Daaaaaaaaaaaaaaah!!! big big big point man nimeipenda hii post kupita maelezo imenigusa sana. NAPENDA SANA KUWA HIVYO NIKIINGIA KWNY NDOA NA MIMESHAJIFUNZA MENGI..GOD HELP ME
Karibu sana mkuu
tunakuombea ufike huko na uwe na familia bora
Daaaaaaaaaaaaaaah!!! big big big point man nimeipenda hii post kupita maelezo imenigusa sana. NAPENDA SANA KUWA HIVYO NIKIINGIA KWNY NDOA NA MIMESHAJIFUNZA MENGI..GOD HELP ME
Hili lisredi limetuzalilisha sana sisi vichwa vya familia.
Kulaaleki huyu aliye hack password ya bishanga............nikimkamaaata!
Ngoja niwahi kuangalia mpira.
Tumezoea kuona siredi za wanawake leo tunachukua za uso kavu kavu!
We K..............umekubali leo?? siamini machoa yangu nilidhani bado
unamchukia mama na kumpenda baba peke yake
msaidie nduguyo Fidel,nikiongea mimi ananiambia mpumbavu.
Naona kabadili stail yuko kimungu sasa lol!
Km vipi mwaga bwana tumalizane naye!
Wenzie wamekubali kabaki yeye,
Broda km vp kubali bwana DA ataharibu!!!!
muache sasa mtulie majumbani mwenu na familia.
Penye ukweli lazima tuseme,halafu hiyo K ndo nini?
Haaaa haaaa haaa,Huyu anataka promo tu D.A hamna kitu kama hicho, niamini na nielewe mwanaume makini kama mm hawezi fanya upupu huo hapo juu sawa sawa?
Amekataa anang'ang'ania msimamo wake
hataki kukubali ukweli wake kuwa ana mapungufu
yeye anaona yuko right kwa kila akifanyacho
Ili iweje??????????????????????
Naona kabadili stail yuko kimungu sasa lol!
Km vipi mwaga bwana tumalizane naye!
Wenzie wamekubali kabaki yeye,
Broda km vp kubali bwana DA ataharibu!!!!
Unaelewa nachomaanisha acha kutoa siri zingine sasa
Mkuu tushajua mapungufu yako wapi na tunayafanyia kazi kila siku
na ndoa ni kama darasa tunajifunza mapya kila siku mkuu
Haaaa haaaa haaa,
Ungemruhusu basi amwage hayo anayoyajua,
Hapo tutaweza kulinganisha hoja na kujua nani mkweli,
Ila hii uliyoanza nayo ya kimungu mie hoi lol!
Sina uhakika kama ninachofikiria ndicho,hebu ninong'oneze!