Hapo kwenye red itakuwa kakupitia ndiyo maana unamsifia maana huyu jamaa kwa kufumaniwa ni kiboko.Mwigulu amewashika pabaya ndio maana wanatukana. Mwigulu is the man
Amemtukana mwiguru kuwa ni mpumbavu.
Hizi bange bwana.
Na kama spika asingemzuia Nchemba kutoa taarifa tungeshuhudua senema ingine maana Mwiguru si mchezo kwa maneno.
anakwambia kwamba kazi ya usalama wa taifa imebakia kung'oa kucha na meno
Yeah, since you're the one who knows his manhood, we can't discount your statement.
Weak opposition wangekuwa wamesurrender...kama bado wanapambana hiyo ni strong opposition....
But inategemea na your own translation...nani kasema wanataka kupigana?
Kigwangala ndio kasema atapambana na CHADEMA...
Kama huna hela ya King'amuzi,nenda Lumumba kuna TV unatazama bure....
kwa hiyo wamejipanga kutuonyesha sisi wahaya ni magaidi?! ama kweli wahaya tumefika hatua ya chini kabisa kudhalilishwa na watu wa ajabu ajabu ambao mpaka juzi wanakuja mjini waki-share nyumba na mifugo!
si ajabu sugu kulipuka, itakua si yeye ni bangi tu zimelipuka mkuu, zile alizokua akivuta kabla ya kupanda majukwaani na mlegezo
anakwambia kwamba kazi ya usalama wa taifa imebakia kung'oa kucha na meno
Sugu anawakilisha wavuta bangi.