Mgomo wa madaktari - Updates

:A S 465:I wish mgomo ungeliendelea hadi 2015 ili magamba wakose cha kujitetea kwa wananchi. wakimaliza madaktari waalimu, wauguzi, wafanyakazi wa reli, nk.
Waswahili walituasa kuwa "KIBURI SI MAUNGWANA" sasa kiburi cha JK kutomuwajibisha Mponda na naibu wake, vifo kwa watz.:eyebrows:
 

rais hawezi give up kirahisi namna anapgopa kuzarauliwa make akiwapiga chini kesho walim nao watataka minister wao ajiuzulu then; wafanya biashara, uchukuzi etc ila sie wa kipato cha chini tukubali tu yaishe
 
rais hawezi give up kirahisi namna anapgopa kuzarauliwa make akiwapiga chini kesho walim nao watataka minister wao ajiuzulu then; wafanya biashara, uchukuzi etc ila sie wa kipato cha chini tukubali tu yaishe
ufinyu wa kufikiri....
 
Madaktari wetu wanatumiwa na vyama vya siasa, mgomo huu ni wa kisiasa zaidi kuliko masilahi. Madaktari hawana uwezo wa kupanga baraza la mawaziri, kazi yao ni kutibu. Inanisikitisha sana kuona madaktari wetu wanafanya upuuzi kama huu.

Hilo ndo tatizo la watu weengi badala mtibu tatizo mnakimbilia kusema migomo inasababishwa na vyama vya siasa hebu tutajie chama gani ndo kinahamasisha madr wagome!muwe mnatafuta solution ya matatizo na sio kukimbilia kusingizia vyama vya siasa.
 
madaktari mnataka tufe mfaidi nchi? Tutaweza kweli kuwapa kila mtakachokitaka? Wekeni utu mbele mtupe huduma
 
Sikuwahi kuhisi kuwa Mponda na Nkya wanagharama kubwa hivi serikalini mpaka JK aliponionyesha.....
Kama JK ndiye amewakatalia kujiuzulu basi amewaondolea utu na heshima mbele ya Watanzania na jumuiya ya wasomi Duniani. Nani atawaona ni watu tena? Nani atawaheshimu?
 
Kuna Mitanzania mingine ina wivu wa Kike (Mkapa) na inawaonea wivu Madaktari wetu kwa kuiendesha Serikali yetu na kuinyima usingizi. Hii haijawahi kutokea kwa Serikali ya CCM ukiacha wale Machalii walitaka kumuua Nyerere na kumpindua enzi za akina Ngaiza sijui na yule Comandoo aliyeuawa.

Kama Madaktari hawataki kufanya kazi kwani ni lazima?

Nchi huru hii na hakuna anayesema Rais analazimishwa kumfukuza Waziri wa Afya kazi.

Hapa mambo yako wazi, au Madaktari warudi kazini au Waziri na jamaa zake watemwe kwenye vyeo vyao.

Mbona hamuwashupalii hao watu wanaokataa kuachia ngazi? Sisi pia hatuwashupalii. Poleni mtakaofiwa katika hii vita na poleni mtakaoteseka katika hii vita. Ukishakufa, hata kama maiti yako itatupwa kama Umbwa na kusahauliwa palepale kama vile huna ndugu (Makassy) basi wala hujali maana mwili umebaki pekee na Roho imeshajiondokea.

Mnaowaonea wiFu Madokta, haki ya nani mchukue tu Kamba, ila ziwe nene za kutosha na imara pia - MJINYONGE.
 
Hivi talanta anayo daktari tu? Mafisadi wao ndio wana talanta ya kuiba tu ndio maana wanaiba kila siku huku tukikaa kimya kwa kuwa wanatimiza wito wao?
 
How much?
 

mungu wangu!!!!!!!!
 

Divide and rule method. Nadhani mbinu imegonga ukuta.
Nenda kajipange upya. Uje kivingine!!
 

Mkuu emu uwe clear kidogo. Je hicho Chama ndicho kipo nyuma na haya mamigomo?? Je hicho chama ndicho kinaiba madawa, vitanda na vifaa vya mahospitali?
 
Ina maana hili suala la madaktari halina ufumbuzi?
 
well well well..........nitapenda kuona reaction ya serikali kwenye hii dhahma...........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…