Apart from Rostam nadhani the second richest mbunge Tanzania ni NDESAMBURO
Iddi Azan ana pesa za kubadilisha magari na maybe kusafiria Business Class and errm thats it!
Angalie usije ukawa unamchanganya Idd Azan na Mussa Azan 'Zungu' ambaye ni Mbunge wa jimbo la Ilala
Una maana GT ana access ya account informations za wateja wa NBC?G.T. kwani wabunge wote wanaaccount zao NBC mpaka ukawa na uwezo wa kuwafananisha vipato vyao na kuwa authoritative kuwa other than RA, Ndesa is the richest MP?
Nimrod Mkono ni Wakili wa kujitegemea na anamiliki kampuni kubwa kuliko zote za uwakili hapa Tanzania. Pia kampuni yake ina ubia na kampuni moja ya uwakili ya Uingereza kitu kinachomwongezea wigo wa kibiashara.
Pia Nimrod Mkono ni mmoja wa waanzilishi na wamiliki wa Bank M. Kuna wakati vyanzo visivyo rasmi sana vya habari viliwahi kubainisha kwamba ana NET WORTH ya USD 55m.
Unaweza kuniambia Ndesa anamiliki nyumba zipi/apartments/hotels zipi na kukadiria ukubwa wa biashara zake?
mchango upi JOJIPOJI ?thanks wadau kw mchango wenu
Ungeweza kubainisha rasilimari alizonazo Ndesamburo ingekuwa vema sana! Tusitoe sifa kama vile tuko baa!!
angalau wewe umedadavua japo kidogoas far as iknow him, he deal with transportation in tender-basis, with twiga cement staffs
Angalia akili hizi za huyu eti naye anataka tumuite ze great thinker!Kama anawajibika vizuri jimboni kwake, hakuna tatizo.
Mmh,hapo umemuweza kweli.Ngoja niwashauri wagombea watarajiwa wa Ubunge jimbo la kinondoni waje wajisomee wenyewe wapate pakuanzia.