Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,167
- 10,226
kibaya zaidi wakiambiwa wanajitia ukali na mitusi,hovyoooooooo!!!!!
leo my waif wako kakupa nin hadi umekuwa upande wetu. Lol.
kibaya zaidi wakiambiwa wanajitia ukali na mitusi,hovyoooooooo!!!!!
Mimi mwanaume rijali sipo kundi lolote hapo na siamini kama kuna mwanaume mwenye akili zake timamu anayafanya hayo
sisty shemeji yako uporoto hausiki kabisa hapa. Haya mambo yatakuwa yanamlenga klorokwin na finest.
Kaka F unafikiri wanaoyafanya haya hawana akili timamu????!!!!
mama Tuli,anacheza huyu
Tena ukiwaangalia huwezi hata kuwadhania!!
Nimeangalia kamusi yangu sijaona sehemu wanaelezea MIANAUME ni nini na sidhani kama hii ni sifa. Vivyo hivyo kumwambia mtu HOVYOO ni syo neno la staha hata kidogo. Ndio maana narudia kuwa huo ni upuuzi.
Penye ukweli lazima tuseme,halafu hiyo K ndo nini?
Nimeangalia kamusi yangu sijaona sehemu wanaelezea MIANAUME ni nini na sidhani kama hii ni sifa. Vivyo hivyo kumwambia mtu HOVYOO ni syo neno la staha hata kidogo. Ndio maana narudia kuwa huo ni upuuzi.
kakwambia nani? mimi ndo mme mkamilika, sina doa hata moja! muulize memba flan humu mmu atakwambia.
Love...am here...hujaniona jamani hata kabla hujatokezea?
"We do not describe the world we see.
We see the world we describe." (Descartes)
umeamkaje Asha?hahahaha..... So typical of you Sweetie... B' anadai bora tu ujumbe umefika....lolz (uzuri haupo kwenye kundi hilo)
umeamkaje Asha?
mbona umetutenga na uzi wako wa leo?ngoja nikachungulie lakini.
na hiyo bracket ndo nin umeficha hapo?