"Mgonjwa" wetu Kinana Mbona hatembelewi kama wengine?

"Mgonjwa" wetu Kinana Mbona hatembelewi kama wengine?

Nani anazusha? Nyani wewe! Kwani hukusikia kuwa Kinana alikuwa Ngonjwa na Ametumwa India kwa Matibabu? Kwani kuulizia hali ya Mgonjwa au Kushangaa mbona hatuoni akitembelewa kama wengine Kuna Uchama Gani? Hata Bashite akipotea ghafla na wakasema ni Mgonjwa tukiulizia ni kosa? Kwani Vyama vinazika Ubinadamu? We Nyani wewe! We Nyani acha hizo vitu.
Lofa @ work.
 
Tutasoma Body Language, tujue kama alikuja pale Kama Mwinyi alivyofanya U-turn baada ya Kusema Nchi inaongozwa kama Gari lisilo na Usukani Tutataka tupewe Jina la Hospitali aliyotumwa india, Tutataka tuone tikiti ya Ndege aliyopanda akienda na Akirudi! Tutataka aongee mwenyewe aseme ugonjwa uliompelelea Atumwe India kwa Matibabu aliupata pale alipotangaza Kwenye vyombo vya habari atakuwa na press conference au hako kaugonjwa alikuwa nako muda! "Sisi Wapuuzi Tuliofilisika Kisiasa hatutakosa hoja!" Somebody get me a bucket!
 
Lofa @ work.
Yap! Lofa at work watch it! Mi hata Rafiki yangu yule "Dude" lisiloamshwa alinikubali kuwa huwezi kuingia debate na mimi kwa hila za kitoto Utapigwa Utapotea! Unaingiza Kichwa kwenye Finish Mill ya Kusaga saruji! Shauri yako!
lodilofa.gif
 
Wataaaanzania, KINANA anahali nzuri na wa Afya, anahitaji mapumziko baada ya kurudi, na ameelewana na kiongozi wake na wamekubaliana.

Mbona hamtaki kumjulia hali Mhe MANGULA naye pia ni mgonjwa na alipelekwa India.

Kinana hana taabia ya kupokelewa, na akipigiwa simu na marafiki na wapenzi ansema hajambo na hayupo Dar . Nadhani yupo kwake Arusha.

Huyu kiongozi hapendi photo opportunity, hapendi sifa, hapendi kujigamba ama kujipendekeza. He is a low profile person who shuns away publicity.
Kinachotia mashaka ni rais kusema kuwa amemtuma kwenye matibabu.

Mtu anatumwaje kwenye matibabu?
 
Hivi mnavyomdai Kinana lazima itengenezwe sinema. Na nikionacho, Kinana ataambiwa atengeneze mazingira ya kujifanya anaumwa halafu wazee wataanza kumtembelea na kumjulia hali.
 
Hivi mnavyomdai Kinana lazima itengenezwe sinema. Na nikionacho, Kinana ataambiwa atengeneze mazingira ya kujifanya anaumwa halafu wazee wataanza kumtembelea na kumjulia hali.

Hilo haliwezekani Huwezi Kumlazimisha Mtu a act movie wakati hakubaliani na Unayoyafanya. Nachodhani Kitafanyika Kama akijitokeza Arusha ni Kuwa wameshaona Limeanza kukorogeka, na Bila shaka Wamempigia Magoti na Kumwomba Msamaha kudai kuwa walimzuia kwa Usalama wa Taifa na Usalama wake na blah blah nyingi. Pia wanaweza wakamtumia Wastaafu wote watatu wakamwangukie na Kumwambia blah blah za National security etc. Hata wanaweza kumwambia walichanganyikiwa. But Kwamba Kinana alikuwa Mgonjwa na Alitumwa India Ilikuwa Ni BIG BULL SHIT PERIOD!
 
Nani anazusha? Nyani wewe! Kwani hukusikia kuwa Kinana alikuwa Ngonjwa na Ametumwa India kwa Matibabu? Kwani kuulizia hali ya Mgonjwa au Kushangaa mbona hatuoni akitembelewa kama wengine Kuna Uchama Gani? Hata Bashite akipotea ghafla na wakasema ni Mgonjwa tukiulizia ni kosa? Kwani Vyama vinazika Ubinadamu? We Nyani wewe! We Nyani acha hizo vitu.
Kuna watu wapo tu alimradi ni viumbe lakin hamna kitu kichwani, suala la msingi la uhai au uhuru wa mtu na wasiwasi tuliinao watzanzania anatokea punguwani analeta habari ya vyama. Khaaa nini chama hataa ukaweka ubinadam nyuma. Bora Mange kaamua kuokoka hatukani siku hizi kuna mijitu km hili linayia hasira unaweza kumtusi.
 
Siyo kila jambo ndani ya CCM linapewa umuhimu na kila mtu. Ni lile tu lililo lililotoa tension kwa watu kama hili la kinana, maan taarifa zilitolewa kuwa ataongea na wanahabari wakati ule Nape anatumbuliwa, hakuonekana, uvumi ukaenea kuwa kazuiliwa nyumbani na wale jamaa. Mkuu wa kaya akasema kamtuma mahali kutibiwa, sasa watu wanauliza kama ni mgonjwa mbona hakuna anaye mjali? Au huo ugonjwa ni changa la macho? Kwahiyo wewe unaongea as if hujui chochote.
Ameshikilia Mkia huyu achana naye, anabishana huku anajua what we mean, huyu Jamaa sio slow kihivi aleta propaganda za Kijima!
 
Hahaaaa....hakika sasa nimeamini hapa Tanzania hakuna vyama vya upinzani.

Watu wote ni wanaCCM na baadhi yao ni wanaCCM bila hata kujijua!

Ndo maana wanajali yanayojiri ndani ya CCM [yawe ya kweli au ya kizushi].

Hawana hoja kabisa....ni matukio ya kuvizia ndio zinakuwa hoja. Kuitoa CCM kwa mbinu za wanaharakati itakuwa ngumu sana. Pengine ipo siku tunafikia maturity level ya nchi imagine upande wa siasa n.a. democrasia
 
shida yote ya nini?huna mke au gf?kama unaye mwambie anunue nazi atengeneze mafuta ya nazi achanganye na hiriki na mchaichai akufanyie massage,anunue na vile foot massage akusugue gaga aweke slow muziki taa za kuvutia au asiwashe kabisa.Baada ya hapo atakushusha kitonga na atakuogesha.Utatoka msafiiiii na mwepesi mwisho unashushia na supu ya samaki.Kisha tunawaacha mrareeeeeeeeee
Kwa taarifa tu yale mambo ya ukarimu wa mke kwa mume yanafanywa na machangudoa ,machangudoa ndio wanabembeleza wanadekeza wanatoa pole za uchovu ,wake zetu we acha tu !
Pengo akiwa Muhimbili alitembelewa
Mke+wa+MAGU.jpg


Akatembelewa Pia Nyumbani Wake

maxresdefault.jpg


Sumaye naye alitembelewa

MAG1-615x300.jpg


Bi Simba alitembelewa

gu2.jpg


Ndugai alitembelewa hadi nyumbani

maxresdefault.jpg




Na wengine Wengi, who knows hata Faru Fausta anatembelewa.

hhh.png

sasa huyu Mh. Kinana aliyetumwa India Kutibiwa kwa siku 14 na kupewa likizo baada ya Kurudi, mbona hatuoni akitembelewa na Yeyote hata kama Mh Rais Yule busy, hata Mama Samia! Au huyu Dogo mchonga mdomo, Polepole? Au anatembelewa Kisiri kama mtu aliyetupwa Evil Forest kwa Mila za Wayoruba?
Huyu kwa sababu maradhi yake alitumwa!
 
Hahaaaa....hakika sasa nimeamini hapa Tanzania hakuna vyama vya upinzani.

Watu wote ni wanaCCM na baadhi yao ni wanaCCM bila hata kujijua!

Ndo maana wanajali yanayojiri ndani ya CCM [yawe ya kweli au ya kizushi].
CCM CHAMA DOLA
 
Hilo haliwezekani Huwezi Kumlazimisha Mtu a act movie wakati hakubaliani na Unayoyafanya. Nachodhani Kitafanyika Kama akijitokeza Arusha ni Kuwa wameshaona Limeanza kukorogeka, na Bila shaka Wamempigia Magoti na Kumwomba Msamaha kudai kuwa walimzuia kwa Usalama wa Taifa na Usalama wake na blah blah nyingi. Pia wanaweza wakamtumia Wastaafu wote watatu wakamwangukie na Kumwambia blah blah za National security etc. Hata wanaweza kumwambia walichanganyikiwa. But Kwamba Kinana alikuwa Mgonjwa na Alitumwa India Ilikuwa Ni BIG BULL SHIT PERIOD!
Kinachoendelea ni kumbembeleza zaidi ili akubaliane na hiyo movie, vinginevyo wataaibika.
 
Labda anaumwa kipinduapindua ndo maana ni marufuku kwenda kumuona
 
That is first grade gibberish!



Wewe na wenzako mmejuaje hakuna anayemjali?

Kwani kumjali ni lazima kuwe na photo-op?

Akili za kinyumbu bana.....



Ugonjwa na suala binafsi.



Wewe unajua nini?

Jibu hoja acha porojo haina tija
 
Nani anazusha? Nyani wewe! Kwani hukusikia kuwa Kinana alikuwa Ngonjwa na Ametumwa India kwa Matibabu? Kwani kuulizia hali ya Mgonjwa au Kushangaa mbona hatuoni akitembelewa kama wengine Kuna Uchama Gani? Hata Bashite akipotea ghafla na wakasema ni Mgonjwa tukiulizia ni kosa? Kwani Vyama vinazika Ubinadamu? We Nyani wewe! We Nyani acha hizo vitu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom