Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,025
- 33,742
Ajaribu ili atolewe kwenye kinyang'anyiro
Ajaribu ili atolewe kwenye kinyang'anyiro
Vipi Lisu alisema barua inatakiwa imfikie yeye, unaona sasa wanaojua sheria wamemjibu?
"Wajumbe 11 kati ya 15 wamekubali kuwa malalamiko yamezingatia utaratibu na wajumbe 2 kati ya 15 wamesema uwasilishaji wa malalamiko haukufuata taratibu"...
Nani uyo tena sema sio jambo la kushangza sana ccm ni kawaida iyoHahaha CCM bana.
Na huyu aliyetoa Rushwa ya laki moja kaachwa?!
Haya kinukisheni tuoneKwani wamemjubu au wametekeleza maagizo ya ccm? Kabla ya hatua hii Polepole alifanya press iliyokuwa na viashiria vyote vya maamuzi haya. Pitia hiyo barua ya Katazo kisha uone sababu za kufungiwa.
Na ni kawaida CCM kutoa rais tokea uhuru wa nchi hiii itabidi mzoee tuNani uyo tena sema sio jambo la kushangza sana ccm ni kawaida iyo
Haujajibu bado ..
Mlikubali kuingia kwenye kampeni kwa kusurutishwa?
Tundu Lisu alipoandikiwa barua na kupelekwa katibu mkuu alisema yeye ndio inatakiwa afilishiwe, nyie mkashangilia kama kawaida yenu,Kwani wamemjubu au wametekeleza maagizo ya ccm? Kabla ya hatua hii Polepole alifanya press iliyokuwa na viashiria vyote vya maamuzi haya. Pitia hiyo barua ya Katazo kisha uone sababu za kufungiwa.
Tufanyeje sasa na mfumo una wa favour WatawalaNa ni kawaida CCM kutoa rais tokea uhuru wa nchi hiii itabidi mzoee tu
Haya endeleeni kutoa povu ma keyboard warriorT
Tufanyeje sasa na mfumo una wa favour Watawala
Mkuu Lisu anafikiri yeye ni mkubwa kuliko tz, akisapotiwa na wale mabeberu wake kina Amsterdam. Sasa wenzie wamemwambia kwa vitendo kwamba yeye si chochote hapa tz.ni aibu kwa mtanzania halisi kuanza kuichongea nchi yake kwa nchi zingine!!!
Tanzania ni Taifa Huru tangu mwaka 1961.
hivyo hakuna wa kuibabaisha Tanzania....
tuko vizuri sana .
najua Lisu kama kawaida yake anataka kushitaki kwa mabepari wake..aendelee tu.
Kusaini maana yake walikubaliana na hizo kanuni. Tatizo ninaloliona ni hii ya kupeleka barua kwa Katibu wa chama wakati anayetakiwa kujibu malalamiko yupo, na anajulikana yuko wapi. Polisi nao wamefanya kosa kama hilo.Hizo kanuni za uchaguzi hawakuzikubali, bali walishurutishwa kuzikubali vinginevyo wasingekubali kusaini wasingeruhusiwa kushiriki uchaguzi.
Walishikiwa bunduki?Kampeni ni wajibu, ila kanuni walisaini kwa kushurutishwa.
Same as Tz ni zaidi ya Meko na tume yakeMkuu Lisu anafikiri yeye ni mkubwa kuliko tz, akisapotiwa na wale mabeberu wake kina Amsterdam. Sasa wenzie wamemwambia kwa vitendo kwamba yeye si chochote hapa tz.
Tz ni zaidi ya Lisu na Amsterdam
Yaonekana hata mtihani wa Std 4 ulipita kwa desa.Vipi mmeshalinukisha?
Vipi mmeahaamza kukinukisha?Wanazidi kumpa umaarufu tu, kura yake kwangu ipo tu.