Blueboy Jr
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 411
- 608
Hapo ndo wakopeshaji wanaoneka watu wabay lakn wabay ni ss tunakimbilia fedha bila elimu ya fedha inatumaliza sanaa
Inasemekana baadhi ya wanaomdai wana kadi za gari zake, ila kuna baadhi ya watu wakikukopesha hutokaa ulipe mwisho wa siku wanachukua ulichoweka kama dhamana na mara nyingi huwa kina thamani zaidi ya kiasi ulichokopa.