"Mgonjwa" wetu Kinana Mbona hatembelewi kama wengine?

"Mgonjwa" wetu Kinana Mbona hatembelewi kama wengine?

Ukweli uko wazi Mkuu. Mgonjwa kwanini hapewi nafasi ya kuongea mwenyewe? Kwanini hatembelewi na MACCM wenzie na wapinzani. Panapofuka moshi......
Naona wameshtuka kuwa siri sio siri tena, kesho atakuwa hadharani
 
So..? They still can't do shit about anything beside whine like little babies...



Nah...I don't think so.



Nonentities.
Not being able to have an impact has nothing to do with not being a political party. Labour can't do shit to conservative party in the UK., but we all know this time will come to pass.

In the US we have times when one party controls senate/house but that doesn't negate presence of the other party.

So yes we have multipartism in Tanzania just fine.
 
Hahaaaa....hakika sasa nimeamini hapa Tanzania hakuna vyama vya upinzani.

Watu wote ni wanaCCM na baadhi yao ni wanaCCM bila hata kujijua!

Ndo maana wanajali yanayojiri ndani ya CCM [yawe ya kweli au ya kizushi].
Kwa hiyo wale wana ccm waliokuwa wanahoji kwa nini Ben Sanane haonekani nao tuwaite kuwa ni wana chadema?
Mimi nimeona kuwa mleta mada ameuliza maswali ya kimantiki tu?

Kuwa kwa nini kiongozi marufu kama Kinana augue mda wote huo bila hata mtu mwingine marufu kumjulia hali?

Pili kama binadamu si mbaya kuuliza aliko mwenzio kama hujamuona kwa mda mrefu, mbona hili ni jambo la kawaida kabisa!!!!

Kwa hiyo jaribu kujibu hayo maswali ya mleta mada hata kama hayana maana sana.

Sent from my TECNO R7 using JamiiForums mobile app
 
Kuwatetea magamba ni kazi sana maana kila wakari wanaharibu.

Hivi inaingia akilini kweli Katibu Mkuu wa chama tawala amekuwa mtu wa kusemewa kweli yeye hawezi sema, mara ametumwa india kutibiwa mara yuko likizo yeye hawezi sema hivi ukiwa likizo ndio huonekani? Yaani uwongo mwingine ni wa kitoto kabisa.

Watu bado hawajasahau yaliomkuta kolimba.
 
Sisi tunatetea haki ya kila mtu bila kujali chama cha muhusika.

Kinana sio mtu wa kuwekwa kizuizini chini ya ulinzi hivi kama gaidi, mtendeeni haki Kinana.
Wewe ni Kibendera tu
Mnajua kuwadanganya wapuuzi wenzenu
 
Kuna sehemu niliposema kimahsusi kuwa habari za kuumwa Kinana ni uzushi?

Au umesoma na hujaelewa ulichokisoma?



Ndiyo, uchama upo.

CHADEMA si chama cha upinzani. Ni chama sindikizaji. CCM ikiwa na tatizo CHADEMA wanasikitika na kujali.

Hao si wapinzani. Ni walewale sema tu wao ni B-side....



Hakuna aliyesema ni kosa! Mambo ya kama ni makosa au la unayaumba akilini mwako tu.



Sioni uhusiano wowote kati ya vyama...maziko...na ubinadamu!



Unapenda kulitajataja jina langu eeh...angalia nisije kukutokea ndotoni siku moja!
Nyani akili zenyewe kama nyani
 
Hahaaa....it is so silly!

Nimekumbuka ile ishu ya Jenerali Mwamunyange....
Wewe Mwana kijiji ,umeandika sana juu ya kupotea kwa Ben sanane kumbe na wewe alikuwa unaboa?

Kwani mtu akiuliza habari juu ya jirani yake kwa nini haonekani kuna ubaya gani?

Kama mzee Kinana atajitokeza na kuonekana yuko vizuri mbona ni jambo la heri tu. Kwani shida ni nini?




Sent from my TECNO R7 using JamiiForums mobile app
 
Wadanganye wamtembelee labda wawe hawataki kazi
 
Kuwa kwa nini kiongozi marufu kama Kinana augue mda wote huo bila hata mtu mwingine marufu kumjulia hali?

Kumbe mnamkubali Abdulrahman Kinana eeh?😀😀

Halafu umejuaje kuwa hakuna mtu mwingine maarufu aliyemjulia hali?

Ina maana kuwa wasio watu maarufu waliokwisha mjulia hali?
 
Wataaaanzania, KINANA anahali nzuri na wa Afya, anahitaji mapumziko baada ya kurudi, na ameelewana na kiongozi wake na wamekubaliana.

Mbona hamtaki kumjulia hali Mhe MANGULA naye pia ni mgonjwa na alipelekwa India.

Kinana hana taabia ya kupokelewa, na akipigiwa simu na marafiki na wapenzi ansema hajambo na hayupo Dar . Nadhani yupo kwake Arusha.

Huyu kiongozi hapendi photo opportunity, hapendi sifa, hapendi kujigamba ama kujipendekeza. He is a low profile person who shuns away publicity.
 
Kesho ataonekana uwanja wa Sheikh Amri Abeid kwenye kuwaaga wale marehemu kwa mujibu wa ITV.

Nasubiria kusikia Ni ngonjera ipi tena itaibuka juu ya huyu bwana akishaonekana.

Nchi ya "view-wonder".
 
Kumbe mnamkubali Abdulrahman Kinana eeh?😀😀

Halafu umejuaje kuwa hakuna mtu mwingine maarufu aliyemjulia hali?

Ina maana kuwa wasio watu maarufu waliokwisha mjulia hali?
Wewe kweli nyani, unashindwa kujibu hoja nyepesi kama hii!!!!!

Au na wewe ni Mkoromije?


Sent from my TECNO R7 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom