Mianaume ndo tulivyo......hovyoooo!

Mianaume ndo tulivyo......hovyoooo!

Dah, Mkuu Umegusa Tabia za wanaume wengi kwa 95% ila inatakiwa tubadirike na kujenga heshima ktk majumba yetu.
 
Ni upuuzi kudhani kuwa wewe ukiwa na tabia hizo hapo juu basi wanaume wote wako hivyo.
shusha munkari mzee,ichunguze nafsi yako uone katika mahusiano nini mapungufu yako.Kutukana hakujengi Mkuu!
 
kwani amesema ni wanaume wote twenye hizi tabia mkuu?
Ni kwa baadhi, na ametaja vijitabia vingi tu.
taaaaaaaabu kweli kweli wana wa Adam hatupendi kusasambuliwa ila raha twaipata kwa kuwananga wenzetu hasa kina mama.
 
Bishanga hongera!!

Kwa nyongeza tu,

Wanaume wanatoka nyumbani bila kula makusudi ili akale kwenye hotel/kwa mama-lishe kabla ya kuingia kazini. Akitoka kazini anapitia kwa hoteli kabla ya kufika nyumbani, wakati nyumbani wanahangaika yeye kashiba.

Wako wale wanaovaa suti na nguo nzuri, lakini wanawaacha watoto na nguo kuukuu. Ni moja ya sababu kwanini wanaume hawapendi kuwapeleka watoto hospitali au kwenda mahali ambako atalazimika kuwa mkono kwa mkono na mwanae.
 
Bishanga hongera!!

Kwa nyongeza tu,

Wanaume wanatoka nyumbani bila kula makusudi ili akale kwenye hotel/kwa mama-lishe kabla ya kuingia kazini. Akitoka kazini anapitia kwa hoteli kabla ya kufika nyumbani, wakati nyumbani wanahangaika yeye kashiba.

Wako wale wanaovaa suti na nguo nzuri, lakini wanawaacha watoto na nguo kuukuu. Ni moja ya sababu kwanini wanaume hawapendi kuwapeleka watoto hospitali au kwenda mahali ambako atalazimika kuwa mkono kwa mkono na mwanae.
nakumbuka nikiwa praimari mimi na rafiki yangu tulipita nje ya mgahawa tukamwona baba yake anajichana michai na mibajia,rafiki yangu kwa
mshangao akanambia ametoka nyumbani bila kunywa chai kisa hakuna sukari!
 
taaaaaaaabu kweli kweli wana wa Adam hatupendi kusasambuliwa ila raha twaipata kwa kuwananga wenzetu hasa kina mama.

mkuu Bishanga unakunywa kinywaji gani aisee? Waiter hebu ukuje pande hii l.o.l
 
mkuu Bishanga unakunywa kinywaji gani aisee? Waiter hebu ukuje pande hii l.o.l

we acha tu nna dozi,niweke tu kiporo,ila hoi nimechoka maana leo nimevurumishiwa mi maneno na kina baba humu mmu mpaka basi,kumbe kusemwa kunauma aisee.
 
My switie kaka Bishanga,

mie hapa leo nimepita tu source: mamndenyi.

Sina cha kuongeza wala kupunguza kwa sasa.

Ubarikiwe sana
 
My switie kaka Bishanga,

mie hapa leo nimepita tu source: mamndenyi.

Sina cha kuongeza wala kupunguza kwa sasa.

Ubarikiwe sana
switie?bishanga?mmmhhhh subiri TF aje ndo utajua kwa nini sungura aalinyimwa pembe akapewa mbio!
 
Mkuu bishanga mie kuna waheshimiwa flan sijaona michango yao hapa nataman sn kusoma coment zao kwenye huu uzi,
Nao ni my dia wangu Klorokwin,mwanasheria wetu wa jf na shem wangu Uporoto,my broda Fidel80,my broda Igwe,Bujibuji,katavi,rejao,mzizi mkavu,mzee wa rula,SMU,Pakajimmy mko wapi jaman?
Semen chochote basi kwa huu uzi wa ukweli!

sisty shemeji yako uporoto hausiki kabisa hapa. Haya mambo yatakuwa yanamlenga klorokwin na finest.
 
shusha munkari mzee,ichunguze nafsi yako uone katika mahusiano nini mapungufu yako.Kutukana hakujengi Mkuu!

Nimeangalia kamusi yangu sijaona sehemu wanaelezea MIANAUME ni nini na sidhani kama hii ni sifa. Vivyo hivyo kumwambia mtu HOVYOO ni syo neno la staha hata kidogo. Ndio maana narudia kuwa huo ni upuuzi.
 
Nimeangalia kamusi yangu sijaona sehemu wanaelezea MIANAUME ni nini na sidhani kama hii ni sifa. Vivyo hivyo kumwambia mtu HOVYOO ni syo neno la staha hata kidogo. Ndio maana

narudia kuwa huo ni upuuzi.
sasa Mkuu hapa unagomba na package au unagomba na kilicho ndani ya package? Hivi issue hapa ni title ya thread au content ya thread?
Orait,tuachane na title ya thread, by and large content ya thread wewe as a person ume relate nayo vipi? Are you moraly way above it?
Just be honest to yourself na utwambie hapa kama point zote 15 hazikuelekei.
 
Back
Top Bottom