RO7 ZA MGOS
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 1,712
- 4,712
BIASHARA NI UBEPARI NA UBEPARI NI UKATILI..
Dah namfaham vema huyu mzee.Mzee Emil Lesheya Woiso amefariki leo asubuhi. Msiba upo nyumbani kwake Tegeta karibu na IPTL.
Alikuwa mmiliki wa Tarakea Restaurant pale Mwenge na Cornelius Girls Secondary School pale Tegeta Skanska
Huyu inasemekana alikuwa jambazi kabla ya kukamilisha na kuokokaMzee Emil Lesheya Woiso amefariki leo asubuhi. Msiba upo nyumbani kwake Tegeta karibu na IPTL.
Alikuwa mmiliki wa Tarakea Restaurant pale Mwenge na Cornelius Girls Secondary School pale Tegeta Skanska
huyu mzee inasemekana ashawahi kuua maza mjamzito wa mapacha 2. Hiyo ni miaka ya nyuma ambapo biashra ya kuvusha magendo hususan bia ilikuwa imeshamiri pale mpakani mwa tz na kenya. Hiki kisa ni moja ya visa vingi ambacho hakikauki mdomoni mwa watu wanaomjua pale tarakea.Ila wazee wa kichaga pesa zao walizipata kibishi mnoo
RiPMzee Emil Lesheya Woiso amefariki leo asubuhi. Msiba upo nyumbani kwake Tegeta karibu na IPTL.
Alikuwa mmiliki wa Tarakea Restaurant pale Mwenge na Cornelius Girls Secondary School pale Tegeta Skanska
Ni kweli kabisa. Kuna binti yake mkubwa anafanya biashara ya chuma chakavu. Anakusanya toka Zambia na Malawi na ku export. Lakini anaweza kukaa miaka 3 hajakutana na baba yake na wote wako DarYupo mwanawe alikuwa anasimamia mradi wa kupika nguzo za umeme huko Iringa alikufa mysterious death naye pia inasemekana mzee alimtoa kikowa.
Mkishashindilia kubugia na kuvimbiwa na viporo vya kande iliyochacha mnakuwa na kiburi cha uzima!Amewahi kabla yangu
RIP MZEE
mi pia nilijua mwenye viatu vya woisoNilijua ndio yule anayetengeneza na kuuza bidhaa za ngozi hapa nchini ama ni ubini
Bwashee tena kama kawaida....poleni wafiwa.Alikuwa dhulmati sana huyu.
Hakuzaa na huyo aliyekuwa mkewe hausi gelo?.Mkewe alishakufa akachukua house girl akamfanya mkewe. Mpaka mauti alikuwa hapatani na watoto wake. Wosia aloandika ni kwamba azikwe hapa na mali nyingi lipewe kanisa
Nimesoma comments ili kutafuta hii ya classmate. Nimeipata done with UziR.i.P Classmate....
Ngoja nifanye niwahi msibani
Ndo maana mgahawa kaita tarakeaR.I.P mfanyabiashara.
Woiso atakuwa ni mchaga wa Rombo huyu.
Msimpe Mungu majukumu yasiyomhusu, hukumu ya Lesheya mbona inafahamikaHuyu mzee nampata . Kwao ni pale tarakea kijiji cha mokombero huko rombo.. Ashawahi kuwa kanisa la siloamu . Enzi zake alikuwa mafia sana kwa wanaomjua. anyway mungu ndio mtoa hukumu pekee.
DaaahIla wazee wa kichaga pesa zao walizipata kibishi mnoo
Hata kwenye msiba wa mkewe yalizungumzwa mengi na hakuoneka kuguswa kabisa na kifo cha huyo Mama.Mkewe alishakufa akachukua house girl akamfanya mkewe. Mpaka mauti alikuwa hapatani na watoto wake. Wosia aloandika ni kwamba azikwe hapa na mali nyingi lipewe kanisa