Mwenyewe bora niuze mali tuDawa ya madeni usiyaogope,kama yana uwezo acha yakunyonge yenyewe ila sio kujinyonga wewe,bora niuze mali
Na chanzo sometimes ni nyieWanaume mnabeba mengi mmh
Mimi nisingeuza chochote na deni ningelipa hata kama ni 1000 kwa mwezi, mahakama si zipo?Mwenyewe bora niuze mali tu
It's lonely at the top, Mwenyezi Mungu amrehemu.Kumentain namba moja kazi sana asikwambie mtu
Hata wakikusengenya watanufaika na nini? Jamaa alikuwa na connection kubwa kiasi fulani kwa watalii wake, hata angeshuka bado nafasi ya kuinuka ilikuwa n kubwa mno.Kakwepa aibu za kusengenywa kuwa amefilisika si unawajua wamatumbi kwa kufuatilia maisha ya watu tena?
Ndio hivyo ameshakufa , na jana kazaliwa mtoto kashaziba nafasi yake chapHata wakikusengenya watanufaika na nini? Jamaa alikuwa na connection kubwa kiasi fulani kwa watalii wake, hata angeshuka bado nafasi ya kuinuka ilikuwa n kubwa mno.
Itakuwa ni mikopo mikubwa mikubwaMnatuogopesha wakopaji, pole sana kwa familia ya marehemu.
Ndio ujinga wetu watu weusi hatuishi uhalisia kabisa.Kabisa,Mimi naona wazungu kwenye kujikubali wametuzidi sana,hawajali unasema nini maadamu yeye anafanya kitu sahihi havunji sheria utajua mwenyewe,kama ni ukweli atakwambia ukweli sio kukupamba,ndio maana ni rahisi kutaja analipwa mshahara kiasi gani,anamiliki nini,ana madeni gani,ila waafrika tuna unafiki fulani ambao hauna maana,kumchekea mtu kinafiki badae mnamkalia vikao
Hata wazungu wanafki wapoNdio ujinga wetu watu weusi hatuishi uhalisia kabisa.
Kuna mtu alimlazimisha mtu kuoa au kua na familia aliamua mwenyewe kazi ya mwanaume ni kulea kuipa uangalizi familia yake hayo mengi yanatokea Kwa kujitakiaNa chanzo sometimes ni nyie
Nachoamini na ndio uhalisia wa maisha kwa wengi ni kuwa unapopitia magumu na kuhitaji msaada mtu pekee wa kuweza kuwa nawe 100% ni wewe mwenyewe. Utakubaliana nami kama umeshawahi kupitia changamoto kubwa ya kifedha.Ila bongo yetu hii. Mtu akijinyonga utaona kila mtu akimlaumu kwa nini hakusema ili apewe msaada ila ikitokea moment ukawa unatoa shida zako. Wote wanakukimbia
Kwa hiyo siwezi kujua sababu zake za kujimaliza ila nature yetu binadamu ya kuwapenda watu wakiwa vizuri. Ndio inasababisha hili
Huku ni TzKule Japan ni ushujaa
We ulishaona wapi mkopo wa 100m+ unalipwa kwa buku na dhamana zipo?Mimi nisingeuza chochote na deni ningelipa hata kama ni 1000 kwa mwezi, mahakama si zipo?
Hata huko ni ushujaa , ni bora kukwepa mateso kama hakuna namna😅Huku ni Tz
RIPNdio hivyo ameshakufa , na jana kazaliwa mtoto kashaziba nafasi yake chap
Sijui maana sijawai ishi naoHata wazungu wanafki wapo
Ni kweli ila muwape utulivu waume zenuKuna mtu alimlazimisha mtu kuoa au kua na familia aliamua mwenyewe kazi ya mwanaume ni kulea kuipa uangalizi familia yake hayo mengi yanatokea Kwa kujitakia