Mfanyabiashara wa utalii ajinyonga Moshi

Mfanyabiashara wa utalii ajinyonga Moshi

Sana mkuu, usione mtu ana pesa na maisha mazuri mambo ni mengi, huyu mwamba nilikua namjua. Nawaza kwa nini asingeuza baadhi ya mali zake alipe madeni kama chanzo ni hicho.
Unajua shida ukishakuwa tajiri unakuwa na tamaa ya kupata zaidi huwezi kukubali uonekane umefilisika wakati kuna watu hawana hata uhakika wa kula milo 3 kwa siku ila ukishakuwa tajiri huwezi kukumbuka haya ndio shida inapokuwa.
Ndio maana wakati mwingine ukifikiria sana haya mambo utagundua kwamba kuwa tajiri ni risk.
Kuna siku kwenye uzi mmoja niliwahi kucomment kwamba maskini wengi wana furaha kuliko matajiri ila kuna watu hawakunielewa wakanipinga.
 
.
Sio lazima. Kuna mtu wangu wa karibu sana alikuwa na madeni mabaya hadi yakaanza kumwathiri kiafya ikabidi akate plots kwenye shamba lake na kuanza kuuza ili kulipa madeni. Na sasa hivi yuko safi hajafilisika
Vipi kwa sisi tunao ishi marekani halafu kihuahalisia wangu naweza kukukupa kazi wewe digidigi ,ujenge nyumba halafu nikuhudumie miaka mtano wewe na watoto wako? Ila tunataka tofauti nmavyodha I?.
 
Unajua shida ukishakuwa tajiri unakuwa na tamaa ya kupata zaidi huwezi kukubali uonekane umefilisika wakati kuna watu hawana hata uhakika wa kula milo 3 kwa siku ila ukishakuwa tajiri huwezi kukumbuka haya ndio shida inapokuwa.
Ndio maana wakati mwingine ukifikiria sana haya mambo utagundua kwamba kuwa tajiri ni risk.
Kuna siku kwenye uzi mmoja niliwahi kucomment kwamba maskini wengi wana furaha kuliko matajiri ila kuna watu hawakunielewa wakanipinga.
Mimi nakataa kiongozi riziki zilizonikumba hivi niusikitikie utajiri hapana nipe abc kiongozi
 
Unajua shida ukishakuwa tajiri unakuwa na tamaa ya kupata zaidi huwezi kukubali uonekane umefilisika wakati kuna watu hawana hata uhakika wa kula milo 3 kwa siku ila ukishakuwa tajiri huwezi kukumbuka haya ndio shida inapokuwa.
Ndio maana wakati mwingine ukifikiria sana haya mambo utagundua kwamba kuwa tajiri ni risk.
Kuna siku kwenye uzi mmoja niliwahi kucomment kwamba maskini wengi wana furaha kuliko matajiri ila kuna watu hawakunielewa wakanipinga.
Hao maskini wenye furaha ni wa kucharazwa viboko. Mtu huna uhakika wa kula mchana unakuwaje na furaha?
 
Mimi nakataa kiongozi riziki zilizonikumba hivi niusikitikie utajiri hapana nipe abc kiongozi
Matajiri hawalali kama wanavyolala maskini,maskini anaweza kulala hata vichakani au mlango wazi na hana wasiwasi lakini tajiri anamiliki jengo kubwa ndani ya geti kubwa lakini anaogopa kulala ndani kwa hofu ya kuvamiwa na majambazi,matajiri wengi hulazimika kukesha kwenye nyumba za starehe kama club,bar,casino kisha wanarudi nyumbani asubuhi wanajipumzisha kidogo masaa machache kisha wanakurupuka kuendelea na majukumu hii yote ni kuwapoteza maboya maadui na wahalifu wanaomuwinda.
Matajiri wanalazimika kuajiri walinzi binafsi na mabodyguard ili tu kupunguza uwezekano wa kudhuriwa na maadui au majambazi wakati maskini anazurura popote anapotaka muda wowote bila ulinzi wowote na hakuna anayemfikiria.
Ukija kwenye suala la mahusiano matajiri mahusiano yao huwa yanayumba kutokana na kukosa muda wa kushinda nyumbani muda wote anawaza ubunifu wa kuongeza maokoto pamoja na kukutana na wadau wapya wakati maskini ana muda mwingi mno wa kushinda na familia hivyo wake wa matajiri hushawishika kutafuta mwanaume wa kando hata kwa kumuonga ili kumridhisha na kufidia gepu lililoachwa na tajiri.
Hiyo ni mifano muchache tu ila mifano iko mingi mno.
 
Nina maana mswahili yoyote akikuambia kitu, tulia kwanza kisha jiulize mtu huyo ana weledi kiasi gani.
Mfano mtu akikuambia jirani anatembea na mke wako usiamini moja kwa moja, na wewe fanya utafiti kidogo.
Sawa mkuu nmekuelewa vyema
 
Unajua shida ukishakuwa tajiri unakuwa na tamaa ya kupata zaidi huwezi kukubali uonekane umefilisika wakati kuna watu hawana hata uhakika wa kula milo 3 kwa siku ila ukishakuwa tajiri huwezi kukumbuka haya ndio shida inapokuwa.
Ndio maana wakati mwingine ukifikiria sana haya mambo utagundua kwamba kuwa tajiri ni risk.
Kuna siku kwenye uzi mmoja niliwahi kucomment kwamba maskini wengi wana furaha kuliko matajiri ila kuna watu hawakunielewa wakanipinga.
Ni kweli kabisa mkuu, kuna jamaa yangu mmoja aliwahi kuniambia kuliko ashuke kiuchumi kufikia kufilisika ni bora asiishi tena. Pesa nyingi ina risk sana kuimaintain
 
Leopard ana mizizi mirefu kwenye hiyo biashara. Mimi tangu najua mema na mabaya Leopard yupo tena kwa ubora wa hali ya juu. Leopard na Ranger wakongwe mno
Na shatours, ahsante tours hao wapo kwenye gemu kitambo
 
Back
Top Bottom