Mhitimu wa UDOM adai Bodi ya Mikopo inamlipisha deni la chuo ambacho hajawahi kusoma

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,987
Naitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
8dfbce4d-5c09-4ac7-a909-372cd4631dea.jpeg
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.

Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
ebd2ca69-16fc-46e9-8ef4-2eaf27ccf5e4.jpeg
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma

Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi

Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
868363ca-5670-4204-a278-dafdb7eafc18.jpeg
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?

Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.
 
Naitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.

Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma

Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi

Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?

Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.
Huo ni utapeli,muone mwanasheria uwafungulie kesi wapuuzi hao,watakulipa hadi fidia
 
Naitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.

Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma

Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi

Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?

Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.
Bodi ya mkopo Kuna uhuni mwingi sana pale wafanyakazi wanatafuna sana pesa za walalahoi kama ushahidi unao tafuta wakili mzuri uwaburuze mahakamani na wakulipe na fidia pumbavu kabisa.

Cha ajabu serikali kupitia wazir wa elimu ya juu wapo kimya tu ama ndio mradi wenu wote, nchi yenye viongozi wa ajabu kabisa.
 
Wadau na Mimi nipo mkoani mbali sana na Dar,tangu mwaka 2016 nakatwa na board kila mwezi.

Yaani sasa ni miaka 7 nakatwa ilihali naamini mkopo ulishaisha.

Naomba msaada mwenye namna ya kujua actually amount yangu nikiwa huku mkoani. Natangulisha shukrani!!

NB- nilisomea procurement and logistics management, first year Mbeya,nikamalizia hapo Kurasini chuo cha TIA.
 
Naitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.

Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma

Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi

Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?

Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.
Hiyo pesa elitoka ila kuna kigogo alio pokea humo humo katika board ya mikopo. Mikopo ya wanafunzi aisaidie wanafunzi masikini ila inaongezea unasikini tu.
 
Naitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.

Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma

Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi

Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?

Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.
peleka mahakamani, hivi unategemea mwizi akwambie mimi niliiba
 
Wadau na Mimi nipo mkoani mbali sana na Dar,tangu mwaka 2016 nakatwa na board kila mwezi.

Yaani sasa ni miaka 7 nakatwa ilihali naamini mkopo ulishaisha.

Naomba msaada mwenye namna ya kujua actually amount yangu nikiwa huku mkoani. Natangulisha shukrani!!

NB- nilisomea procurement and logistics management, first year Mbeya,nikamalizia hapo Kurasini chuo cha TIA.
Jisajili uangalie deni lako online
 
Mh!,Kumbe BOOM inaleta maumivu ee.
Pole yenu mlioajiliwa Serikalini.
Sisi huku chimbo tunapeta.
Yawezekana mnatulipia sisi tulio nje ya mfumo.
Namshukuru Mungu kwa kutonipa akili ya kuomba AJIRA Serikalini.
Tunakula Bata na mayai yake.
Boom nilikula na hakuna anaenidai.
Serikali Oyeeeeeeeeeeeere.
 
Mh!,Kumbe BOOM inaleta maumivu ee.
Pole yenu mlioajiliwa Serikalini.
Sisi huku chimbo tunapeta.
Yawezekana mnatulipia sisi tulio nje ya mfumo.
Namshukuru Mungu kwa kutonipa akili ya kuomba AJIRA Serikalini.
Tunakula Bata na mayai yake.
Boom nilikula na hakuna anaenidai.
Serikali Oyeeeeeeeeeeeere.
Na tunakuja huko huko tupo tunaandaa mafaili yenu🤣🤣🤣.
Jiandae kunywa Chai mchana kweupe jua la utosi na kula mpakani mwa mchana na usiku.
 
Naitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.

Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma

Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi

Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?

Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.
Ukifuatilia vizuri ukakaa na mwanasheria akaclear ishu zako zote kama wadau wanavyosema unafungua kesi la sivyo watoe akaunti na ushahidi wa hiyo akaunti iliyopokea hela hizo ambayo obvious haipo🤣🤣 au waondoe hayo makato na kama walikata mara mbili warudishe walichokata. Au muende mbele wakulipe kisheria kwa Kila kosa walilofanya.
 
Naitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.

Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma

Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi

Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?

Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.
Kwani wewe uliyeleta hii habari jf unakuwa na lengo gani?
 
Bodi ya mkopo Kuna uhuni mwingi sana pale wafanyakazi wanatafuna sana pesa za walalahoi kama ushahidi unao tafuta wakili mzuri uwaburuze mahakamani na wakulipe na fidia pumbavu kabisa.

Cha ajabu serikali kupitia wazir wa elimu ya juu wapo kimya tu ama ndio mradi wenu wote, nchi yenye viongozi wa ajabu kabisa.
BOngo kuna serikali au sirikali..?
 
Kwenye kila shari kuna heri ndani yake, tafuta Advocate mzuri uwavute hela hao.
 
Naitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.

Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma

Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi

Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?

Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.
Hii nchi kila kona imeoza. Hawa fisiemu wakuondoka tu kwenye utawala. Kila wizara janja janja nyingi. Wakiongea mbele za uma utadhani watu kumbe walanguzi tu
 
Back
Top Bottom