Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,036
- 16,030
Mbona yeye hayati alikuwa akijisafisha kwa kusema marais waliopita wametuchelewesha sana.Hivi hamuwezi mpa pongezi Mh Rais aliyepo hadi mumkashifu Hayati?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona yeye hayati alikuwa akijisafisha kwa kusema marais waliopita wametuchelewesha sana.Hivi hamuwezi mpa pongezi Mh Rais aliyepo hadi mumkashifu Hayati?
Wakupe na sfari 2 bili kwanguKila nikumkumbuka namwita weita !!! Alikua ananuchosha sana huyu jamaa hata TV za local niliacha kutizamaView attachment 1844551
Eti analalamika anaomba arudi duniani japo kidogo aje atuminye mpaka vyuma viyeyukeKwani Magu anasemaje huko motoni
,Acha uchawi wa kijinga wenzako wanaloga wapate mali we unachawia wenzako wafe maskini watu kama nyie ni wakupiga shaba hamna faidaUnahitaji kuombewa ili ujue kuwa mshahara wako hautakufikisha popote.
Utakufa masikini sana
Ulitaka akupigie lami barabara ya kwenda kwenu Unyamilonda ndani miezi hii mitatu?But maendeleo ki nchi ni zeroo
Mshahara umebadilika lakini kumbuka bei ya mafuta ya petroli na diesel imeongezeka...maana yake ni kuwa bidhaa zinaenda kupanda beiHabari,
Ndani ya miaka 6 ya Magufuli niliambulia annual increment moja tu ya November 2017, ambacho ni kiasi kidogo sana.
Kwa ufupi mshahara haujaongezeka katika kipindi chote hicho.
Miezi 3 tu ya Rais Samia Suluhu salary slip yangu pale juu imebadilika.
Watu wa imani tunaamini kuwa mateso ni zao la uasi na Ibilisi bali Neema ni zao la haki na Mungu.
Hivyo basi huhitaji kuombewa ili upate kujua kati ya Rais Samia Suluhu na Rais Magufuli ni nani chaguo la Mungu na ni nani chaguo la shetani kwa watumishi wa umma.
Sizungumzii kwa wananchi, wafanyabiashara, wakulima au kundi jingine lolote, nazungumzia kwa watumishi wa umma.
Aisee unakubali vipi kumwachia Kijana wa suma JKT makabrasha yako?Hongereni waajiriwa, sisi wengine bado tunawaachia Suma JKT cv zetu sijui watazikifikisha tupate hata Tempo
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Kwani JPM alipoingia na alipokufa vitu vyote bei ileile?Mshahara umebadilika lakini kumbuka bei ya mafuta ya petroli na diesel imeongezeka...maana yake ni kuwa bidhaa zinaenda kupanda bei
Tumpe tu 20 mingineKumi kwa mama tena
Ana kiu hatari na anaowaita wala hawasikii. Majaliwaaa.Kwani Magu anasemaje huko motoni
Huwa nawashangaa sana wanaomtetea yule mwamba tena wengine ni ndugu zangu wanaonipiga mizinga dailyShujaa alipania kutukomoa