TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

Yupo mwanawe alikuwa anasimamia mradi wa kupika nguzo za umeme huko Iringa alikufa mysterious death naye pia inasemekana mzee alimtoa kikowa.
Ni kweli kabisa. Kuna binti yake mkubwa anafanya biashara ya chuma chakavu. Anakusanya toka Zambia na Malawi na ku export. Lakini anaweza kukaa miaka 3 hajakutana na baba yake na wote wako Dar
 
Back
Top Bottom