MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 19,400
- 40,245
Swali la kipumbavu umeuliza.Wewe ukiwa na pesa unaweza kuinunua furaha?
Swali la kipumbavu umeuliza.Wewe ukiwa na pesa unaweza kuinunua furaha?
Ni kweli hayafungi physically but kihisia yanafunga mkuu...ni gereza tosha.Madeni hayafungi ,anadaiwa "Baaresa" na Mo mnyama ndiyo itakuwa sisi?
Watoto walikuwa wanasoma wap hawa
Sio la kipumbavu sema umeshindwa kulijibu na ungelazimisha kulijibu lingefunua upumbavu wako laivu ndio maana umelikwepa.Swali la kipumbavu umeuliza.
Yeah kuweka dhamana ya gari moja au kiwanja kimoja sio tatizo wengi wanafanya ila shida ni pale inapotokea mkopo wa kwanza uliochukua haujakusaidia kisha unaenda kukopa tena na tena sehemu zingineMkuu ukiwa na uhitaji wa pesa utaweka tu dhamana hasa kadi za gari wapo wengi wanafanya hivyo na inawezekana hata yeye alifanya hivyo.
Nimekuelewa mkuu utajiri dah! Blaa sanaMatajiri hawalali kama wanavyolala maskini,maskini anaweza kulala hata vichakani au mlango wazi na hana wasiwasi lakini tajiri anamiliki jengo kubwa ndani ya geti kubwa lakini anaogopa kulala ndani kwa hofu ya kuvamiwa na majambazi,matajiri wengi hulazimika kukesha kwenye nyumba za starehe kama club,bar,casino kisha wanarudi nyumbani asubuhi wanajipumzisha kidogo masaa machache kisha wanakurupuka kuendelea na majukumu hii yote ni kuwapoteza maboya maadui na wahalifu wanaomuwinda.
Matajiri wanalazimika kuajiri walinzi binafsi na mabodyguard ili tu kupunguza uwezekano wa kudhuriwa na maadui au majambazi wakati maskini anazurura popote anapotaka muda wowote bila ulinzi wowote na hakuna anayemfikiria.
Ukija kwenye suala la mahusiano matajiri mahusiano yao huwa yanayumba kutokana na kukosa muda wa kushinda nyumbani muda wote anawaza ubunifu wa kuongeza maokoto pamoja na kukutana na wadau wapya wakati maskini ana muda mwingi mno wa kushinda na familia hivyo wake wa matajiri hushawishika kutafuta mwanaume wa kando hata kwa kumuonga ili kumridhisha na kufidia gepu lililoachwa na tajiri.
Hiyo ni mifano muchache tu ila mifano iko mingi mno.
Kuogopa aibu mkuu ndio huko kuogopa judgement. Unampa mtu issue yako yeye anaifanya story na baada ya hapo anakutenga. Ndio maana watu wanajimalizaSikupingi ila watu wengi hata wakipitia magumu yanayohitaji hata ushauri wakawaida hawasemi. Wanafanya hivyo sio kwa sababu watu wa kuwashirika hawapo bali wanafanya hivyo kwa sababu wengi wanaogopa aibu
Mkuu, tunapishana kuelewa mambo.Huu msemo wa kijinga sana.
Who is at the bottom? ? Are you competing? What's the prize? ?
BTW me nachojua tajiri ndo ana marafiki / watu wengi kuliko maskini. If there's anyone truly lonely ni maskini.
Yani mtu anyesema huo msemo hapo juu inamaana akikaa akiwaza utajiri wake anajiona amesimama kwenye mlima yuko juu juu zaidi, yuko pekeyake huko juu, who can be likened to this exceptional man at the top! !
Mtu wa hivi akitingishwa they lose themselves completely. Msingi wake ni utajiri wake, very shakey foundation.
Mmoja anajiua.
Mwingine ndo wale wako tayari kuua wengine just to maintain the status quo.
Mwingine halali bila vidonge / madawa / pombe.
Another falls into psychosis.
Kupenda status ni mtego.
It's not a competition guys, calm down. Damn.
Nakuombea ufe ukiwa Muislamu, Allaah akuongoze kwenye Nuru , aamiynInahuzinisha kuona jamaa kaondoka bila kuokolewa na Yesu, jina lake linaonyesha kafa akiwa kobaz.
adriz The Consigliere MOTOCHINI
HILI NALO NI NENO MAANA WAPARE NI WATU WENYE UJASIRI WA KUTENDA MAMBO MAGUMU , MIOYO YA KUFANYA MAGUMU BILA AJABU HATA KUUZA NDUGU ANAWEZA , UNAWEZA SHANGAA MKE NDO KAKODI MI BAUNSA YA KUMNYONGA MME ILI IONEKANE KAJINYONGA , THEN IKATENGENEZWA , SCENARIO YA KUWA KAJINYONGA UKU KUMBE NI. KAZI YA MTU , THEN .......KI MADENI. YA TAASISI BENKI TUNAJIULIZA JE WATAWEZA IPIGA MNADA HIYO NYUMBA MAANA NI BONGE MOJA LA HEKALU....JUMBA FLANI HIVI LA KISHUA ....KISA NA MKASA NDANI YA BOMA KUNA KABURI LA. MTU !!!!!?!!!Kwa dunia ya sasa ni rahisi watu wakakutoa uhai wakakuwekea mazingira ili uonekane umejinyonga.
Visingizio ni Madeni, Mapenzi, migogiro ya familia au biashara.
Bado sio sababu ya kujimaliza mkuu.Kuogopa aibu mkuu ndio huko kuogopa judgement. Unampa mtu issue yako yeye anaifanya story na baada ya hapo anakutenga. Ndio maana watu wanajimaliza
Kaburi lipo ndani ya nyumba au lipo ndani ya eneo linalozunguka nyumba? Hilo kaburi ni tofauti na la marehemu?KISA NA MKASA NDANI YA BOMA KUNA KABURI LA. MTU !!!!!?
Ni hatari mkuu hali ikishakuwa hivyo ni ngumu sana kuchomoka.Yeah kuweka dhamana ya gari moja au kiwanja kimoja sio tatizo wengi wanafanya ila shida ni pale inapotokea mkopo wa kwanza uliochukua haujakusaidia kisha unaenda kukopa tena na tena sehemu zingine
Sijui ila ni mabasi ya njano shule za hadhi ya maisha yao.Watoto walikuwa wanasoma wap hawa
Hao ni wazungu wameanzisha kuisaidia familia yake mkuu.Dunia haoko fair....Tajiri kafariki jana mnataka tumchangie? Mbona maskini wenzetu hamtuhamasishi kuwachangia na ndio wanauhitaji zaidi?
Marehemu kazikiwa ndani eneo linalozunguka Nyumba ...yaani ndani ya geti kaliKaburi lipo ndani ya nyumba au lipo ndani ya eneo linalozunguka nyumba? Hilo kaburi ni tofauti na la marehemu?
Kwa moshi hiyo ni kawaida mtu kuzikwa eneo la nyumbani.Marehemu kazikiwa ndani eneo linalozunguka Nyumba ...yaani ndani ya geti kali