Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

Ndugu zangu watanzania wenzangu,bila kujali dini zetu,makabila,na hata vyama tunavyo toka.nimesoma na kusikiliza hotuba ya huyu mbunge lusinde wa ccm kwa sasa watu walio wengi wanakiita chama cha matusi,imenisikitisha.

Kwa wale wanaomfahamu vizuri hebu tuwekeeni hapa historia yake tangu utotoni,alilelewa na nani?ni wazazi wote wawili baba na mama,babu,bibi,wajomba,mashangazi au alizaliwa na kutelekezwa stand na kupata malezi ya mateja?

Au anataka kutuambia ametumwa na viongozi wake wa kitaifa kutukana watu wazima wenye busara na wanaoheshimika na kuaminiwa na watanzania walio wengi.

Au tuseme ni dalili za ccm kufa?ninawaomba katibu mkuu wa chadema dr slaa,mwenyekiti wa taifa na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni lisiishie hapa,na tunataka kupata taarifa kila hatua ulioifikia kuhusu hili na watanzania wenzenu tupo nyuma.

Watanzania hatupo hivyo na viongozi wa ccm tunaomba kauli yenu kwani ndio chama kinacho tuongoza hivi leo,na kama tunaongozwa na watu WAHUNI basi tujue tuchukue tahadhari mapema.naomba kuwasilisha wakuu.
 
  • Thanks
Reactions: GIB
Cha kushangaza hakuna hata chombo chochote kinachosema kuwa alitukana jukwaani ila ingekuwa chadema hapo ungewaoina polisi. Lusinde, amelaaniwa yule maana roho zilizosikitika kwa matusi yale ni nyingi sana hawezi kushindana nazo.
 
Baada ya kutizama hii clip ya Livingstone Lusinde, akimwaga matusi hovyo hovyo nikaamua kucheck CV yake.

clip yake ni hii
Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru - YouTube

CV ya Jamaa, kama ilivo katika mtandao wa Bunge ni hii hapa chini
(source Parliament of Tanzania)

Ila kwa kifupi baada ya kumaliza shule ya MSINGI alifanya certificate ya mwaka mmoja pale CCM college Ihemi

Nimefurahishwa na Chadema kupuuzia matusi ya huyu Jamaa kwa sababu wangekua wamepandisha sana chati, hebu fikiri Dr Slaa anajibu matusi ya huyu bwana asiyependa hata kujiendeleza kielimu, kuna sehemu kwenye hiyo clip anajisifia kwamba ye ndo mwisho wa matusi na kweli jamaa ni mwisho wa matusi, sasa kama elimu yenyewe ni hiyo inayoonekana katika mtandao wa bunge ajabu ni ipi kwamba kajaza akili yake kwa mijitusi?

EDUCATIONS
School Name/Location Mbigili Primary School
Course/Degree/Award Primary Education
Start Date 1980
End Date 1987
Level PRIMARY

CCM College Ihemi
School Name/Location CCM College Ihemi
Course/Degree/Award Certificate
Start Date 2007
End Date 2008
Level CERTIFICATE


CERTIFICATIONS
Certification Name or Type No items on list
Certification No. No items on list
Issued Expires No items on list


EMPLOYMENT HISTORY
Company Name The Parliament of Tanzania
Position Member - Mtera Constituency
From Date 2010
To Date 2015

POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Chama Cha Mapinduzi, CCM
Position Secretary - Tarime District
From 2006
To 2010

Chama Cha Mapinduzi, CCM
Ministry/Political Party/Location Chama Cha Mapinduzi, CCM
Position Assistant Secretary/Accountant
From 2006
To 2007

CHADEMA
Member - National Executive Board 1995

Civic United Front, CUF
Secretary - Kawe Constituency 1992 1995

Chama Cha Mapinduzi, CCM
Secretary

PUBLICATIONS
No items on list

SPECIAL SKILLS
No items on list

RECOGNITIONS
No items on list
 
School Name/Location Mbigili Primary School
Course/Degree/Award Primary Education
Start Date 1980
End Date 1987
Level PRIMARY

Siamini kama alimaliza madarasa yote 7
 
Imenishangaza sana kuona MBUNGE wa BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amekosa lugha ya staha, asiye na heshima/adabu mbele ya wananchi wakiwamo wanawake, wanaume, watoto pamoja na wazee!!! ameongea matusi yasiyovumilika kutolewa hadharani mbele ya jamii ya watu wengi namna ile!

Hii si desturi ya watanzania wala mwanadamu yoyote mwenye akili timamu!! Ninafikiri tunahitaji kuchukua hatua kwa viongozi wa namna hii kama ifuatavyo CCM:

- Hizi sizo siasa na maadili ya chama chenu, mchunguzeni kama ni mzima achukuliwe hatua za kinidhamu, ikiwezekana mfukuzeni chama. BUNGE:- Naamini kuna kanuni dhabiti za kudhibiti nidhamu za wabunge (kama viongozi wa kijamii) hata nje ya bunge, chunguzeni na kupima ili hatua zichukuliwe maana kwa matusi namna ile basi msishangae wote mkitukanwa siku moja ndani ya bunge Viongozi wa CHADEMA:-

Kuna haja ya kuchukua hatua za kisheria ili kuwapa faraja wanachama wenu lakini pia kuonyesha nidhamu ya kisiasa. Wananchi wa Mtera:- Muonyeni mbunge wenu ili ajue haongozi vichaa na kama hawezi mkataeni yeye na chma chake ili wajue nguvu yenu.
 
Haya kumekucha sasa Vicent Nyerere akitukana akina Mkapa mwaona sawa, akitukana Lusinde eti akapimwe

Nashindwa kuamini kama unafuatilia maneno ya Vicent, mimi sijaona popote alipokashifu mtu yeyote, pale CDM Pamejaa busara mwanakwetu.
 
Maranyingi ukiona mchezaji mzuri kama Ronaldo ameanza kucheza rafu ujue kiwango chake kinaelekea ukingoni, kwa viongozi wa CCM kumjumuisha Lusinde kwenye kampeni na kumwacha aendelee kubwabwaja matusi hayo ni kiashria kwamba chama kimefika ukingoni! Israeli anataka roho ya CCM. RIP CCM
 
Baada ya kutizama hii clip ya Livingstone Lusinde, akimwaga matusi hovyo hovyo nikaamua kucheck CV yake.

clip yake ni hii
Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru - YouTube

CV ya Jamaa, kama ilivo katika mtandao wa Bunge ni hii hapa chini
(source Parliament of Tanzania)

Ila kwa kifupi baada ya kumaliza shule ya MSINGI alifanya certificate ya mwaka mmoja pale CCM college Ihemi

Nimefurahishwa na Chadema kupuuzia matusi ya huyu Jamaa kwa sababu wangekua wamepandisha sana chati, hebu fikiri Dr Slaa anajibu matusi ya huyu bwana asiyependa hata kujiendeleza kielimu, kuna sehemu kwenye hiyo clip anajisifia kwamba ye ndo mwisho wa matusi na kweli jamaa ni mwisho wa matusi, sasa kama elimu yenyewe ni hiyo inayoonekana katika mtandao wa bunge ajabu ni ipi kwamba kajaza akili yake kwa mijitusi?

EDUCATIONS
School Name/Location Mbigili Primary School
Course/Degree/Award Primary Education
Start Date 1980
End Date 1987
Level PRIMARY

CCM College Ihemi
School Name/Location CCM College Ihemi
Course/Degree/Award Certificate
Start Date 2007
End Date 2008
Level CERTIFICATE


CERTIFICATIONS
Certification Name or Type No items on list
Certification No. No items on list
Issued Expires No items on list


EMPLOYMENT HISTORY
Company Name The Parliament of Tanzania
Position Member - Mtera Constituency
From Date 2010
To Date 2015

POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Chama Cha Mapinduzi, CCM
Position Secretary - Tarime District
From 2006
To 2010

Chama Cha Mapinduzi, CCM
Ministry/Political Party/Location Chama Cha Mapinduzi, CCM
Position Assistant Secretary/Accountant
From 2006
To 2007

CHADEMA
Member - National Executive Board 1995

Civic United Front, CUF
Secretary - Kawe Constituency 1992 1995

Chama Cha Mapinduzi, CCM
Secretary

PUBLICATIONS
No items on list

SPECIAL SKILLS
No items on list

RECOGNITIONS
No items on list
mbona tuna std seven leaver wengi huku mtaani lakini wanajiheshimu? huyu alishapiga konyagi, halafu wakashauriana na Mchemba kwamba atukane ili Chama kionekane kiko imara! kumbe wanajidanganya!
 
School Name/Location Mbigili Primary School
Course/Degree/Award Primary Education
Start Date 1980
End Date 1987
Level PRIMARY.
Siamini kama alimaliza madarasa yote 7

Alimaliza, kwa kukariri darasa moja
A%20S-frusty2.gif
 
Duuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!
Samahani jamani nisaidieni kujua historia ya huyu mtu?
Akulia wapi? Amesoma wapi?
Inasikitisha sanaaaaa!!
 
Duuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!
Samahani jamani nisaidieni kujua historia ya huyu mtu?
Akulia wapi? Amesoma wapi?
Inasikitisha sanaaaaa!!

Huyu anawakilisha akili za wagogo wa Mtera soma hapo juu
 
Si kila kitu cha kuamini hapa JF. Nimejifunza jambo hili, kuna ID Zikitupia thread nasoma kwa uhakika bila ya shaka yoyote. Lakini kuamini kuwa upo uwezekano wa mtu kutamka maneno kama haya hadharani, tena kwenye kampeni. Tusifikie huko, ushabiki wa mambo ya kisiasa usifike hapa. Wakati wa kampeni ni kweli huwa kuna vijembe vingi tu. Lakini kwa matusi aliyoweka huyu bwana hapa, anataka kutufanya akili zetu punguani. Tuachane na aina hii ya ushabiki. Uchaguzi utapita, wanachama wa CHADEMA, CCM na vyama vingine pamoja na sie tusio na vyama. Wote tunaishi katika jamii moja, tunachangia misikiti, makanisa, mahosptali nk. Propaganda za aina hii zitupishie mbali.

Ndugu yngu Jumakidogo nakuunga mkono lakini nimeshindwa kujua kama hiyo video niliyoiona hapo juu ni ya kweli au ni ya kutengeneza?. Kama ni ya ukweli nina mashaka na utendaji wa mfumo sheria katika nchi yetu labda kama unapumzika wakati wa kampeni za siasa.
 
Kama nimemsikia vizuri lusinde, amesema anajibu marusi ya cdm, sasa kama kuna mtu ana kumbukumbu ya hayo matusi yaliyo tolewa na cdm, atupe evidence, in audio & video if possible.
 
Kweli CCM inafuga matahila ndo leo nimeamini.
Naona Novatus Makunga aliamua kuleta kipande chenye maneno ya kuomba kura tu, kweli huyu makunga hakuona kwamba Lusinde kamwaga matusi hadharani? Ama kweli.......

makunga mke wake alipigwa mabomu na F.F.U kule Arusha wakati anaishangilia chadema leo hii huyu baba na njaa yake anaishabikia ccm iliyomuumiza mke wake
 
kutokana na mikutano ya vyama vya siasa vinavyowania ubunge wa arumeru kwa kufa na kupona kuacha kunadi sera na kuamua kuzungumzia maisha ya watu tena kwa kauli za matusi mazito,mbele ya watoto wadogo huku ni kuwafundisha watoto matusi.wazazi wazuieni watoto hawa watu haja ya ni ubunge hawajali kingine tena bora malizeni porojo zenu mpisha wanaarumeru waendelee na shida zao kama mlivyofanya igunga
 



Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru - YouTube

Watanzania wenzangu, niliyoona kwenye hii video nimeogopa sana kufikiria kuwa VIONGOZI wetu wamefikia hatua hii ya kutumia lugha chafu kiasi hiki kwenye mikutano ya hadhara inayohudhuriwa na watu wa rika lote

Cha kushangaza kuna watu wanashangilia matusi hayo kana kwamba si kitu kibaya. Mimi sio CDM but ukweli hili halikubaliki, viongzi wa ccm wamuwajishe mheshimiwa Lusinde na kuwaomba RADHI watanzania wote an wananchi wa Arumeru



























 
Hawataomba radhi kwa sababu wanajivunia dola. Sisi wananchi ndio tunaotakiwa kuwaadhibu hawa magamba kupitia sanduku la kura.
 
Jamaaa baada ya kumwaga matusi kapigwa stop kwenye kampeni za lala salama kupanda jukwaani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom