Kha mi najuwaga ati jina lake ni Zungu na sio Kamuzungu?
Masanilo usije kuwa unamzungumzia Zungu, ambae hata mie tetesi za biashara hiyo nimewahi kuisikia juu yake.Drugs dealer! Alikuwemo kwenye list ya Amina Chifupa (RIP)
Masanilo usije kuwa unamzungumzia Zungu, ambae hata mie tetesi za biasg=hara hiyo nimewahi kuisikia juu yako.
IDD AZAN ni yule wakati fulani alikuwa karibu sana na SIMBA SPORTS CLUB.
utajiri ni subjective, mtu wakijijini kwetu ukienda na gari tu, anakwambia wewe ni tajiri sana.this guy is rich trust me, its curious to many to wonder what is he doin to get all that money!
...kumiliki vitu vingi vya thamani kubwa kama magari ya kifahari sana kuliko mbunge yeyote hapa Tanzania na hadi kulingana na wafanyabiashara wakubwa.
They are blood brothers!!Idd Azan na Mussa Azan are in anyway related?
Zungu
Apart from Rostam nadhani the second richest mbunge Tanzania ni NDESAMBURO
Iddi Azan ana pesa za kubadilisha magari na maybe kusafiria Business Class and errm thats it!
already editedMajina haya rahisi sana kuyachanganya! naona hapo juu mkuu ulikuwa na maana juu yake !!!!!!!
ni kweli , mpaka sasa Ndesamburo aka Ndesa pesa naona yuko nyuma ya RA..............INGAWA HUYU RA utajiri wake unahusishwa na urithi wa baba zake na babu zake katika biashara ya Utumwa na Pembe za ndovu hapa Afrika Mashariki.Apart from Rostam nadhani the second richest mbunge Tanzania ni NDESAMBURO
Iddi Azan ana pesa za kubadilisha magari na maybe kusafiria Business Class and errm thats it!