Mfanyabiashara wa utalii ajinyonga Moshi

Mfanyabiashara wa utalii ajinyonga Moshi

Ukiishi kwa kuhofia na kusikiliza kila watu wasemalo utateseka sana.
Kabisa,Mimi naona wazungu kwenye kujikubali wametuzidi sana,hawajali unasema nini maadamu yeye anafanya kitu sahihi havunji sheria utajua mwenyewe,kama ni ukweli atakwambia ukweli sio kukupamba,ndio maana ni rahisi kutaja analipwa mshahara kiasi gani,anamiliki nini,ana madeni gani,ila waafrika tuna unafiki fulani ambao hauna maana,kumchekea mtu kinafiki badae mnamkalia vikao
 
Umasikini ni laana ukiuza mali unafilisika na madeni yanazidi. Watu wengi tunaishi na matatizo ya afya ya akili ila tunatofautiana tu hatua za ugonjwa.

Apumzike kwa amani tajiri.
Angejaribu kufanya hivyo kujiua sio suluhisho.
 
Utalii haulipi kama ivyoo leopard ana shikilia soko kutokana na yeye kuwa sio mtz so wateja ana wakamata juu kwa juu
Endelea jidanganya kila biashara ina ubora wake na udhaifu wake mikoponi afya pia ila ikizidi ni balaa kubwa wako waliochukua mikopo mikubwa ila matumizi ni balaa....afya ya akili ndo changamoto
 
Msikimbilie kuamini kwamba ni madeni yamepelekea kifo chake. Dig deeper.
Juzi kati padre kule Mafinga alitekwa polisi wakasema kisa ni madeni, polisi hao hao baadaye wamesema padre hana akili nzuri na wameamua kumfutia kesi.
Polisi sio wakuwaamini bila kuangalia upande wa pili.0
Tuamini kipi na taarifa ndio hiyo mkuu.
 
Ila bongo yetu hii. Mtu akijinyonga utaona kila mtu akimlaumu kwa nini hakusema ili apewe msaada ila ikitokea moment ukawa unatoa shida zako. Wote wanakukimbia

Kwa hiyo siwezi kujua sababu zake za kujimaliza ila nature yetu binadamu ya kuwapenda watu wakiwa vizuri. Ndio inasababisha hili
 
We live once we die once, watu wananchukulia poa kitu pesa kuimaintain ili usifilisike, wanaume huwa tunapitia wakati mgumu sana ada za watoto, maden benki bado stress za mke na ndugu lawama


Full stop, kwishaaaa
Hela ina mengi sana ili iendelee kuwepo na kukua.
 
Back
Top Bottom