DOKEZO Uongozi wa UDOM unazuia matokeo ya mitihani kwa Wanafunzi ambao tumecheleweshewa malipo ya ada kutoka Bodi ya Mikopo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

BigTall

JF-Expert Member
Mar 9, 2022
422
1,049
Kuna kitu kinaendelea Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) baadhi ya Wanafunzi wanaolipiwa hela na mkopo na Bodi ya Mikopo (HESLB) wamefungiwa matokeo yao na chuo kwa madai Bodi haijaingiza pesa za ada chuoni.

Hivyo, uongozi wa UDOM umewataarifu Wanafunzi kuwa walipie wenyewe ada direct na kama bodi wakiingiza pesa wataandika barua kuzirudisha hela.

Kushindwa kufanya hivyo basi tambua kuwa hutapata matokeo na kama ulifeli utadisco, maana muda wa kufanya ‘SUP’ utakuwa umeisha ambao ni mwezi mmoja baada ya matokeo.

Je, hii ni sawa? na kwanini Bodi ya Mikopo icheleweshe pesa? Hili ni kosa la nani? Na Kwa wale wasio na uwezo wa kulipa hiyo pesa haraka hivyo hatima yao ikoje?

Pia soma: Bodi ya Mikopo: Tunafuatilia Madai ya matokeo ya Wanafunzi wa UDOM kuzuiwa kisa kuchelewa kwa malipo ya ada
 
Tatizo la bodi kuchelewasha pesa za ada lipo sana tu hasa kwa vyuo vya serikali

Lakini kwa ninavyo fahamu, chuo huwa kinaruhusu tu wanafunzi wafanye mitihani kama pesa imekuwa allocated tayari. Ndiyo utamaduni wa vyuo vingi vya serikali. Serikali ikileta, zitalipwa.

Japo viongozi wa hicho chuo wanaweza kuwa wazembe, sina shaka serikali ya wanafunzi hapo UDOM imejaa vilaza.
Kazi yao ni nini hasa??

Hili jambo lingetokea kipindi fulani tungeshuhudia kundi la wanafunzi wakiandama kutetea haki yao tena wakiongozwa na viongozi wa serikali ya wanafunzi. Hawa viongozi wa siku hizi wapo tu kuitukuza serikali. Waoga kupindukia. Wala hawajali matatizo ya wanafunzi wenzao.

Poleni.
 
Kuna kitu kinaendelea Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) baadhi ya Wanafunzi wanaolipiwa hela na mkopo na Bodi ya Mikopo (HESLB) wamefungiwa matokeo yao na chuo kwa madai Bodi haijaingiza pesa za ada chuoni.

Hivyo, uongozi wa UDOM umewataarifu Wanafunzi kuwa walipie wenyewe ada direct na kama bodi wakiingiza pesa wataandika barua kuzirudisha hela.

Kushindwa kufanya hivyo basi tambua kuwa hutapata matokeo na kama ulifeli utadisco, maana muda wa kufanya ‘SUP’ utakuwa umeisha ambao ni mwezi mmoja baada ya matokeo.

Je, hii ni sawa? na kwanini Bodi ya Mikopo icheleweshe pesa? Hili ni kosa la nani? Na Kwa wale wasio na uwezo wa kulipa hiyo pesa haraka hivyo hatima yao ikoje?
Kama ni kweli hii sio sawa zote ni taasisi za serikali,hakuna ya kanjibai hapo!wawasiliane tuu.
 
Kuna vitu sielewiii juz kat bodii iliongezea wanafunz ada waliokuwa wanapata asilmia kdg,, sasa inakuaje Tena wanafunz hawajaekewa allocation mpk sasa?
Menejimenti ya chuo cha UDOM huwa inauzembe mwingi tena wakukusudia.

Hasa, wahasibu. Hao ni tatizo. Wazembe, wapenda ngono mpaka basi.
 
Tatizo la bodi kuchelewasha pesa za ada lipo sana tu hasa kwa vyuo vya serikali

Lakini kwa ninavyo fahamu, chuo huwa kinaruhusu tu wanafunzi wafanye mitihani kama pesa imekuwa allocated tayari. Ndiyo utamaduni wa vyuo vingi vya serikali. Serikali ikileta, zitalipwa.

Japo uongozi wa hicho chuo wanaweza kuwa wazembe, sina shaka serikali ya wanafunzi hapo UDOM imejaa vilaza.
Kazi yao ni nini hasa??

Hili jambo lingetokea kipindi fulani tungeshuhudia kundi la wanafunzi wakiandama kutetea haki yao tena wakiongozwa na viongozi wa serikali ya wanafunzi. Hawa viongozi wa siku hizi wapo tu kuitukuza serikali. Waoga kupindukia.

Poleni.
Viongozi wa wanafunzi machawa watupu! Hapo kuna mama mmoja anaitwa Roda, Mkurugenzi wa huduma za wanafunzi.
 
Hapa Kwa harahaka kuna tatizo.haingii akilini zote ni tasisi za serikali Sasa iweje mwingine ashindwe kumuamini mwenzake

Serikali ya wanafunzi wazembe Tena wazembe kupindukia

Mfumo wa chuo serikali ya wanafunzi ndyo ya kupaza sauti Kwa mambo kama haya
 
Kuna kitu kinaendelea Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) baadhi ya Wanafunzi wanaolipiwa hela na mkopo na Bodi ya Mikopo (HESLB) wamefungiwa matokeo yao na chuo kwa madai Bodi haijaingiza pesa za ada chuoni.

Hivyo, uongozi wa UDOM umewataarifu Wanafunzi kuwa walipie wenyewe ada direct na kama bodi wakiingiza pesa wataandika barua kuzirudisha hela.

Kushindwa kufanya hivyo basi tambua kuwa hutapata matokeo na kama ulifeli utadisco, maana muda wa kufanya ‘SUP’ utakuwa umeisha ambao ni mwezi mmoja baada ya matokeo.

Je, hii ni sawa? na kwanini Bodi ya Mikopo icheleweshe pesa? Hili ni kosa la nani? Na Kwa wale wasio na uwezo wa kulipa hiyo pesa haraka hivyo hatima yao ikoje?
Chuo kiko sahihi maana hakitalipwa ndio hapo linakuwa jukumu la wanafunzi kwenda kufuatilia huko bodi ya mikopo au serikali ya wanafunzi ifanye hivyo kwa kuwa mkataba wa malipo ya bodi ya mkopo ni baina ya mwanafunzi na bodi na sio chuo na bodi , chuo kinamahitaji yake kama kulipia umeme na mengineyo ili kiweze kujiendesha kinahitaji fedha hivyo wanafunzi hapo wakalie na bodi ya mikopo au watoe mfukoni.

Ila ukiingiza siasa za kusema wasome tu itakuwa ni kuharibu standard za chuo kujiendesha ndio maana zama za Magufuli kama taasisi ya serikali haijalipa umeme au maji alikuwa anasema wakatiwe huduma kwa kuwa taasisi hizi zipo huru kisheria na kiutendaji na uhuru huu ukiheshimiwa ndio tutapata maendeleo ya kweli na sio kwenda kiholela tu ,wanafunzi nendeni bodi mkadai.
 
Hapo piga hua mtoa mada utakuwa ulikimbia kusaini ada . Bodi ukisaini ada awanashida wanalipa na udom kama umesaini ada alafu bodi awajalipa awawezi fungia tokeo lako na ikitokea wamefungia ukitoa taarifa wanayaachia then wao watakimbizana na bodi lakini kama ukusaini ada awawezi kukuambia ulipe pesa yako ukiona wanakuambia hvo basi ukusaini ada ulikimbia ukaona ada ya Nini kusaini pesa ya chakula inatosha hapo Sasa majanga ndo yaanzapo
 
Kuna kitu kinaendelea Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) baadhi ya Wanafunzi wanaolipiwa hela na mkopo na Bodi ya Mikopo (HESLB) wamefungiwa matokeo yao na chuo kwa madai Bodi haijaingiza pesa za ada chuoni.

Hivyo, uongozi wa UDOM umewataarifu Wanafunzi kuwa walipie wenyewe ada direct na kama bodi wakiingiza pesa wataandika barua kuzirudisha hela.

Kushindwa kufanya hivyo basi tambua kuwa hutapata matokeo na kama ulifeli utadisco, maana muda wa kufanya ‘SUP’ utakuwa umeisha ambao ni mwezi mmoja baada ya matokeo.

Je, hii ni sawa? na kwanini Bodi ya Mikopo icheleweshe pesa? Hili ni kosa la nani? Na Kwa wale wasio na uwezo wa kulipa hiyo pesa haraka hivyo hatima yao ikoje?
Usilipe ada direct. UDOM hawatarudisha hizo hela hasahasa hela ndogo .Kuna mshkaji wangu hakurudishiwa , aliishia kuzungushwa sana.
 
Chuo kiko sahihi maana hakitalipwa ndio hapo linakuwa jukumu la wanafunzi kwenda kufuatilia huko bodi ya mikopo au serikali ya wanafunzi ifanye hivyo kwa kuwa mkataba wa malipo ya bodi ya mkopo ni baina ya mwanafunzi na bodi na sio chuo na bodi , chuo kinamahitaji yake kama kulipia umeme na mengineyo ili kiweze kujiendesha kinahitaji fedha hivyo wanafunzi hapo wakalie na bodi ya mikopo au watoe mfukoni. Ila ukiingiza siasa za kusema wasome tu itakuwa ni kuharibu standard za chuo kujiendesha ndio maana zama za Magufuli kama taasisi ya serikali haijalipa umeme au maji alikuwa anasema wakatiwe huduma kwa kuwa taasisi hizi zipo huru kisheria na kiutendaji na uhuru huu ukiheshimiwa ndio tutapata maendeleo ya kweli na sio kwenda kiholela tu ,wanafunzi nendeni bodi mkadai.
Wanafunzi wanakidai chuo Over payments, na chuo kimekaa kimya mpaka leo hakijarudisha pesa za wanafunzi hao. Bodi haihusiki ni suala la menejimenti ya chuo tu
 
Chuo Cha hovyo Sana hicho Kama unashindwa vipi kuwapa watu matokeo na unajua hela zao zipo Allocated na zote hizo ni Taasisi za Ccm ila haziaminiani what shit is?
 
Back
Top Bottom