Mh. Mbilinyi (Sugu) alipuka bungeni

Mh. Mbilinyi (Sugu) alipuka bungeni

Mbona mzee wako ndie aliye hivyo au kwa ufupi ni tabia za mzee wako

mara ya mwisho baba angu aliniambia kua ana mtoto wa nje, mkuu nashukuru kukutana na wewe itakua wewe ndie yule mtoto wa yule house girl wetu ambae baba angu alighafilika akambaka
 
Hoja yake imesaidia vipi kuboresha bajeti ya Waziri Mkuu?

Bunge sio Rock Concert, mbunge akiongea akimaliza inabidi kuwe na input alizoweka. Ukiona mbunge kamaliza halafu kinachojadili ni kwamba "kamchana Mwigulu" ujue kuna walakini.

Na wewe ulitaka kuwa eti mbunge wa Morogoro kusini, afadhali Mungu aliepusha janga hili kwani usingekuwa tofauti na vilaza wenzio wakina Nchemba; sababu ya hizo degree zenu za kununua halafu mnajiita DR!!!
 
Mwigulu amewashika pabaya ndio maana wanatukana. Mwigulu is the man
Ili serikali iqualify kuitwa serikali pumbavu, ni lazma iwe na baadhi ya watu wapumbavu. Mwigulu anaqualify and so to his supporters. Sugu aliliongea hili suala akilink na suala la kupingwa kwa hoja ya Mbatia. Hivi kilichofanywa na wabunge wa CCM wakati Mbatia kaleta hoja binafsi ya kunusuru elimu ni nini hasa kama sio upumbavu???

Waziri Mkuu naye akaingia kwenye mtego wa kundi hilo la kina Mwigulu, tena kwake yeye ndo mbaya zaidi maana taarifa ya kufail kwa wananfunzi 2010 ipo ofisini mwake inagather dust, hoja ya Mbatia naye aliipuuza, then mwisho mambo yameenda kombo anaunda tume ya kufanya yale yale yalofanywa katika ripoti iliyopo ofisin mwake na anakubali yale yale yaliyopendekezwa na Mbatia akayakataa.

Huu ni upumbavu, hakuna jina zuri kwa matendo ya style hii hata kama utamtumia Profesa wa Lugha, naye ataishia kutaja neno hili hili kwa matendo ya aina hii. Tanzania inahitaji watu watendaji na sio wababaishaji na wapoteza muda. Waziri mkuu analeta ubabaishaji. Ripoti ipo ofisini inahitaji tu utekelezwaji wa ushauri uliotolewa na tume ya awali, kuunda tume mpya ni kutafuta kupoteza muda ili tusahau. Kama ilivyo katika masuala mengi sana mfano ripoti ya viwango duni vya majengo ya DSM. Hii report ipo imekaliwa, tunasubiri jengo lingine lianguke ili tuunde tume. Ni ubabaishaji tu na kulindana.

Suala la kesi ya ugaid ni kuwa limeshabackfire kwa Mwigulu, unahitaji kuwa mwendawazimu kudeny fact hii. Sasa hivi anatumia nguvu kushawish watanzania ambao wanaonyesha dhahiri kumpuuza kiongoz huyu kwa ushenz wake na siasa zake za kipumbavu. Dhuruma haiwezi ishinda haki. Tusubirie tu anguko la CCM maana inaonekana chama chenu kimekubaliana na propaganda za kihuni na kimeamua kutumia wahuni kunusuru chama. Sasa hivi Mwigulu kaachiwa mwenyewe anywe aliyoyakoroga na ndiomaana anapayuka km karogwa.

Na bado, hapo hajapanda kutoa ushahid wake mahakamani, asifikirie anavyoongea mtaani kwa jumla jumla hivi ndivyo atavyoongea mbele ya judge na mbele ya mawakili, pale ataongea anachoulizwa tu na huu upuuz anaoongea mtaani, atarudi nao bila kuulizwa mbele ya majudge, pale zinatakiwa facts tu, pumba na hisia atabak nazo. Lets wait and see jinsi mtu huyu atavyoprove upumbavu wake.
 
Hakuna kitu kinaniuma na kunishangaza kama huu upuuzi anaoongea Mwigulu halafu vyombo vya usalama vipo vinaangalia tu na kusikiliza.Okay,tufanye CCM itakaa madarakani milele,otherwise Mwigulu wikl suffer the consequences.
 
Mh. Joseph Mbilinyi kakosea kutumia maneno makali namna hiyo.
Lakini tunachopaswa kuangalia zaidi ni kuwa ni maneno gani angetumia kuelezea kinachoendelea sasa hivi hapa nchini mbali na maneno hayo!???? Kiukweli sio rahisi kupata maneno ya kueleza nje ya alivyosema
 
Kwa akili timamu kabisa nashawishika kusema wewe ni kilaza uliekubuhu.mambo ccm walioyaasisi bungeni ni ushetani wa kuvuruga nchi..unachekelea ujinga..kikiwaka tz hutasalimika....
 
Mhe. Sugu alimwambia spika mpumbavu sio tusi na ndio maana limeandikwa kwenye Biblia

pia akamwambia upumbavu ni stupidity ambayo ni lack of knowledge na understanding

'mheshimiwa spika wanambeya walinichagua kwa dhati ila sijisikii kuwa hapa bungeni,kukaa na wapumbavu kama Mwigulu. Ana make deal halafu anatumia m-pesa kutuma hela'
 
labda wa wanafunzi

hata mimi ambaye ndie ananiwakilisha jimboni kwetu sitampa kura,

ZABURI 108
10 Ni nani atakayenipeleka hata mji wenye boma? Ni nani atakayeniongoza hata Edomu?
11 Ee Mungu, si Wewe uliyetutupa? Wala, Ee Mungu, hutoki na majeshi yetu?
12 Utuletee msaada juu ya mtesi, Maana wokovu wa binadamu haufai.
13 Kwa msaada wa Mungu tutatenda makuu, Maana Yeye atawakanyaga watesi wetu.
 
Back
Top Bottom