Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,041
- 103,473
Maiti zitakazopelekwa hapo uwanjani ni za watu wenye uwezo mdogo Ili zifanyiwe siasa ili kupata ubani wa 1m@. Lakini huwezi kuona maiti za wale wazungu kwenye hiyo kiki ya kisiasa. Cdm waendelee na ratiba Yao kama kawaida, maana hata wakienda hawawezi kupewa nafasi ya kutoa rambirambi rasmi kama chama.Mkuu
Inabidi ifunguliwe kesi ya Udhalilishaji Maiti....iweje maiti zimeharibika vibaya zije KUANIKWA uwanjani Huo ni Udhalilishaji...Tupinge kwa nguvu zote!!!!