Mh. Mbilinyi (Sugu) alipuka bungeni

Mh. Mbilinyi (Sugu) alipuka bungeni

Mwigulu amewashika pabaya ndio maana wanatukana. Mwigulu is the man
Leo bwana Lameck Madelu Mkumbo umeamua kila kinachokuzungumzia humo vipi lakini unajisikiaje kwa kushabikia upumbavu
 
Hoja yake imesaidia vipi kuboresha bajeti ya Waziri Mkuu?Bunge sio Rock Concert, mbunge akiongea akimaliza inabidi kuwe na input alizoweka. Ukiona mbunge kamaliza halafu kinachojadili ni kwamba "kamchana Mwigulu" ujue kuna walakini.
wewe tunakujua sana hapa jf,wale wale wang'oa kucha
 
Leo bila shaka Mh. Joseph Mbilinyi atakuwa amepata ahueni kubwa sana moyoni mwake; kuzungumza jambo katika uhalisia ulivyo moyoni, pasipo kuingiza ndani yake hekima za kiutuuzima za kupunguza makali ya maneno, kunaleta ahueni kubwa sana kwa mzungumzaji- kwani mtu hutoa japo sehemu ya uchungu wake.
 
Mzee Ndesa alisema ikibidi bunge hili ngumi zitarushwa! Hii ni wiki ya kwanza tu ya bunge mambo ni hivi, je ikifika wakati wa hotuba ya waziri wa fedha?
Kamanda lema lazima atakuwa wa kwanza kurusha ngumi. Mie yangu macho na masikio
 
ndio maana anaitwa sugu na wana mbeya hatukukosea kumpa kura zetu ni jasili mno peplesssssss, power, hivi wote tuulizane si tunaona kila baada ya nyumba moja kuna mtoto kapata daraja sifuri au daraja la 4 na hao wote wana mh.mbilinyiataenda wapi? huuu kweli ni ujinga kama sio wendawazimu hivi kweli watoto wote hawakua na akili?
ongera
 
Hoja yake imesaidia vipi kuboresha bajeti ya Waziri Mkuu?

Bunge sio Rock Concert, mbunge akiongea akimaliza inabidi kuwe na input alizoweka. Ukiona mbunge kamaliza halafu kinachojadili ni kwamba "kamchana Mwigulu" ujue kuna walakini.

kweli kwa level ya watu kama nyie huwezi kuelewa alimaanisha nini, ila kwa ufupi...alikuwa anampa ujumbe mropokaji wa asubuhi kuwa aache kushambulia na kutuma magaidi kuua na kungoa kucha, iyo bajeti inayopangwa wakati watu wanauawa unapangwakumsaidia nani???acha watu waishi n ndo bajeti iendane nao ila kama tunaua watu haina sababu ya kuwa na bajeti...wanafunzi wote karibia wamefeli je bajeti ya nini ??kawambia elimu za uboya/kuungaunga ndo inatufikisha apo...uyo kawambwa mkuu wake wa nidamu ni w/mkuu akishauriana na usalama wa taifa ambao umshauri rais , je rais kashauriwa vizuri >????
 
CHADEMA wameshindwa hoja bungeni sasa wanataka wazichape na CCM!

What a weak opposition!

CHADEMA si chama makini.
 
Hoja yake imesaidia vipi kuboresha bajeti ya Waziri Mkuu?

Bunge sio Rock Concert, mbunge akiongea akimaliza inabidi kuwe na input alizoweka. Ukiona mbunge kamaliza halafu kinachojadili ni kwamba "kamchana Mwigulu" ujue kuna walakini.

Maneno au lugha yako ni ileile ya kiccm na serikali yake, kila siku wanawaimbia watanzania, ari mpya kasi mpya maisha bora kwa kila mtanzania lakini utekelezaji wake ni ziro kubwa, kwa sasa nimeaminii kuwa u mmoja wa watawala misonge au unaneemeka na mfumo wa utawala uliopo.
 
Hoja yake imesaidia vipi kuboresha bajeti ya Waziri Mkuu?

Bunge sio Rock Concert, mbunge akiongea akimaliza inabidi kuwe na input alizoweka. Ukiona mbunge kamaliza halafu kinachojadili ni kwamba "kamchana Mwigulu" ujue kuna walakini.

Mkuu unajua saa nyingine unapenda kujifanya kichaaa
Ni marangapi magamba mmeambiwa vitu vya msingi mkakataa?????Leo ndo mnataka mpewe ushauri????
 
sha makala acha ushabiki mwigulu kamshika nani pabaya wewe, we pumbavu usiye jua kufikili
Msamehe .kwa sababu kule kwetu hili neno "sha makala" ambalo ndiyo jina lake linamaanisha makalio.Sasa unategemea nini cha maana kutoka kwa mtu wa namna hiyo?
 
Hao ndio wabunge tunaotaka sio wale wanaolala bungeni. Wananchi tutambue tuna wajibu wa kuongeza vijana bungeni uchaguzi ujao 2015
 
Sasa muhuni Kama sugu si Ainu kabisa kwa Watusi wa mbeya, huwezi Kuwa mbunge halafu utumie kodi kutukana bungeni....shame on u

Inawezekana ukawa bonge la mjinga kulko unavyofkiri,kwa mawazo yako uanadhani hata wapinzani wangekuwa na hoja gani nzuri hawateweza kubadili mawazo ya wendawazimu wengi ndani ya bunge kupitisha upuuz wao,jiulze hata wewe uliwahi kuskia wapi mtu akapanga bajet ya milioni moja wakati mkononi ana laki moja kama sio serkali ya ccm?
 
sha makala acha ushabiki mwigulu kamshika nani pabaya wewe, we pumbavu usiye jua kufikili

Hivi hamuwezi kuchangia bila kutukana? Kama kila kitu hoja ni Mwigulu what should we conclude? Kama hasumbii kwa nini kila siku mnaanzisha thread zinazohusu Mwigulu?
 
Back
Top Bottom