Mfanyabiashara wa utalii ajinyonga Moshi

Mfanyabiashara wa utalii ajinyonga Moshi

Mkuu uko sahihi kabisa. Mambo yakizidi dawa yake ni kuuza baadhi ya vitu na kulipa madeni. Matajiri hawalali kisa madeni.... kuna baadhi utakuta ni kama wanawafanyia kazi mabenki maana wameshakabidhi hati zote za nyumba na ardhi pamoja na kadi za magari. Shida inakuja ni ile mtu anaogopa aibu watu kumsema amefilisika.
Kisa kuogopa aibu anaiingiza familia kwenye kipindi kigumu zaidi na laana.

Angeuza tu mali zake aanze upya.
 
Mkuu uko sahihi kabisa. Mambo yakizidi dawa yake ni kuuza baadhi ya vitu na kulipa madeni. Matajiri hawalali kisa madeni.... kuna baadhi utakuta ni kama wanawafanyia kazi mabenki maana wameshakabidhi hati zote za nyumba na ardhi pamoja na kadi za magari. Shida inakuja ni ile mtu anaogopa aibu watu kumsema amefilisika.
Kumentain namba moja kazi sana asikwambie mtu
 
Msikimbilie kuamini kwamba ni madeni yamepelekea kifo chake. Dig deeper.
Juzi kati padre kule Mafinga alitekwa polisi wakasema kisa ni madeni, polisi hao hao baadaye wamesema padre hana akili nzuri na wameamua kumfutia kesi.
Polisi sio wakuwaamini bila kuangalia upande wa pili.0
 
Sana mkuu, usione mtu ana pesa na maisha mazuri mambo ni mengi, huyu mwamba nilikua namjua. Nawaza kwa nini asingeuza baadhi ya mali zake alipe madeni kama chanzo ni hicho.
Umasikini ni laana ukiuza mali unafilisika na madeni yanazidi. Watu wengi tunaishi na matatizo ya afya ya akili ila tunatofautiana tu hatua za ugonjwa.

Apumzike kwa amani tajiri.
 
Mfanyabiashara wa utalii ajinyonga Moshi

Azizi Msuya (39), mkazi wa Sambarai, Moshi, amekutwa amefariki dunia nyumbani kwake Alhamisi, Oktoba 2, 2025, akidaiwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya katani.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limethibitisha tukio hilo na kueleza kuwa uchunguzi wa awali umehusisha msongo wa mawazo uliotokana na madeni aliyokuwa akikabiliana nayo.

Msuya alikuwa akijihusisha na biashara ya kusafirisha watalii. Uchunguzi zaidi unaendelea.View attachment 3482567
🤔🤔🤔🤔 Dipresheni.
 
Msikimbilie kuamini kwamba ni madeni yamepelekea kifo chake. Dig deeper.
Juzi kati padre kule Mafinga alitekwa polisi wakasema kisa ni madeni, polisi hao hao baadaye wamesema padre hana akili nzuri na wameamua kumfutia kesi.
Polisi sio wakuwaamini bila kuangalia upande wa pili.0
Siasa imeathiri sana ubongo wako.
 
Mkuu uko sahihi kabisa. Mambo yakizidi dawa yake ni kuuza baadhi ya vitu na kulipa madeni. Matajiri hawalali kisa madeni.... kuna baadhi utakuta ni kama wanawafanyia kazi mabenki maana wameshakabidhi hati zote za nyumba na ardhi pamoja na kadi za magari. Shida inakuja ni ile mtu anaogopa aibu watu kumsema amefilisika.
Ukiona umeanza kuuza mali zako ulipe madeni jua unaenda kufilisika Yani kuchacha
 
Back
Top Bottom