- Thread starter
- #161
28 Juni 2020
Soga, Pwani
Tanzania
MH. JOHN MAGUFULI ATEMBELEA MRADI WA SGR - RELI KIPANDE CHA DAR - MORO BAJETI TSHS. TRILIONI 7.2
Apanda treni maalum ya uhandisi, aridhishwa na kazi za kampuni Yapi Merkezi Dar Es Salaam - Morogoro RAILWAY mkandarasi toka Turkey . Ziara hiyo aliongozana na waziri Mh. Prof. Palamagamba Kabudi wa wizara mambo ya nje na Mh. mhandisi Isack Kamwelwe waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mh. Suleiman Jafo Waziri ktk Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).
Kipande cha ujenzi reli-SGR cha Morogoro - Makutupora Dodoma ujenzi ni zaidi ya asilimia 30%. Watu zaidi ya 8,000 wameajiriwa ktk mradi huo wa reli Mpya ya SGR.
Source : TRC Reli TV
28 Juni 2020
LIVE. MHE RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIKAGUA MRADI WA RELI YA KISASA - SGR : DAR ES SALAAM - MOROGORO
Rais Dk. John Magufuli akifurahia jambo ndani ya Behewa la Treni ya Uhandisi alipokuwa akienda Mlandizi mkoani Pwani wakati akikagua kazi za ujenzi wa kipande cha Reli ya Kisasa kutoka Dar es salaam hadi Morogoro, leo. Ujenzi huo umefikia asililimia 80.
Na Mwandishi wa Ikulu
Rais Dk. John Magufuli leo 28 Juni 28, 2020 amekagua maendeleo ya ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha kisasa (standard gauge) kwa sehemu ya kwanza ya Dar es Salaam – Morogoro na kuelezea kuridhishwa kwake na maendeleo ya ujenzi wa mradi huo mkubwa.
Rais Magufuli amesafiri kwa gari kandokando ya reli hiyo kuanzia Kisarawe hado Soga Mkoani Pwani na kisha akapanda kiberenge kilichopita katika reli hiyo mpya kuanzia Soga hadi Kikongo kabla ya kuendelea na safari yake kwa gari kuelekea Morogoro.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Mhandisi Masanja Kadogosa amemueleza Mhe. Rais Magufuli kuwa kazi ya ujenzi wa sehemu ya kwanza ya reli hiyo imefikia asilimia 82 ambapo Watanzania 13,000 wamenufaika na ajira na inatarajiwa kukamilika mwisho wa mwaka huu (2020).
Akizungumza na wananchi wa Soga na Kikongo, Rais Magufuli amewapongeza kwa kupata mradi huo na ametaka waendelee kuchapa kazi kwa juhudi na maarifa ili waweze kunufaika zaidi na mradi huo.
Soga, Pwani
Tanzania
MH. JOHN MAGUFULI ATEMBELEA MRADI WA SGR - RELI KIPANDE CHA DAR - MORO BAJETI TSHS. TRILIONI 7.2
Apanda treni maalum ya uhandisi, aridhishwa na kazi za kampuni Yapi Merkezi Dar Es Salaam - Morogoro RAILWAY mkandarasi toka Turkey . Ziara hiyo aliongozana na waziri Mh. Prof. Palamagamba Kabudi wa wizara mambo ya nje na Mh. mhandisi Isack Kamwelwe waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mh. Suleiman Jafo Waziri ktk Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).
Kipande cha ujenzi reli-SGR cha Morogoro - Makutupora Dodoma ujenzi ni zaidi ya asilimia 30%. Watu zaidi ya 8,000 wameajiriwa ktk mradi huo wa reli Mpya ya SGR.
Source : TRC Reli TV
Yapı Merkezi is constructing the fastest railway in East Africa. The first phase of the 1,224 km total line, the 202 km long Dar Es Salaam - Morogoro Railway Project, is the most critical part of the project. When the 5-part line is completed, it will connect Uganda, Rwanda, Democratic Republic of Congo and Tanzania, and provide access to the Indian Ocean for all related countries.
The groundbreaking ceremony took place on on April 12, 2017 at Pugu with the participation of HE Dr. John Pombe Joseph Magufuli as President and Commander in Chief of the Armed Forces of the United Republic of Tanzania, Hon. Prof. Makame Mbarawa as Minister of Works, Transport and Communication, Mr. Yunus Belet as acting Ambassador of Republic of Turkey in Dar Es Salaam, Mr. Erdem Arıoğlu as Vice Chairman of Yapı Merkezi, Mr. Özge Arıoğlu as CEO of Yapı Merkezi, Mr. Emre Aykar as Yapı Merkezi Board Member and , Mr. Abdullah Kılıç as Yapı Merkezi East Africa Regional Manager.
All works pertaining to design, manufacture, assembly and operation startup of track superstructure, electrification, signaling, telecommunication, central control systems are being carried out by Yapı Merkezi.
202 km-long single line will be constructed at a design speed of 160 km / h between Dar Es Salaam and Morogoro. During the 30-month project, a total of 33 million cubic meters of excavation work will be undertaken; 96 pieces of 6,500 meter-long bridge and overpasses, 460 culverts, 6 stations and repair and maintenance workshops will be constructed. Source : Dar Es Salaam - Morogoro RAILWAY
28 Juni 2020
LIVE. MHE RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIKAGUA MRADI WA RELI YA KISASA - SGR : DAR ES SALAAM - MOROGORO
Rais Dk. John Magufuli akifurahia jambo ndani ya Behewa la Treni ya Uhandisi alipokuwa akienda Mlandizi mkoani Pwani wakati akikagua kazi za ujenzi wa kipande cha Reli ya Kisasa kutoka Dar es salaam hadi Morogoro, leo. Ujenzi huo umefikia asililimia 80.
Na Mwandishi wa Ikulu
Rais Dk. John Magufuli leo 28 Juni 28, 2020 amekagua maendeleo ya ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha kisasa (standard gauge) kwa sehemu ya kwanza ya Dar es Salaam – Morogoro na kuelezea kuridhishwa kwake na maendeleo ya ujenzi wa mradi huo mkubwa.
Rais Magufuli amesafiri kwa gari kandokando ya reli hiyo kuanzia Kisarawe hado Soga Mkoani Pwani na kisha akapanda kiberenge kilichopita katika reli hiyo mpya kuanzia Soga hadi Kikongo kabla ya kuendelea na safari yake kwa gari kuelekea Morogoro.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Mhandisi Masanja Kadogosa amemueleza Mhe. Rais Magufuli kuwa kazi ya ujenzi wa sehemu ya kwanza ya reli hiyo imefikia asilimia 82 ambapo Watanzania 13,000 wamenufaika na ajira na inatarajiwa kukamilika mwisho wa mwaka huu (2020).
Akizungumza na wananchi wa Soga na Kikongo, Rais Magufuli amewapongeza kwa kupata mradi huo na ametaka waendelee kuchapa kazi kwa juhudi na maarifa ili waweze kunufaika zaidi na mradi huo.