Miaka 6 ya Hayati Magufuli mshahara uleule, miezi 3 ya Rais Samia Suluhu mshahara wangu umebadilika

Habari,

Ndani ya miaka 6 ya Magufuli niliambulia annual increment moja tu ya November 2017, ambacho ni kiasi kidogo sana.

Kwa ufupi mshahara haujaongezeka katika kipindi chote hicho.

Miezi 3 tu ya Rais Samia Suluhu salary slip yangu pale juu imebadilika.

Watu wa imani tunaamini kuwa mateso ni zao la uasi na Ibilisi bali Neema ni zao la haki na Mungu.

Hivyo basi huhitaji kuombewa ili upate kujua kati ya Rais Samia Suluhu na Rais Magufuli ni nani chaguo la Mungu na ni nani chaguo la shetani kwa watumishi wa umma.

Sizungumzii kwa wananchi, wafanyabiashara, wakulima au kundi jingine lolote, nazungumzia kwa watumishi wa umma.
Kwani Magu anasemaje huko motoni
 
Ingependeza ukiambatanisha vithibitisho vya kupanda kwa mshahara wako pamoja na uzi huu kwa maslahi ya umma unaopitia uzi huu mkuu.
 
Jf watu wengi wanadharau. Wanaishi maisha ya kwenye video.
Nikiweka salary slips zangu wachawi wataanza kuzizodoa kuwa nalipwa change tu. Lakini binafsi naona inanisaidia na life linasonga.
Ingependeza ukiambatanisha vithibitisho vya kupanda kwa mshahara wako pamoja na uzi huu kwa maslahi ya umma unaopitia uzi huu mkuu.
 
Mimi nashukuru kwa mambo mawili.. kupandisha vyeo na kudeal na wapumbabu loanboard... Bado heslb Wana upuuuzi unaendelea...afuatilie tu.... Tulioingia kwenye huu mtego tunaelewana bado na mabenki ..interest is super too much
 
Mkuu tuamini kuwa hajaenda likizo au kwenye matibabu tuamini kuwa anefariki na kuzikwa tumpe heshima kulingana na tamaduni zetu.Tujue tunawaumiza sana wana familia yake wanapoona hivi. Imagine mtoto wako baada ya wewe kufa akaja ambiwa kuwa baba yako alikuwa shoga japo ni kweli ila itamuharibu kisaikolojia maisha yake yote.
 
Hivi hamuwezi mpa pongezi Mh Rais aliyepo hadi mumkashifu Hayati?
Mkuu tuamini kuwa hajaenda likizo au kwenye matibabu tuamini kuwa anefariki na kuzikwa tumpe heshima kulingana na tamaduni zetu.Tujue tunawaumiza sana wana familia yake wanapoona hivi. Imagine mtoto wako baada ya wewe kufa akaja ambiwa kuwa baba yako alikuwa shoga japo ni kweli ila itamuharibu kisaikolojia maisha yake yote.
Wewe jamaa utakuwa unafilimbwa ulembe siyo bure. Usilazimishe watu waheshimu hilo shetani lako. Muhimu limeenda kuwasalimia lililowaua kina Akwilini, Saanane, Azory n.k.
 
Mkuu tuamini kuwa hajaenda likizo au kwenye matibabu tuamini kuwa anefariki na kuzikwa tumpe heshima kulingana na tamaduni zetu.Tujue tunawaumiza sana wana familia yake wanapoona hivi. Imagine mtoto wako baada ya wewe kufa akaja ambiwa kuwa baba yako alikuwa shoga japo ni kweli ila itamuharibu kisaikolojia maisha yake yote.
Ye ndio familia yake inaumia? Familia za kina Ben, Lissu, Azory hazina maumivu???
 
Back
Top Bottom