18 September 2020

SABABU ZA TUNDU LISSU KUTAKA UJENZI WA RELI RUKWA, KATAVI NA SONGWE

 
10 Nov 2019
Masanja Kadogosa amesema mpaka sasa ujenzi wa Reli ya kisasa (SGR), umefikia asilimia 71. Ameeleza mpaka mwezi April 2020, kipande cha Dar es Salaam hadi Morogoro kitakuwa kimekamilika na kile cha Morogoro hadi Dodoma kikitarajiwa kukamilika mwaka 2021.

kipande cha dar -moro kilishakamilika?
 
Miaka 15 ni kuendelea kutumika baada ya kukarabati sio inakarabatiwa kwa miaka15 acha uzwazwa

Wewe ndiye zwazwa.
Alichosema Mhandisi ni sahihi. It will take 10-15 years kukamilisha ujenzi wa SGR ndo maana wanaendelea kukaratabati hii Reli ya zamani(MGR) Ili iendelee kutumika mpaka muda huo!!
 
Wewe ndiye zwazwa.
Alichosema Mhandisi nu sahihi. It will take 10-15 years kukamilisha ujenzi wa SGR ndo maana wanaendelea kukaratabati hii Reli ya zamani(MGR) Ili iendelee kutumika mpaka muda huo!!

Na kukamilisha ujenzi wa Reli Mpya SGR kilometa 1,200 ni kazi nzito, sidhani itakamilika itakuwa kipande tu.

Bora waendelee kukarabati na kuiimarisha reli hiyo ya zamani MGR ibebe mzigo mwingi na kuongeza kasi ya treni hicho kipo ndani ya uwezo wa uchumi wetu.
 
Na kukamilisha ujenzi wa Reli Mpya SGR kilometa 1,200 ni kazi nzito, sidhani itakamilika itakuwa kipande tu.

Bora waendelee kukarabati na kuiimarisha reli hiyo ya zamani MGR ibebe mzigo mwingi na kuongeza kasi ya treni hicho kipo ndani ya uwezo wa uchumi wetu.

Tatizo la Serikali ya CCM ya Magufuli anafikiri kila mradi ni Siasa....No sir!
Huu Ni uzwazwa fulani wa kutaka sifa za kijinga. Huwezi kuanzisha miradi mikubwa kwa mpigo wakti hujui Fedha utapata wapi!! Mara SGR, sijui Stieglers Gorge, mara Bombadier, mara Flyover, mara Chattle Airport, mara Burigi National Park, mara elimu bure etc, vyote hivi HAVIJAPITISHWA NA BUNGE LA BAJETI....Ni mtu kalala na mkewe kesho anaanzisha mradi....All those Non-sense!!
 
24 September 2020

MASANJA KUNGU KADOGOSA : ROLLING STOCK MANAGEMENT



Ukarabati wa Reli ya kati mkoloni MGR kilometa 970 Dar es Salaam mpaka Isaka. Pia reli ya mkoloni ya Dar to Korogwe to Tanga na Korogwe Moshi to Arusha.
 
25 September 2020
Dodoma

DK. HASSAN ABBAS , AKIRI NI KWELI RELI SGR MPYA NI MAENDELEO YA VITU

Msemaji Mkuu wa Serikali Dr. Abbas azungumzia Vipande vya Ujenzi wa Reli Mpya ya SGR




Msemaji Mkuu wa Serikali Dr. Hassan Abbas azungumzia Vipande vya Ujenzi wa Reli Mpya ya SGR katika mradi wa kilometa 1,200 toka Dar es Salaam mpaka Mwanza
The 1,224 km long SGR RAILWAY line construction in Tanzania
Yapı Merkezi is constructing the fastest railway in East Africa. The first phase of the 1,224 km total line, the 202 km long Dar Es Salaam - Morogoro Railway Project, is the most critical part of the project. When the 5-part line is completed, it will connect Uganda, Rwanda, Democratic Republic of Congo and Tanzania, and provide access to the Indian Ocean for all related countries.

The groundbreaking ceremony took place on on April 12, 2017 at Pugu with the participation of HE Dr. John Pombe Joseph Magufuli as President and Commander in Chief of the Armed Forces of the United Republic of Tanzania, Hon. Prof. Makame Mbarawa as Minister of Works, Transport and Communication, Mr. Yunus Belet as acting Ambassador of Republic of Turkey in Dar Es Salaam, Mr. Erdem Arıoğlu as Vice Chairman of Yapı Merkezi, Mr. Özge Arıoğlu as CEO of Yapı Merkezi, Mr. Emre Aykar as Yapı Merkezi Board Member and , Mr. Abdullah Kılıç as Yapı Merkezi East Africa Regional Manager.

All works pertaining to design, manufacture, assembly and operation startup of track superstructure, electrification, signaling, telecommunication, central control systems are being carried out by Yapı Merkezi.

202 km-long single line will be constructed at a design speed of 160 km / h between Dar Es Salaam and Morogoro. During the 30-month project, a total of 33 million cubic meters of excavation work will be undertaken; 96 pieces of 6,500 meter-long bridge and overpasses, 460 culverts, 6 stations and repair and maintenance workshops will be constructed.
Yapı Merkezi İnşaat ve Sanayi A.Ş.
 
October 2020
Dar es Salaam, Tanzania

Viongozi wa dini watembezwa katika jengo la stesheni ya reli jijini Dar es Salaam



Source : TRC RELI TV
 
Rais Lazarus Chakwera wa Jamhuri ya Malawi atoa neno kuhusu SGR Reli

 
Kitongoji cha Kigogo ktk jiji la Dar es Salaam ambapo reli ya SGR Mpya inaendelea kujengwa

 
Mzee wa vitambulisho vya wamachinga kukopea benki yeye anasema inaisha lini?
Screenshot_20201004-154130.png
 
hii kitu ni white elephant........ ndio shida ya kufanya mambo kwa kukurupuka!

Uko sahihi mkuu. Unakumbuka upinzani ulitaka PPP model itumike. Mtaji usingekuwa shida kubwa. Sasa hata mradi huu kukamilika ni mashaka. Hatuwezi tukawa miradi mingi hivi kwa wakati mmoja na yote ikigharimiwa na serikali. Mingine haitatoboa na huu ni mmoja wapo!

Tuna shida kubwa ya kujifunza. Tunadhani tukiiga jambo la mzungu basi tunakuwa hatuna uhuru!! Miradi hii ni mikubwa sana kwa chumi ndogo kama za kwetu. Tukiifanya inaacha madhara makubwa kiuchumi!!
 
February 5, 2020
Kilosa, Tanzania

Wahandisi : Reli ya kati ihamishwe toka eneo la mafuriko na pia SGR kuchukua miaka 15 kukamilisha

Wakati wa ukaguzi wa uharibifu wa njia ya reli ya kati sehemu za Gulwe na Kilosa, wataalamu wa ujenzi wa reli wamebainisha kuwa Tanzania itaendelea kuitumia reli ya mkoloni kwa miaka zaidi ya 10 ijayo.




Pia Reli mpya ya SGR itachukua takriban miaka 15 kumalizwa kujengwa hilo limebainishwa ktk eneo la reli ya kati lililokumbwa na mafuriko yasiyo ya kawaida wakati jopo la wahandisi na mkurugenzi mkuu walipokuwa wanajadili athari za mafuriko na changamoto za reli ya mkoloni na reli mpya ya SGR.

TRC inapoteza zaidi ya milioni 100 kwa siku kutokana na kusitisha safari reli ya kati. Na ili kukabiliana na mafuriko inabidi reli ya kati ihamishiwe mlimani na mlima huo unahitaji kuchongwa pia .

Uharibifu ktk eneo la mto Mkondoa ni mkubwa sana na ingawa eneo hilo la Gulwe Kilosa hakuna mvua lakini mvua kubwa zinazonyesha mikoa ya Iringa na Dodoma inaingiza kiasi kikubwa cha maji mto Mkondoa.

Source: TRC Reli TV

Ni kweli Kabisa, tuliopo karibu na Mradi tunaelewa
 
25 November 2020

SGR KIPANDE CHA MORO-MAKUTUPORA NI ZAIDI YA 47%, UJENZI MAHANDAKI KILOSA UNAENDELEA

Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu (CAG ) atembelea mradi wa reli mpya ya SGR kukagua kwa kujionea kazi iliyofanyika



Source : TRC RELI TV

 
29 Dec 2020
Dodoma, Tanzania

Mvua yazoa Miundo-Mbinu, Abiria 700 wakwama

Abiria zaidi ya 730 waliokuwa wanasafiri kwa garimoshi kuelekea Dar es Salaam wakitokea mikoa ya Kigoma, Katavi na Tabora wamekwama katika kituo cha treni Dodoma baada ya miundombinu ya reli kuharibiwa na mvua katika stesheni za Kikomo na Igandu.

Source : Azam TV
 
Back
Top Bottom