FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
hakya mungu kaka pole.
mna mda gani ndani ya ndoa?
mna watoto? wangapi
siku ya kwanza kukutana na mkeo ilikuwa baa, stand,barabarani, kanisan,sokoni, kwao?
kwa kukwa adhabu unaijua wewe basi ila kama ni ushauri basi piga chini maana halua haina kipolo!!
haijalishi wamekutana wapi kinachomata ni uaminifu katika mahusiana