Dr.Chichi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 2,394
- 631
kwa wale wanaoptosha habari kuhusu mgomo wa madakitari either kwa makusudi au bila kuelewa
kila hospitali tumeacha mtu wa kwaajili ya emergency cases.sisi sio wauaji,tunaelewa anayeumia ni mtanzania wa kawaida na kwa sasa tutajitahidi kadiri ya uwezo wetu kuokoa maisha ya wale wanaokua considered as emergency..Mungu awabariki
kila hospitali tumeacha mtu wa kwaajili ya emergency cases.sisi sio wauaji,tunaelewa anayeumia ni mtanzania wa kawaida na kwa sasa tutajitahidi kadiri ya uwezo wetu kuokoa maisha ya wale wanaokua considered as emergency..Mungu awabariki