea na kumshika mkono Mama huyu kwani kwahakika mwelekeo huu ni mzuri,Unatia moyo na unapunguza machungu ya kumpoteza jemedari wetu hodari Hayati Dk John John Pombe Magufuli,Mungu tembea na Tanzania yetu.
View attachment 1946749
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Tunaendelea na kishindo cha Samia,uwekezaji wa Tzn sasa unavuka hadi mipaka 👇Good madame
Safi Sana AZAM,Asante Rais SamiaTunaendelea na kishindo cha Samia,uwekezaji wa Tzn sasa unavuka hadi mipaka 👇
View attachment 2099033
View attachment 2099034
wonderful TanzaniaTunaendelea na kishindo cha Samia,uwekezaji wa Tzn sasa unavuka hadi mipaka 👇
View attachment 2099033
View attachment 2099034
khaaa, So wonderful
Huyu CM 1774858 anaelewekaNijambo la kujivunia, miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji ulikua kwa 400% Ukafikia US$3BL toka US$510M | Nikaribu mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho
"Hakuna kama Samia "
Jumla ya miradi 133 yenye thamani ya US$ 2.98 ilisajiliwa kati ya mwezi March na mwezi Agosti 2021,ambayo ni karibu na TZS 7trilioni,
Ukisikia Mama anaupiga mwingi hii ndio maana halisi ya "kuupiga mwingi " sasa, Watanzania lazima tushukuru kumpata mchapakazi mwingine wa viwango vya juu zaidi,
Katika kipindi kama hicho FY2019|2020 Jumla ya miradi 105 yenye thamani ya US$510M ilisajiliwa amabyo ni sawa na karibu TZS 1.1trilioni ,
Ndani ya miezi sita ya kwanza ya Rais Samia na kutokana na Juhudi mbalimbali anazozifanya Rais wetu tayari tumeongeza uwekezaji kwa TZS 4trilioni ambazo ni sawa karibu na 400% ya uwekezaji uliofanywa FY2019|2020 yaani ni karibu mara sita zaidi,heko Rais Samia.
Wale Wote wenye mapenzi mema na Tanzania endeleeni kumwombea na kumshika mkono Mama huyu kwani kwahakika mwelekeo huu ni mzuri,Unatia moyo na unapunguza machungu ya kumpoteza jemedari wetu hodari Hayati Dk John John Pombe Magufuli,Mungu tembea na Tanzania yetu.
View attachment 1946749
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Daaah ila huyu Mama anapiga kazi balaa
Wonderful,