mashimbamang'oma
Member
- Feb 21, 2012
- 53
- 23
Ni kweli migomo ya madaktari imeanza hospital ya Muhimbili,bugando na hospital ya rufaa mbeya... Source;TBC1
hivi madaktari huwa nao wanapiga kura!?Madaktari wetu wanatumiwa na vyama vya siasa, mgomo huu ni wa kisiasa zaidi kuliko masilahi. Madaktari hawana uwezo wa kupanga baraza la mawaziri, kazi yao ni kutibu. Inanisikitisha sana kuona madaktari wetu wanafanya upuuzi kama huu.
Madaktari wetu wanatumiwa na vyama vya siasa, mgomo huu ni wa kisiasa zaidi kuliko masilahi. Madaktari hawana uwezo wa kupanga baraza la mawaziri, kazi yao ni kutibu. Inanisikitisha sana kuona madaktari wetu wanafanya upuuzi kama huu.
Na usishangae kesho ukasikia ameenda kukusanya net kwa Obama!
Madaktari wetu wanatumiwa na vyama vya siasa, mgomo huu ni wa kisiasa zaidi kuliko masilahi. Madaktari hawana uwezo wa kupanga baraza la mawaziri, kazi yao ni kutibu. Inanisikitisha sana kuona madaktari wetu wanafanya upuuzi kama huu.
Kweli mkuu, na bado zinasumu inayoua taratibu..Wanatupa neti zenye matundu ambayo hata nzi anapita,alafu sisi tunawapa madini!bora hata wale waliochukua hizo neti na kufanyia uvuvi na ufugaji,maana angalau wanajiongezea kipato hata kama ni kidogo!
Sijawahi pata swahiba, naziogopa zile net kama ukoma!Vp umewahi pata hati punguzo arif?
Tuwekee chanzo chako makini basi...afu we kipepeo mbona unaruka ruka sana?..vyanzo vya kuaminika yoyote anaweza kuandika hata mimi. Hicho sio chanzo makini.
Napata shida sana kuamini habari za mgomo wa madaktari.
Sijawahi pata swahiba, naziogopa zile net kama ukoma!
Walipita mabalozi kugaia watu kwa nguvu, mamangu akachukua kama nne hivi, walivyompa mgongo tu akazitia kiberiti zote!
Kama wana sababu ya kweli ya kuwafanya wagome, tutawaunga mkono kama tunavyowaunga madaktari.TANESCO nao wakituhujumu kwenye umme eti tu kudai haki zao...giza nene
TRA wagome kukusanya kodi eti wanadai haki zao.
TBS wagome kuthibitisha ubora wa vyakula eti wanadai haki zao.
Nipo muhimbili,mama mkwe wangu amefariki,aliwekewa mashine ya oxgen usiku baada ya hapo dr hakuja tena,na mama ndo ametutangulia.migomo ina madhara,amefarik saa sita na nusu mchana huu.