Miaka 6 ya Hayati Magufuli mshahara uleule, miezi 3 ya Rais Samia Suluhu mshahara wangu umebadilika

Mshahara umebadilika lakini kumbuka bei ya mafuta ya petroli na diesel imeongezeka...maana yake ni kuwa bidhaa zinaenda kupanda bei
 
Mshahara umebadilika lakini kumbuka bei ya mafuta ya petroli na diesel imeongezeka...maana yake ni kuwa bidhaa zinaenda kupanda bei
Kwani JPM alipoingia na alipokufa vitu vyote bei ileile?
Mafuta ulimwenguni wote bei imepanda
 
Samia hajapandisha mshahara bwana ila ameanza kupandisha madaraja zoezi ambalo lilianza 2018 lakini kwa kusuasua
 
Mishahara upande au ushuke,it doesn't matter,cha msingi ni serikali ku+control inflation tu,,,,la sivo hio nyongeza haitakusaidia popote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…