29 Dec 2020
Dodoma, Tanzania

Mvua yazoa Miundo-Mbinu, Abiria 700 wakwama

Abiria zaidi ya 730 waliokuwa wanasafiri kwa garimoshi kuelekea Dar es Salaam wakitokea mikoa ya Kigoma, Katavi na Tabora wamekwama katika kituo cha treni Dodoma baada ya miundombinu ya reli kuharibiwa na mvua katika stesheni za Kikomo na Igandu.

Source : Azam TV
Ni kwamba hii post yako imeunganishwa na huu uzi au umepost mwenyewe humu?

Kama ni hivyo unatuchanganya tu maana uzi unaongelea SGR wewe unapost kuhusu RELI YA KATI!!
 
Ni kwamba hii post yako imeunganishwa na huu uzi au umepost mwenyewe humu?

Kama ni hivyo unatuchanganya tu maana uzi unaongelea SGR wewe unapost kuhusu RELI YA KATI!!

Inaonesha kuwa kazi ya kumaliza network / mtandao wa reli kuwa SGR itachukua miaka 15 ndiyo maana mhandisi nguli wa TRC anatoa angalizo na kuondoa ndoto ya reli ya mkoloni yote kugeuzwa SGR haiwezi kukamilika kwa miaka 5 wala 10 na hata 15 siyo rahisi reli yote kuwa SGR.

Kubwa ni kukubali ukweli huo na kuendelea kuikarabati reli hiyo ndefu ya mkoloni MGR ili usafiri wa reli kuendelea.
 

December 30, 2020

KILOMETA 26 TOKA DAR ES SALAAM, WAKUFUNZI RELI WASHUHUDIA KITUO CHA UMEME, SGR DAR - MORO IKIELEKEA UKINGONI



Source : TRC RELI TV
 

STESHENI YA MOROGORO NI ZAIDI YA KIVUTIO, UJENZI WAFIKIA ZAIDI YA 80%, RELI YATANDIKWA


Source : TRC RELI TV
 
06 January 2021
Dodoma, Tanzania

Tope jingi lakwamisha Treni ya abiria Dodoma



Abiria wa treni ktk reli ya kati toka bara kuelekea pwani wamekwama tena Dodoma kufuatia njia ya reli kuathiriwa na tope kati ya stephenie za Godegode na Dodoma.

Abiria walalama kukwama kwa masaa mengi hata hivyo viongozi wa TRC wanafanya juhudi kuwatafutia usafiri wa mabasi ili waendelee kumalizia safari zao kuelekea Morogoro na Dar es Salaam. Pia viongozi wameanza kufuatilia njia hiyo ifanyiwe marekebisho ili safari za treni ziweze kurejea kama kawaida .
Source : Azam TV
 
7 January 2021

Tanzania to Sign $1.32 Billion Rail Contract With Chinese Firms

Tanzania will sign a $1.3 billion contract on Thursday for two Chinese companies to build a section of the East African country’s new standard-gauge railway network.

The link covering about 340 kilometers (211 miles) in the northwest of the country will be financed by the government at a cost of 3.06 trillion shillings ($1.32 billion), Foreign Affairs Minister Palamagamba Kabudi told reporters.

The signing of the agreement will be witnessed by himself and his Chinese counterpart, Wang Yi, who is scheduled to arrive for a two-day visit on Thursday, Kabudi said.

President John Magufuli, who secured a second five-year term at a general election in October, has pledged to continue upgrading the country’s aging infrastructure, including a 2,560-kilometer railway connecting Dar es Salaam port to land-locked neighbors at an estimated cost of $7.6 billion.

Tanzania awarded two separate tenders in 2017 and 2019 to Turkish firm Yapi Merkezi Insaat VE Sanayi AS to build more than 700 kilometers of high-speed railway from commercial hub Dar es Salaam to Makutupora in the center of the country at a combined cost of more than $3 billion.

©2021 Bloomberg L.P.
 
11 January 2021
Dodoma, Tanzania

Abiria wa Treni reli ya kati wakwama baada ya daraja kusombwa na maji



Abiria toka bara kwenda pwani leo wamejikuta wamekwama mjini Dodoma baada ya treni kushindwa kuendelea na safari.

Stesheni master wa stesheni ya Dodoma reli ya MGR mkoloni amethibitisha kuchukuliwa kwa hatua hizi za kiusalama kunusuru maisha na treni yenyewe kutokana na miundombinu ya reli kuharibiwa tena sehemu za Godegode.

Shirika la reli limelazimika tena kukodi mabasi ili abiria waendelee na safari yao kwa barabara kuelekea Morogoro na Dar es Salaam. Hili ni tukio kubwa la 3 kuikumba tena reli hiyo ya MGR katika wiki mbili zilizopita.

Source : Azam TV
 
7 January 2021

Tanzania to Sign $1.32 Billion Rail Contract With Chinese Firms

Tanzania will sign a $1.3 billion contract on Thursday for two Chinese companies to build a section of the East African country’s new standard-gauge railway network.

The link covering about 340 kilometers (211 miles) in the northwest of the country will be financed by the government at a cost of 3.06 trillion shillings ($1.32 billion), Foreign Affairs Minister Palamagamba Kabudi told reporters.

The signing of the agreement will be witnessed by himself and his Chinese counterpart, Wang Yi, who is scheduled to arrive for a two-day visit on Thursday, Kabudi said.

President John Magufuli, who secured a second five-year term at a general election in October, has pledged to continue upgrading the country’s aging infrastructure, including a 2,560-kilometer railway connecting Dar es Salaam port to land-locked neighbors at an estimated cost of $7.6 billion.

Tanzania awarded two separate tenders in 2017 and 2019 to Turkish firm Yapi Merkezi Insaat VE Sanayi AS to build more than 700 kilometers of high-speed railway from commercial hub Dar es Salaam to Makutupora in the center of the country at a combined cost of more than $3 billion.

©2021 Bloomberg L.P.

..Mantiki ya kujenga Mwanza to Isaka kabla ya Dodoma --Tabora--Isaka ni ipi?
 
Na Charles Musiba,
"Inabidi reli wawe na kitengo cha preparedness kwa ajili ya mafuriko na majanga mengine ya asili yanayoweza kuathiri miundo mbinu yao, hii ikiwa na kusafisha na kutengeneza drainage systems zinazofaa badala ya kuwa wanasema mvua za aina hii hazijawahi kutokea! Wanatakiwa wawe na flood programs za 15, 25, 50 and 100 years! Tunatakiwa kuanza kuweka recodi za mvua (precipitation) katika kila kituo cha reli kama ilivyokuwa hapo zamani. Data hizo zinazopatikana zitasaidia sana katika ku-model disaster mitigation na kuweza kusimulate worst case scenarios kama kuna mafuriko. You need the base data kwa kazi kama hizi".

6 days ago
January 14, 2021
Dodoma, Tanzania

Kaimu Mkurugezi Mkuu wa TRC atembelea eneo korofi
L
a reli ya mkoloni MGR kati ya stesheni za Godegode na Gulwe mkoani Dodoma Tanzania lilokumbwa na uharibifu hapo January 10, 2021 na kusababisha huduma za treni kusitishwa.

Eneo hilo la reli lilisombwa na maji ya mvua yaliyotoka Kibakwe na vilima vya Wota mkoani Dodoma na pia kilometa moja unusu ya reli ilifunikwa (kuzikwa) kabisa na mchanga.
 
Back
Top Bottom