Mfanyabiashara wa utalii ajinyonga Moshi

Mfanyabiashara wa utalii ajinyonga Moshi

Nachoamini na ndio uhalisia wa maisha kwa wengi ni kuwa unapopitia magumu na kuhitaji msaada mtu pekee wa kuweza kuwa nawe 100% ni wewe mwenyewe. Utakubaliana nami kama umeshawahi kupitia changamoto kubwa ya kifedha.

Tutafute hela sana hao wa kutoa msaada huenda na wao wana yao wanayokabiliana nayo kimya kimya ila tutawaangushia lawama bure kuwa hawawezi kusaidia.

Ni nature ya binadamu mkuu, sio kwamba hawana uwezo ila haupo katika priorities zao ndio maana mgonjwa anaweza kufariki kwa kukosa laki tano. Ila msiba wake watu watakula, kunywa na kusafirisha maiti hadi mikoani..

Na nilichoongelea kingine sio fedha tu. Watu wakipitia magumu hata wa kuwapa moyo wanakosekana. Kiufupi, ukiwa na shida pambana nazo mwenyewe ila pia watu wasilaumu watu kwa kuchukua maamuzi magumu na wakati wangeshirikishwa, wangewakimbia. Kiufupi, unafki tuache mkuu
 
It's lonely at the top,
Huu msemo wa kijinga sana.

Who is at the bottom? ? Are you competing? What's the prize? ?

BTW me nachojua tajiri ndo ana marafiki / watu wengi kuliko maskini. If there's anyone truly lonely ni maskini.

Yani mtu anyesema huo msemo hapo juu inamaana akikaa akiwaza utajiri wake anajiona amesimama kwenye mlima yuko juu juu zaidi, yuko pekeyake huko juu, who can be likened to this exceptional man at the top! !

Mtu wa hivi akitingishwa they lose themselves completely. Msingi wake ni utajiri wake, very shakey foundation.

Mmoja anajiua.

Mwingine ndo wale wako tayari kuua wengine just to maintain the status quo.

Mwingine halali bila vidonge / madawa / pombe.

Another falls into psychosis.

Kupenda status ni mtego.

It's not a competition guys, calm down. Damn.
 
Ni nature ya binadamu mkuu, sio kwamba hawana uwezo ila haupo katika priorities zao ndio maana mgonjwa anaweza kufariki kwa kukosa laki tano. Ila msiba wake watu watakula, kunywa na kusafirisha maiti hadi mikoani..

Na nilichoongelea kingine sio fedha tu. Watu wakipitia magumu hata wa kuwapa moyo wanakosekana. Kiufupi, ukiwa na shida pambana nazo mwenyewe ila pia watu wasilaumu watu kwa kuchukua maamuzi magumu na wakati wangeshirikishwa, wangewakimbia. Kiufupi, unafki tuache mkuu
Sikupingi ila watu wengi hata wakipitia magumu yanayohitaji hata ushauri wakawaida hawasemi. Wanafanya hivyo sio kwa sababu watu wa kuwashirika hawapo bali wanafanya hivyo kwa sababu wengi wanaogopa aibu
 
Kuna mda kujiua ni njia nzuri ya kutatua tatizo , watu walaumu mtu akishajiua ila wakishirikishwa matatizo wanakimbia hakuna msaada
Ukitaka kujiua lazima uwafikirie watu wako wa karibu hasa watoto utawaacha kwenye huzuni ya namna gani. Ni bora ufe kwa ajali au ugonjwa watasema ni mapenzi ya mungu. Sasa ukijiua watasema umefanya makusudi kuwaacha, hawatapona kwa haraka.

Ila mi nadhani hadi mtu ajiue basi akili imevurugika.
 
Back
Top Bottom