Extra focus
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 628
- 1,186
Aibu na kuogopa kukimbiwa na mkeKisa kuogopa aibu anaiingiza familia kwenye kipindi kigumu zaidi na laana.
Angeuza tu mali zake aanze upya.
Aibu na kuogopa kukimbiwa na mkeKisa kuogopa aibu anaiingiza familia kwenye kipindi kigumu zaidi na laana.
Angeuza tu mali zake aanze upya.
Inasikitisha mnoAibu na kuogopa kukimbiwa na mke
Sana mkuu sio kidogoHatari sana
ichunguzwe wapi Ibrahim Ali akaroMfanyabiashara wa utalii ajinyonga Moshi
Azizi Msuya (39), mkazi wa Sambarai, Moshi, amekutwa amefariki dunia nyumbani kwake Alhamisi, Oktoba 2, 2025, akidaiwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya katani.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limethibitisha tukio hilo na kueleza kuwa uchunguzi wa awali umehusisha msongo wa mawazo uliotokana na madeni aliyokuwa akikabiliana nayo.
Msuya alikuwa akijihusisha na biashara ya kusafirisha watalii. Uchunguzi zaidi unaendelea.View attachment 3482567
Kama hayo madeni yana ushahidi wa kueleweka wa kusainishana mkataba wanaweza wakauza nyumba sasa hapo atakuwa amewaachia wakati mgumu familia yake.Nilipita kwenye msiba kule sambarai kibosho aseeee Kuna wengine wanadai mikopo ya mtu KWA mtu , mara huyu dollar 1000 , mwingine dollar 5000 aseeee
Cha ajabu ni kuwa mazishi yamefanyikia kwenye. Boma / Nyumba yake ya sambarai walahi ni Nyumba ya kisasa bin vuuuuuuuuh
Issue ni hii je itapigwa mnada ?? Maana Kuna kabuli mule ndani ya Nyumba .
Wako
Dalali mtembezi
Money driven......hao ndio wanaouwa wengine sababu ya pesa. Ikiwa anaweza kujiua yeye vipi akipata. Chance kwa wengine?Ni kweli kabisa mkuu, kuna jamaa yangu mmoja aliwahi kuniambia kuliko ashuke kiuchumi kufikia kufilisika ni bora asiishi tena. Pesa nyingi ina risk sana kuimaintain
Kwa dunia ya sasa ni rahisi watu wakakutoa uhai wakakuwekea mazingira ili uonekane umejinyonga.Nilipita kwenye msiba kule sambarai kibosho aseeee Kuna wengine wanadai mikopo ya mtu KWA mtu , mara huyu dollar 1000 , mwingine dollar 5000 aseeee
Cha ajabu ni kuwa mazishi yamefanyikia kwenye. Boma / Nyumba yake ya sambarai walahi ni Nyumba ya kisasa bin vuuuuuuuuh
Issue ni hii je itapigwa mnada ?? Maana Kuna kabuli mule ndani ya Nyumba .
Wako
Dalali mtembezi
Sijakuelewa unachomaanisha mkuuMoney driven......hao ndio wanaouwa wengine sababu ya pesa. Ikiwa anaweza kujiua yeye vipi akipata. Chance kwa wengine?
Mungu atutie nguvu hayo yasitukuteKujiua kisa MADENI NI MMAWAZOMUFILISI.siwezi
Inasemekana baadhi ya wanaomdai wana kadi za gari zake, ila kuna baadhi ya watu wakikukopesha hutokaa ulipe mwisho wa siku wanachukua ulichoweka kama dhamana na mara nyingi huwa kina thamani zaidi ya kiasi ulichokopa.Nilipita kwenye msiba kule sambarai kibosho aseeee Kuna wengine wanadai mikopo ya mtu KWA mtu , mara huyu dollar 1000 , mwingine dollar 5000 aseeee
Cha ajabu ni kuwa mazishi yamefanyikia kwenye. Boma / Nyumba yake ya sambarai walahi ni Nyumba ya kisasa bin vuuuuuuuuh
Issue ni hii je itapigwa mnada ?? Maana Kuna kabuli mule ndani ya Nyumba .
Wako
Dalali mtembezi
Kulingana na taarifa chanzo ndio hicho.Half american huyu ndugu alikuwa ana madeni makubwa sana nini?
Ndio nani huyoichunguzwe wapi Ibrahim Ali akaro
Afya ya akili ikishavurugika ni shida sana, msongo wa mawazo ni kitu kibaya sana maishani.Wengi tuna amini pesa ndo kila kitu asa sijui pesa ipi wakat hata kumaintain vile hela vidogovidogo ni changamoto. kiukweli afya ya akili ni ya mhimu sana kuliko pesa. Sas pesa imegeuka kuwa chazo cha matatizo ya afya ya akili sad. Ukombozi wa kifikra unahitajika ndg zetu wanaisha😢